xi jinping

Xi Jinping (simplified Chinese: 习近平; traditional Chinese: 習近平; pinyin: Xí Jìnpíng, [ɕǐ tɕîn pʰǐŋ]; born 15 June 1953) is a Chinese politician who has served as General Secretary of the Chinese Communist Party (CCP) and Chairman of the Central Military Commission (CMC) since 2012, and President of the People's Republic of China (PRC) since 2013. Xi has been the paramount leader of China, the most prominent political leader in China, since 2012.
The son of Chinese Communist veteran Xi Zhongxun, he was exiled to rural Yanchuan County as a teenager following his father's purge during the Cultural Revolution, and lived in a cave in the village of Liangjiahe, where he joined the CCP and worked as the party secretary. After studying chemical engineering at Tsinghua University as a "Worker-Peasant-Soldier student", Xi rose through the ranks politically in China's coastal provinces. Xi was Governor of Fujian from 1999 to 2002, before becoming Governor and Party Secretary of neighbouring Zhejiang from 2002 to 2007. Following the dismissal of the Party Secretary of Shanghai, Chen Liangyu, Xi was transferred to replace him for a brief period in 2007. He subsequently joined the Politburo Standing Committee and served as first secretary of the Central Secretariat in October 2007. In 2008 he was designated as Hu Jintao's presumed successor as paramount leader; to that end, Xi was appointed Vice President of the People's Republic of China and Vice Chairman of the Central Military Commission. He officially received the title of "leadership core" from the Chinese Communist Party (CCP) in 2016. Xi has also been a member of the 17th, 18th, 19th CCP Politburo Standing Committee since 2007. In 2018, he abolished presidential term limits.
Xi is the first CCP General Secretary born after the establishment of the People's Republic of China. Since assuming power, Xi has introduced far-ranging measures to enforce party discipline and to impose internal unity. His anti-corruption campaign has led to the downfall of prominent incumbent and retired Communist Party officials, including members of the Politburo Standing Committee. He has also enacted or promoted a more assertive foreign policy, particularly with regard to China–Japan relations, China's claims in the South China Sea, and its advocacy for free trade and globalization. He has sought to expand China's African and Eurasian influence through the Belt and Road Initiative.
As the central figure of the fifth generation of leadership of the People's Republic, Xi has significantly centralised institutional power by taking on a wide range of leadership positions, including chairing the newly formed National Security Commission, as well as new steering committees on economic and social reforms, military restructuring and modernization, and the internet.He has often been described as a dictator or an authoritarian leader by political and academic observers, citing an increase of censorship and mass surveillance, a deterioration in human rights, the cult of personality developing around him, and the removal of term limits for the leadership under his tenure. Xi's political thoughts have been incorporated into the party and state constitutions.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Xi Jinping Mtu wa watu, kwa ajili ya watu

    Rais wa China Xi Jinping amepitishwa rasmi kuiongoza nchi hiyo kubwa inayoendelea kwa awamu ya tatu mfululizo. Tangu alipoingia madarakani mwezi Machi mwaka 2013, Xi Jinping amesisitiza mara kwa mara kutanguliza wananchi mbele katika kila eneo. Katika hotuba yake aliyoitoa ijumaa baada ya...
  2. BARD AI

    China: Xi Jinping achaguliwa tena kuongoza Mhula wa tatu

    Wajumbe 3,000 wa Bunge la Kitaifa la Wananchi (NPC) wamempitisha #XiJinping kuwa Rais ikiwa ni utekelezaji wa Mabadiliko ya Katiba yaliyoondoa ukomo wa mihula miwili wa kwenye nafasi hiyo. Chama cha #NPC, ambacho wanachama wake huteuliwa na Chama Tawala cha Kikomunisti, kilimpigia Jinping Kura...
  3. L

    Kutuma salamu za pongezi kwa mkutano wa AU kwa miaka sita mfululizo, ni mambo gani anayojali Xi Jinping?

    Hivi karibuni, Rais Xi Jinping wa China alituma salamu za pongezi kwa Mkutano wa 36 wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika. Huu ni mwaka wa sita mfululizo akiendelea kutuma salamu kwenye mkutano huo, na pia ni mara yake ya kwanza kutuma baada ya kuchaguliwa tena kuwa katibu mkuu wa Kamati Kuu ya...
  4. L

    Rais Xi Jinping wa China atoa salamu za mwaka mpya wa 2023

    Katika mkesha wa mwaka mpya, rais Xi Jinping wa China ametoa salamu za mwaka mpya wa 2023 kupitia Shirika Kuu la Utangazaji la China (CMG) na mtandao wa Internet. Ifuatayo ni salamu hizo: Makomredi, marafiki, mabibi na mabwana: Hamjambo! Wakati mwaka 2023 umewadia, mimi nikiwa hapa Beijing...
  5. L

    Thamani ya Tanzania kwa China ni kubwa baada ya kuchaguliwa mara mbili na Rais Xi Jinping

    China na Tanzania ni nchi ambazo zimekuwa na urafiki, undugu na ushirikiano wa kina tangu enzi za waasisi Mwenyekiti Mao Zedong na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Urafiki huu umeendelea kudumishwa na viongozi wengine wote wa pande zote mbili waliofuatia baada ya waasisi hao, na kuendelezwa...
  6. Stuxnet

    Yuko wapi Rais wa China Xi Jinping?

