Usiku wa Machi 07.2026 katika jijini la Kigali nchini Rwanda, Mtanzania Yericko Nyerere ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa vitabu Barani Afrika, tuzo inayotolewa na 'Shining Stars Africa Awards'
Yericko ambaye pia ni kada wa CHAUMMA alishinda kwa kura 7584 sawa na 53% alikuwa...
Ni baada ya wahanga kutishia kumpeleka mahakamani.
Yericko Nyerere:
IMEDHIHIRIKA TAARIFA HII HAIKUWA SAHIHI.
Kwa msingi huo, Naomba nitumie nafasi hii kuomba radhi juu ya maoni yangu kwenye post ya juzi kuhusu nyaraka hii ambayo imethibitika ilikuwa ni ya uzush wa mitandaoni, maoni yangu kwa...
Hakika ni aibu kubwa kwa mtu mzima kushadadia jambo la uongo na unafiki ili kumchafua mtu, chama au taasisi ambayo inawatu ambao mioyo yao iko huko.
Yericko Nyerere ambaye hapo awali watu kadhaa walikuwa wanamuamini wiki hii kaja na mipasho na maneno mengi ya kuwachafua viongozi wa Wachadema na...
Yericko Nyerere unasema Samia hajavunja Katiba
Je, katiba inamuelekeza kuuwa raia wake?,
Je, Katiba inamuelekeza kukaa kimya juu ya utekaji?
Je, hiyo Katiba inasemaje kuhusu haki ya Maandamano kwa wananchi?
Tulia kijana tunaujua unaupiga mwingi upate angalau ka uteuzi kutoka kwa Samia...
Siyo muda huyu jamaa anapewa kitengo maana Samia anawapenda sana wapambee :BBRUHH:
--------------
Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) na mwandishi wa vitabu, Yericko Nyerere, ameituhumu Jumuiya ya Ulaya (EU) akiitaja kuwa sehemu ya wanaopaswa kuchunguzwa kuhusu matukio yaliyotokea...
Vijana wamempiga chini katika tuzo wameona ni heri wampigie kura mzambia 🤣🤣 mwamba hadi kafuta post ya kuomba kura
Mzambia ni mwenda wa kushukuru vijana wa bongo, hata haaamini mtoto wa watu 🤣 ila bongo nyosooo bongo balaa
Huyu mwandishi Uchwara ,aliyefeli Kidato Cha Nne , Kwa makusudi Kabisa, ameamua kutumia Kipande Cha Viideo Cha MTU anayeitwa Askofu Kahemele wa KANISA la Angilikana aliyeonekana kwenye video hiyo akihamasisha Watu kwenda kupiga Kura , na kutumia Maneno na jina la Kanisa la RC, ili ionekane kua...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Yericko Nyerere ameahidi kuibadilisha Kigamboni kwa kuhakikisha barabara zote kuu zinawekwa lami.
Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni, Yericko amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeshindwa kukamilisha mradi wa...
Tulipobadili mbinu ya mapambano ya kidemokrasia nchini kwasababu tulikuwa tumejiridhisha kwamba Watanzania hawajawa tayari kupigania haki zao, Huyu Lema na wenzake walianzisha uasi ndani ya Chama na kumchafua kiongozi wa upinzani kuwa amelambishwa asali ili abadili aina ya siasa. Wakaitangazia...
Maandalizi ya Uzinduzi wa Kampeni za Ubunge Kigamboni za Mwanajukwaa mkongwe Yericko Nyerere yamepamba moto tayari ameachia wimbo wa Kigamboni na sera zake,
Wimbo👇
"....Kesi za Lissu ni kesi dhidi ya Upinzani, Mtu yoyote anayeitakia mema nchi na siasa ya nchi hii, na atalaani kwa nguvu zote kesi hii. Mimi kama mwanasiasa ninashauri njia bora ya kumaliza kesi hii, Ninaamini Kesi hii haiwezi kuisha kwenye mkondo wa kisheria, Kesi hii ni ya Kisiasa, Hivyo...
Everist Chahali, Jasusi wa zamani wa Idara ya Usalama wa Taifa aliye uhamishoni nchini Uingereza kupitia baadhi ya Mitandao ya Kijamii amedai kuwa mmoja wa Mashahidi kificho walioandaliwa na Jamhuri kutoa ushahidi dhidi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu anayeshitakiwa kwa Kesi ya uhaini na...
Habari zenu member wa JamiiForums.
Baada ya salaam ashakum si matusi, niluke moja kwa moja kwenye mada.
Sifa kuu ya kiongozi yoyote yule ni misimamo iwe ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na kijiopolitiki.
Sasa bwana Yericko kwenye siasa za ndani ya nchi amekuwa han misimamo, bendera fuata upepona...
Hii ni habari mpya mjini, Mangi kasepa na mzigo wote wa tone tone.
Yericko Nyerere aliyekua kada wa CHADEMA kabla ya kuhamia CHAUMMA, kupitia ukurasa wake wa X-Twitter ameandika haya...
Salute,,, Niende kwenye hoja moja moja Kwa moja binafsi mimi Huwa napenda sana ukifuatiria siasa ndani na nje ya Africa Kwa ujumla.
Leo nilikuwa napitia kitabu Cha mwandishi wetu mashuhuri mwenye mituzo kedekede nakiri kusema kama kweli hivi vitabu yeye ndio mwandishi halisi basi...
Usifute kichwa cha habari JF:Yericko Nyerere Hufanani na vitabu unavyo sema ni ujasusi na uchochoro wa madaraka yani wewe ni Mr pimbi wa gazeti la sani.
Ukisoma vitabu vyake unaweza kujua huyu jamaa ni jasusi hatari ila ukirudi nyuma ni mr pimbi wa gazeti la sani.
Mimi naogopa sana watu...
Wakuu
Yericko Yohanesy Msambila Mkana Nyerere, mwanachama wa chama cha ukombozi wa Umma (CHAUMMA), ameweka wazi kuwa siku Mwenyekiti wa chama hiko Tundu Lissu akiondoka basi yeye atarejea CHADEMA.
Yericko Yohanesy Msambila Mkana Nyerere, mwanachama wa kweli wa CHAUMMA, anahoji kwa nini Mke wa Mheshimiwa Lissu haonekani Mahakamani lakini bado tunalazimisha Mheshimiwa Mbowe aonekane Mahakamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.