yanga sc

Young Africans Sports Club is a football club based in Jangwani, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1935, the club play their home games at the Benjamin Mkapa Stadium and the Uhuru Stadium.
Nicknamed "Wananchi" (Citizens) or "Yanga" (Young Boys), Young Africans is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Simba. The club has won 22 league titles and four domestic cups, and have participated in multiple CAF Champions League editions. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship five times.
The club was popular among Africans, and became a symbol of the anti-colonial movement. Young Africans became associated with nationalists and freedom fighters, and inspired the political party TANU to adopt yellow and green as their primary colours.

View More On Wikipedia.org
  1. gonamwitu

    Yanga yapumzika kufungwa kwa muda. Itaendelea kufungwa tarehe 7 Algeria

    Uto wamepumzika kufungwa kwa muda baada ya kupiga bomu mochwari na kujisifu wameua kumbe wameua maiti. Kocha wa Yanga Mzee Saidi Ramadhani aapa kuivunja rekodi ya Man City ya kucheza mechi 7 bila ushindi. kocha huyo amenukuliwa akisema atalifanya hili mzunguko wa pili. Prince Dube...
  2. Shanily

    Watani wameuziwa mbuzi kwenye kiroba😂

    Hivi jina la club yenu ni lipi!?, Young Africans ( Waafrika wadogo) au ni Yanga wale yange yange ndege 🤔. Wichi izi wichi!?. Kumbe swala la kuhama hama mara Rangi ya jezi, mara viwanja halijaanza Leo ni tangu enzi maana hata jina mlihama kutoka young Africans mpka Yanga. Aliyesema uto wenye...
  3. Mtu Asiyejulikana

    TFF na Uongozi wa Yanga hili suala mbona mmelikalia kimya? Tunafunika Bakuli mwanaharam apite

    Hili suala toka Azam waliweke wazi tunaona kilichotokea. Yanga waliona wamevuliwa nguo wakasusa na Uwanja wa Azam kwa hasira. lakini Si Viongozi wa Yanga wala wa TFF ambao wamewahi kulizungumzia hili hata kukanusha. Nilitegemea kwa uzito wa hili jambo la wachezaji kujidunga TFF au Yanga...
  4. Manepesa

    Timu ya Mazembe yaruhusiwa kutumia wachezaji wake, kilio kinasubiriwa Jangwani

    Hatimaye timu inayocheza soka safi la kushambulia , TP Englabaa Mazembe hatimaye FIFA yaifungulia rasmi na kuiruhusu kutumia wachezaji wote wapya na hatari iliowasajili. Hii itakua habari mbaya kwa wapinzani wao ambao wakati wa droo walivyoona jina la TP Mazembe walishangilia sana kurukaruka...
  5. K

    Vipigo vya Mfululizo Vyaichanganya Yanga, Kila Mmoja Anakuja na Andiko.!

    Vipigo Vya Mfuatano ambavyo Yanga imekumbana navyo vimesababisha 'Wenge' zito pale Jangwani. Katika pita pita mtandaoni kila MwanaYanga anayejihisi anayo influence anakuja na Andiko La kujipoza. Teyari nimekutana na Andiko La Alafat, Privaldinho,La Wachezaji Pacome,Chama na wengine! Vipigo...
  6. Manepesa

    Magoma awaasa uongozi wa Yanga kumtafuta haraka kuokoa "slow pancha"

    Mzee Magoma akihojiwa leo amenukuliwa akisema Yanga slow pancha ilianza muda mrefu. Mzee Magoma ambaye amesisitiza kua yeye ndio DAKTARI anayejua namna yakuitibu Yanga.. Kasema na kuwaasa uongozi unaongozwa na Mhandisi Hersi kua wamtafute wayamalize, la sivyo Yanga kule ligi ya mabingwa...
  7. Kipenzi Changu

    Utani wa Jadi: Mtandao wa YAS-Yanga Atafungwa Sana

    Watani wangu ni kama wamekosa mtu wa kumlaumu. Sasa mimi nawasaidia, mbaya wenu ni huu Mtandao wa YAS. Hili jina limewalenga nyinyi. Mnakumbuka mmeshapigwa mara 3 mfululu? Kuna vipigo vingine mvitarajie vya hivi karibuni. Siku chache zijazo mtaenda AC Algers kisha TP Mazembe. Unafikiri hao...
  8. MwananchiOG

    Kushuka kwa Yanga kunaifanya Msimbazi kuonekane kumenyooka, Ila kiuhalisia hamna timu pale

    Huwa siangalii sana michezo ya timu za shirikisho, Ila baada ya kuwa nimeketi sehemu nikipata kinywaji nikaona watu wakitazama mpira wa Simba hivyo kwakuwa nilikuwa nimeketi na TV ikiwa mbele yangu, Hivyo nikajikuta nalazimika kutazama. Baada ya kutazama mchezo huo nimegundua mambo machache...
  9. Prince_Nurudin_Tz

    Yanga sc ndio timu ya kwanza kufungwa toka kampuni ya tigo kubadilisha jina

    Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia siku ya jumanne Mabadiliko haya yametangazwa siku ya jumanne jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari...
  10. copyright

    Je, ni sawa wachezaji wa Yanga SC kuondoka uwanjani kwa bodaboda?

