Kuna ngona moja hiv nasikia Sana mtaani na moja Kati ya mistari inasema hiv
Naisikuibiwa,nachanganyikiwa
nimechoka kusubili mbona utokei.
alafu chorus yake ni "kaputa" sijui nitakuwa nipo sahihi na hili neno.waimbaji wapo wawili mwanamke na mwanaume.