kuna kipindi nafatalia youtube kupitia Easterntv na bado kinaendelea nimeogopa sana tena swala la watoto.
Najua wengi wa watanzania mtoto akijua kutembea unamuacha kama kuku ili mradi tu jioni umuone yupo nyumbani.
Huku kenya sivyo ndivyo yani utekaji ni mkubwa na biashara hii kama itaingia...