    Habari! Naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Jana baada ya kipigo cha 0-2 toka kwa Al Hilal ya Sudan, baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiongozwa na Kibwana Shomari walionekana kuondoka uwanjani hapo kwa usafiri binafsi na sio wa pamoja kama timu ambapo Kibwana alionekana kuondoka na bodaboda...
  11. Ladder 49

    Umefika muda Yanga sc hawajui hata waanze kumlaumu nani

    Umefika muda Yanga sc hawajui hata waanze kumlaumu nani. Kipigo cha leo cha Yanga dhidi ya Al Hilal kimekuwa na sitofahamu tatizo la Yanga ni nini kwa sasa maana kila mtu anasema lake Kocha anasema wachezaji hawana fitness lakini mpira ulivyochezwa Yanga wamepata nafasi nyingi na ndio...
  12. Brain Kingdom

    Yanga SC Wamekwama wapi Kipigo Day kwa Al Hilal FC?

    Hebu tuwe wakweli shida ya Yanga ipo wapi? Wachezaji hawana teamwork? Ina wachezaji ambao hawajui kusoma wapinzani? Wachezaji wamelewa sifa? Physicality ya wachezaji ni hafifu? Wameingia kwa dharau na matokeo mfukoni? Karibu kwenye mjadala wa Utopolo katika Utopolo wao. Pang Fung Mi
  13. DELETED ACCOUNT

    Yanga ikifungwa najisikia raaaaha saaana!

    Yaani hapa bando linakaribia kukata wala sishtuki, napanga kuongeza lingine fuleshi tuu. Mechi ijayo mnacheza na nani? Mmesusaa hamtaki kunijibu? Hata msiponijibu najua mnaenda kudunguliwa tu hahah! Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |...
  14. Megalodon

    Sisi Yanga bado ni underdog, lakini tuna midomo mirefu kuliko masikio, tunarudi kwenye Uchokoraa wetu sasa

    Niliandika ile siku ya game ya Simba SC na Utopolo, Nilisema inawezekana Yanga ime drop au inawezekana Simba ime imemprove; Pia nilisema mwaka huu Yanga hatoboi hata group stage . Mean while , Injinia wa mchongo amekwenda kufanya kosa kubwa la kiutendaji linalokwenda kuicost timu msimu mzima...
  15. B

    Acha leo niwaambie ukweli ndugu zangu wananchi, viongozi wenu walikosea kwenye dirisha kubwa la usajili

    Ndugu zangu wananchi,viongozi wenu walikosea kwenye dirisha kubwa la usajili,kwenye dirisha kubwa mchezaji aliyesajiliwa kwa usahihi ni Duke Abuya,wengine wote waliobaki Yanga imepigwa,engineer na hao viongozi wengine wamehiijumu Yanga baada ya kuona Yanga imefanya vinzuri ndani ya misimu 3...
  16. Franky Samuel

    Kocha wa Yanga: Wachezaji wangu hawana fitness ya kucheza dakika 90

    Baada kipigo kutoka kwa Al Hilal (2-0) kocha wa yanga anasema “Wachezaji wangu hawana fitness ya kucheza dakika 90” — Kocha Sead Ramovic Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |
  17. Li ngunda ngali

    Kisiasa huwezi ukampuuza Haji Manara na ukamkumbatia Ali Kamwe na ukafanikiwa

    Haji Manara ni binadamu mwenye connection na watu wengi wafanya siasa na wasio wafanya siasa. Kwalo, inatosha kukupa tija kwa lolote utakalo lifanikiwe. Bahati mbaya yupo kijana kwa kujulikana ghafla na kupata vi nafasi fulani huko Duniani imempelekea kumwona gwiji wa propaganda Haji Manara ni...
  18. CARIFONIA

    Kuna sehemu viongozi wa Yanga walikosea

    Sipo hapa kulalamika na wala sio kawaida yangu kuandika uzi wa kulalamika, binafsi matokeo ya leo hayawezi nifanya kukata tamaa kwani naijua football vizuri, bado timu ina nafasi ya kufanya vizuri katika mashindano yote inayoshiriki. Wala sitaki kupeleka lawama zangu kwa kocha huyu mpya kwani...
  19. Sodoku

    Haya maneno kuwa bila mambo mawili Yanga haiwezi kushinda sidhani kama ni sawa

    Acheni hayo maneno. Si sawa hawa wageni wapo wanaojua kiswahili. so wanaelewa haya maneno wanapoyasikia inakuwa inatupa nafasi ngumu sana kwetu kuwa bila 1. Kujidunga 2. Uchawi Haya si maneno mazuri. ni maneno ambayo wakiyasikia watu wanaweza kutuwekea wakati mgumu sana. watataka kutudhibiti...
  20. D

    Nashauri Yanga tuhamie Amani, uwanja wa Mkapa tusiutumie tena mechi za CAF

    Nashauri mechi za Caf zote uwanja wetu wa nyumbani uwe uwanja wa Aman Zanzibar! Au mnasemaje ndugu zangu! Yanga hii inafungwaje! MBELE DAIMA NYUMA MWIKO!!!
Back
Top Bottom