“Mungu Ibariki Afrika” ilitungwa kama wimbo wa matumaini. Wito wa umoja, amani, na hekima miongoni mwa Waafrika waliokuwa wakipigania ukombozi.
Lakini leo, zaidi ya nusu karne baadaye, maneno hayo hayana uhalisia katika bara letu.
Tunaimba “Hekima, Umoja na Amani” huku viongozi wetu wakiongoza...