yafuatayo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Yafuatayo ndiyo Mafanikio ya Miaka Miwili ya yatakayomhusu au Kujihisi tu

    1. Taabu / Shida Kuongezeka 2. Nidhamu ya Kiutendaji kushuka 3. Rushwa na Ushirikina Kushamiri 4. Upumbavu ( Upopoma ) wa Watu kuongezeka maradufu he 5. Unafiki kushamiri 6. Uhalifu kuota Mizizi 7. Kujipendekeza ( Uchawa ) na Ushoga Kuongezeka Na wala huu Mchezo hauhitaji Hasira hata kidogo...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Mahawara wengi uliowazuia Kukupigia Simu Usiku ukiwa na Mkeo wakipiga na ukiwahoji wanakupa majibu yafuatayo?

    Ni Hawara yako (Demu wako) kabisa (japo una Mke) na Umeshamjulisha na Kumkataza kabisa asiwe anakupigia Simu Usiku ukiwa Kwako na Mkeo na ikitokea akakiuka Makubaliano na Masharti yako na akapiga ukija Kumhoji Kesho yake atakuambia (atakujibu) ama Simu ilijipiga au Mtoto aliichezea. Ni kwanini...
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania CDF General Mkunda naomba Interview ya Mazoezi yafuatayo itumike kwa Vijana watakaoomba Ajira zenu Mpya JWTZ

    Na nakuomba CDF Jenerali Mkunda kama Waombaji Ajira Wote katika Tangazo lenu wakiyashindwa haya Mazoezi yafuatayo muachane nao na mbaki na wale tu Watakaoweza ( walio Fiti ) kabisa 1. Wakimbie kwa Kuuzunguka Uwanja wa Mkapa mara 75 kwa Spidi kama za Winga teleza wa Yanga SC Tuisila Kisinda. 2...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ili kuwa Muumini mzuri yakupasa ufanye yafuatayo?

    (1)Uvifuate vitabu vya Mwenyezi Mungu Zaburi,Torati Enjili,na Quruani? (2)Ujinasabishe na kabila la Waislaeri?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ili utoboe fanya yafuatayo

    Salaam, Katika michakato ya ujasiriamali nimekutana na mambo kadhaa wa kadhaa, iwe kwa kuona au kuhadithiwa au kwa kutenda au kutendewa au kushuhudia, mwisho ukweli umebaki pale pale ambao ni huu hapa chini. 1. Ili utoboe haraka kwa njia za haki, simamia mwenyewe kazi yako 2. Ili utoboe haraka...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Mambo yafuatayo yananifanya nione hakuna umuhimu wa katiba mpya kwa sasa

    Huu ni mtazamo wangu binafsi juu ya katiba iliyopo na umuhimu wake licha ya upinzani kuipigia kelele. Mtazamo wangu ni kwamba katiba ya JMT ni bora sana na kwa sasa ni baadhi ya vipengele tu vinahitaji kurekebishwa. Yafuatayo ni mambo yanayofanya nione umuhimu wa katiba tuliyanyo: I) Madaraka...
  7. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Nilipotabiri Ujio wa Kocha Olivieira Simba SC na ikatokea na Kushauri yafuatayo nilikuwa namaanisha

    Nilisisitiza mno kama siyo sana kuwa Kocha Mpya Simba SC Roberto Olivieira akitua Simba SC aje na Watu wake anaowaamini na kamwe asiendelee na Hawa akina Mgunda, Matola na Meneja Rweymamu aliowakuta GENTAMYCINE nilimaanisha na kuna Hatari niliiona na leo imejidhihiri. Nawaombeni rejeeni marejeo...
  8. sanalii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

    1. Wamekulia katika familia zenye migogoro ya ndoa hivyo wana experience mbaya (Adverse Childhood Effect). 2. Ni wachoyo au waoga wa maisha wakiamini wakioa watakua na majukumu, au maisha yatakua magumu hawatayamudu au mke atatumia mali zake. 3. Wanauelewa mdogo wa binadamu, wakiamini ili waoe...
  9. LIKUD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuchapiwa ni jambo la kiuokoo/kifamilia (kiroho zaidi). Fanya yafuatayo kuepuka kizazi chako kuchapiwa

    Nimeandika uzi huu baada ya suala la Haji kutamalaki. Ni hivi kuchapiwa mke most of the time huwaga ni laana ya familia, ukoo au hata kabila. Ndio maana ukijaribu kufuatilia kwa ukaribu kuhusu wanaume wanao chapiwa utagundua kwamba katika familia au ukoo wa mwanaume huyo kuna historia ya...
  10. JF Member

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mnaweza kuchukua nchi 2025 ila kama mtafanyia kazi mambo yafuatayo

    CHADEMA kina nafasi kubwa sana ya kuchukua nchi iwapo tu itafanyia kazi mambo yafuatayo. 1. Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti. 2. Katibu mkuu awe Heche. 3. Mgombea Urais atoke CCM (Tulizeni kichwa hapa). 4. Kwenye Majukwaa sera zenu ziwe against awamu ya sita na sio awamu zilizopita. 5. Muwape...
  11. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Simba SC kama mnamleta Kocha Mkuu Mbrazil Roberto Oliviera nashauri yafuatayo na myazingatie kiumakini