    Xi Jinping huenda kaondolewa kwenye wadhifa wa Mwenyekiti wa Tume ya Kijeshi chini ya kivuli cha mapinduzi ya Kijeshi. Inasemekana kuwa Xi kapinduliwa kijeshi. Vikosi maalum vya PLA vimekusanyika katika uwanja wa ndege wa Jeshi wa Shenyang chini ya amri ya Li Qiaoming. Xi Hakuwepo katika...
  7. The Dictator

    Rais Xi Jinping ampa onyo kali Rais Joe Biden akimuonya ''Asicheze na moto" sakata la Taiwan

    Baada ya mazungumzo kwa simu yaliyochukua masaa 2 na dakika 17 kati ya Rais wa Marekani, Joe Biden na Rais wa China, Xi Jinping, Xi atoa onyo kali kuhusu mgogoro wa Taiwan: "wale wanaocheza na moto bila shaka wataungua. China inapinga Vikali kuingiliwa katika masuala ya Taiwan na itatetea...
  8. L

    “Fanya kazi halisi ili kutangulia mbele” - Rais Xi Jinping wa China

    Xi Jinping, Mwaka 1989 alipokuwa Katibu wa Kamati ya Chama ya Eneo la Ningde la Mkoa wa Fujian alishiriki kazi kijijini. “Maneno matupu yanaleta madhara kwa taifa, juhudi halisi zinastawisha taifa.” Siku 15 tu baada ya kuwa Katibu Mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China, Bw. Xi...
  9. L

    “Kufanikisha kazi si lazima niwepo” - Rais Xi Jinping wa China

    Mei 9, 2014, Xi Jinping alipofanya ukaguzi mkoani Henan, aliangalia hali ya ukuaji wa ngano kwenye mashamba ya Zhangshi Wilaya ya Weishi Baada ya kuapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Kamati Kuu ya Chama, Bw. Xi Jinping alipotoa hotuba mara kwa mara alisisitiza nia yake kuhusu kusukuma mbele mageuzi...
  10. L

    “Uwatendee Raia Kama Wazazi Wako” - Rais Xi Jinping wa China

    Mwezi Januari, 2008 Mji wa Guizhou ulipokumbwa na maafa ya mvua, theluji na barafu, Xi Jinping alipokuwa mjumbe wa kudumu wa Ofisi ya Siasa ya Kamati Kuu ya Chama na Katibu wa Ofisi ya sektretarieti ya Kamati Kuu ya Chama alikwenda nyumbani kwa mwanakijiji Tang Shaowei kuwapa pole “Ni lazima...
  11. L

    “Wananchi ni Chanzo cha Nguvu Zetu” - Rais Xi Jinping wa China

    Rais Xi Jinping wa China Xi Jinping alipokuwa na umri wa miaka 59 aliteuliwa kuwa Katibu mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China kwenye Mkutano wa Kwanza wa Wajumbe Wote wa Kamati Kuu ya 18 ya Chama hicho, na ni kiongozi mkuu wa kwanza wa China aliyezaliwa baada ya kuanzishwa kwa...
  12. L

    Rais Xi Jinping asisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya China na nchi za Afrika ili kukabiliana na changamoto mpya

    Wiki hii rais Xi Jinping wa China ameandika bara ya pongezi kwa sherehe za uzinduzi wa Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Nyerere kilichoko mjini Kibaha, mkoani Pwani, Tanzania. Chuo Kicho kilianzishwa na vyama sita vilivyoshiriki kwenye ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika ambavyo ni Chama cha...
  13. L

    Je, uhasama unaweza kuondoka baada ya mkutano kati ya rais Xi Jinping na Joe Biden?

    Na Pili Mwinyi Novemba 16, rais wa China Xi Jinping na mwenzake wa Marekani Joe Biden walifanya mkutano na kuzungumza kwa njia ya video. Huu ukiwa ni mkutano rasmi wa kwanza tangu Biden aingie madarakani, ulishuhudia viongozi hao wawili wa nchi zenye uchumi mkubwa duniani wakijadili masuala...
  14. L

    Hotuba ya Rais Xi Jinping wa China kwenye Mkutano wa Kilele wa COP26 yatoa mwanga wa matumaini

    Mkutano wa mabadiliko ya tabianchi (COP26) umeanza huko Glasgow, Scotland, ukikaribisha viongozi, wataalamu na wanaharakati mbalimbali duniani ambao watajadili na kutafuta njia za kupunguza mabadiliko ya tabianchi. Katika kipindi hiki cha wiki mbili za majadiliano na mazungumzo, nchi shiriki...
  15. Roving Journalist

    Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

    VIDEO: Hotuba ya Rais Samia Suluhu Umoja wa Mataifa (UN) Rais Samia: Tanzania itaendelea kuwa mwanachama kindakindaki wa Umoja wa Mataifa. Tuko tayari kushirikiana na wanaotaka kushirikiana nasi, tutendelea kuwa Tanzania iliyokuwa ikishirikiana na nchi zote Rais Samia: Virusi vya Corona...
  16. L

    Rais Xi Jinping wa China atoa hutuba kwenye mkutano wa kuadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwa CPC

    Mkutano mkuu wa kuadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) leo umefanyika hapa Beijing. Rais Xi Jinping wa China ametoa hotuba muhimu kwenye mkutano huo. Kwenye hotuba yake, rais Xi ametanga kuwa China imetimiza lengo la kwanza la karne, yaani kujenga jamii...
Back
Top Bottom