    1. Mruhusuni aje na Wasaidizi wake na siyo atakaowakuta. 2. Mkitaka asaidiwe na Mzawa mtafutieni Mtu tofauti na Mgunda na Matola. 3. Maamuzi yote ya Kiufundi ndani ya Klabu yetu aachiwe Yeye na asiingiliwe kamwe. 4. Matola apelekwe Timu ya Vijana Simba B akahangaike nayo huko. 5...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, hata siku moja mwekezaji habembelezwi kuja kuwekeza nchini, tafadhali zingatia yafuatayo watakuja wenyewe

    Huwa naziona jitihada nyingi za raisi Samia kubembeleza wawekezaji kuja kuwekeza nchini, hadi namuonea huruma kwa sababu naelewa anapigia debe kitu ambacho sio rahisi kufanikiwa. Napenda kumwambia Raisi Samia kwamba wawekezaji hawavutwi au kushawishiwa kwenda kuwekeza kwenye nchi fulani, huwa...
  13. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Baada ya Simba SC Kuchemka kwa Mbeya City FC leo tegemeeni yafuatayo ili kuwazuga mashabiki wa Msimbazi

    Wameshajua tayari kuwa sare ya leo imewakwaza wana Simba SC wengi kwani sasa pengo kama Yanga SC itashinda mechi zake na kuwa sawa kimichezo na Simba SC itakuwa ni alama (Points ) saba (7) kamili. Hivyo basi GENTAMYCINE natabiri kuanzia kesho Alhamisi ili kutuzuga wana Simba SC (Mbumbumbu Ngada...
  14. 44mg44

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

    Habarini za asubuhi wadau wa jukwaa hili! Bila Shaka weng wenu Ni wazma, wenye changamoto pia nawapa pole. Nisiwapotezee muda niende kwenye mada: Bila Shaka wazoefu wa michepuko mshawahi kukutana na maswali mengi Sana kutoka kwa mchepuko wako yanayohusu familia yako wakiwemo mke na watoto...
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Legal Guru mlioko hapa JamiiForums Taifa lolote likiwa na yafuatayo kutangaza 'State of Emergency' ni vibaya?

    1. Umeme wa taabu 2. Maji hakuna hata ya Kuchambia Nnya 3. Maharage Bei Juu 4. Condoms za Kuazimana 5. Watu Milioni Saba ni Mataahira 6. Anayetakiwa kutujali Watanzania kipindi cha shida hatujali na ndiyo anataka kwenda Kuchanja tena Uviko 19 kwa Wachina 7. Wananchi hatuaminiani tena...
  16. Suzy Elias

    JamiiForums Tanzania Baada ya zoezi la kugawa gesi tarajieni yafuatayo...

    N.G.O inayojihusisha na tafiti itaanzisha kura za maoni/maruhani na matokeo yatakuwa % nyingi zitaonyesha anapendwa. Tayari kiongozi wa hiyo N.G.O. aliyekoswakoswa na m-lakezone alishachukua chake kwa ajili ya zoezi hilo pale ofisi za Gaspiano. 2024 Muajemi atalinunua gazeti maarufu ambalo...
  17. Smt016

    JamiiForums Tanzania Yafuatayo ni mambo ya msingi kwa Yanga ili waweze kufuzu kesho

    Hapo awali nilileta uzi humu kuwa Yanga wanashindwa kufanya vizuri kwasababu wanakosa vinasaba vya michuano ya kimataifa. Nilipondwa sana na wana Yanga wenzangu lakini mpaka sasa akili zinawakaa sawa baada ya kuona Simba kwake kufuzu klabu bingwa imekuwa kama jambo la kawaida hata akiwa na...
  18. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kabla ya kupeleka gesi yetu Kenya tutafakari kwanza kuhusu haya yafuatayo

    Watanzania tuna ugoigoi katika kutekeleza na kufanikisha yale tunayoyafikiria, tunayoyapanga na hata yale tuliyoamua kuyatekeleza. Mfano, hata wimbo wa kuhamia dodoma uliimbwa kwa miaka mingi sana kabla ya kutekelezwa' Siku ambayo gesi yetu itafika Kenya, kesho yake tu asubuhi nishati ya gesi...
  19. P

    JamiiForums Tanzania Tumekataa kupelekwa mchakamchaka, yafuatayo lazima tukutane nayo!

    Kulipwa mishahara baada ya miezi miwili kupita! Mgao mkali wa umeme! Maisha kuwa ghali! Bidhaa kupanda kiwango cha mtu kushindwa kumdu maisha! Miradi ya Serikali kusuasua na au kusimama kabisa Hasira za viongozi kuwa juu baada ya mambo kuwa magumu, hatataka kusemwa semwa! Na kadha wa...
  20. Mufti kuku The Infinity

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia 2022 Nchini Qatar: Ukifanya yafuatayo unaweza kujikuta kwenye matatizo makubwa

    Habarini za muda huu... Hii nimeikuta sehemu kwenye pita pita zangu nikaona nichangie na nyie... Zikiwa zimebaki siku chache kushuhudia mashindano haya makubwa ya kombe la dunia yatakayo fanyika nchini Qatar, ni vyema kwa watakao hudhuria mubashara huko nchini qatar kujiepusha na yafuatayo:-...
Back
Top Bottom