A wilayah (Arabic: ولاية, wilāya, plural wilāyat, wilayat; Urdu and Persian: ولایت, velâyat; Turkish: vilayet) is an administrative division, usually translated as "state", "province" or occasionally as "governorate". The word comes from the Arabic "w-l-y", "to govern": a wāli—"governor"—governs a wilayah, "that which is governed". Under the Caliphate, the term referred to any constituent near-sovereign state.
Wilaya ya Ngara ina mahakama nyingi za mwanzo ambazo hazina mahakimu. Unakuta hakimu mmoja anatembelea zaidi ya mahakama tatu hii inashusha weledi kwa kuwa umbali wa kituo kimoja mpaka kingine ni zaidi ya kilomita 30
Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi ni wiki Sasa hakuna maji, na hakuna maelezo yoyote ya lini maji yatatoka.
Kwa sasa ndoo ya maji inauzwa Tsh 1000 mtaani. Sijajua changamoto ni nini lakini waziri wa maji amekuja hapa mara mbili na viongozi wanaahidi kutojirudia kwa hii...
Anonymous
Thread
changamoto
changamoto ya maji
hakuna maji
halmashauri
inauzwa
kilindi
lini
maji
makao
makao makuu
ndoo
wiki
wilaya
Ajira mpya wilaya ya chemba afya tuna mwaka sasa hatujapewa pesa ya kujikimu na hali ya maisha inazidi kuwa ngumu
Anonymous
Thread
afya
ajira
ajira mpya
hali
hali ya maisha
hatujapewa pesa ya kujikimu
kujikimu
maisha
mpya
mwaka
ngumu
pesa
pesa ya kujikimu
tuna
wilayawilaya ya chemba
Sisi Tumeomba mikopo ya halmashauri kupitia mfuko WA vijana,wanawake, wazee na walemavu maarufu kama mikopo ya Asilimia 10% ,Tangu Mwaka Jana mwezi wa nane lakini Hadi Leo hakuna dalili za kuupata mkopo huo.
Tumetumia gharama na Muda wetu mwingi Sana ,kila wakati wakiwa Wanatuita kwenye vikao...
Anonymous (aeb0)
Thread
halmashauri
kutoa
mikopo
sana
tunduru
vijana
wilaya
Sisi Wananchi wa Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba tuna malalamimo juu ya upatikanaji wa Vyeti vya Kuzaliwa katika Ofisi ya Uwakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii, ukihitaji unasumbuliwa kuliko maelezo.
Unaweza kufuatilia kwa muda wa mwaka mzima hujapata cheti cha mtoto wako...
Anonymous
Thread
kupata
kuzaliwa
pemba
vyeti
vyeti vya kuzaliwa
wilaya
Sisi wakazi wa Kijiji cha Patamela, Kata ya Saza, Wilaya ya Songwe, Mkoa wa Songwe tuna changamoto kuhusu mwekezaji ayetambulika kwa jina la Mathayo, ni kuhusu kumiliki eneo kubwa la uchimbaji ambapo sisi Wananchi tumekosa eneo la kuchimba madini.
Sisi ni wachimbaji wadogo hatuna leseni ya...
Anonymous
Thread
kijiji
kuchimba
leseni
madini
mwekezaji
songwe
utafiti
wananchi
wilaya
Watumishi wa Afya Halmashauri ya Iramba, Hospitali ya Wilaya Kiomboi tuna miezi 9 hatujalipwa stahiki zetu za extra duty na uongozi upo kimya kila tukiuliza tunajibiwa majibu ambayo sio rafiki.
Tupo katika Jimbo la Waziri Mkuu tunaomba tatizo letu lishughulikiwe, vilevile tunadai pesa za huduma...
Anonymous
Thread
afya
hospitali
hospitali ya wilaya
iramba
malipo
singida
upande
watumishi
wilaya
Sisi Ajira mpya kutoka Halmashauri ya Wilaya Kwimba Mkoa wa Mwanza tuna karibia miezi sita sasa tangu tuajiriwe lakini kila tukiulizia kuhusu fedha za kujikimu hatupewi jibu lolote, tuliajiriwa Januari 2026.
Majibu tunayopewa huku kwenye group hayaeleweki wanatuambia serikali ndiyo inatoa pesa...
Anonymous
Thread
ajira
ajira mpya
fedha
fedha za kujikimu
halmashauri
kujikimu
mpya
mwanza
wilaya
Viongozi wa kijiji cha Mlimba 'B' katika Halmashauri ya Mlimba wamekuwa kero kwa wananchi kwani wamekuwa wakitoza faini ya Tsh. 10,000/= kwa kila mwananchi asipohudhuria kwenye mkutano wa serikali ya kijiji na kwenye shughuli za maendeleo ambazo ni kusafisha barabara ambazo zinafanyika kila siku...
Anonymous
Thread
halmashauri
kero
kijiji
kilombero
mkoani
mlimba
morogoro
viongozi
wilaya
Kero yetu ni kutolipwa fedha ya kujikimu, sisi ni Walimu Ajira Mpya mwaka 2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, tukifuatilia tunapewa majibu ya kukatisha tamaa, na vitisho pia!!
Serikali itusaidie, maana hatuna pa kwenda!! Ajira mpya ya 2026, wamekuja, ndani ya wiki moja tu wakalipwa...
Anonymous
Thread
halmashauri
nachingwea
stahiki
uchunguzi
vitisho
walimu
watumishi
wilaya
TAARIFA KWA UMMA
Uongozi wa Wilaya ya Kilolo unapenda kutoa ufafanuzi kwa Umma kufuatia taarifa potofu inayosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu ubovu wa daraja linalopatikana katika kijiji cha Kiwalamo kilichopo kata ya Idete.
Taarifa hiyo haina ukweli na ina nia ovu ya kuchonganisha...
Walimu ajira Mpya halmashauri ya Wilaya Ya MKALAMA-SINGIDA hatujalipwa Pesa zetu za Kujikimu Tangu Tumeripoti mwezi January 2026.
Kila tukifuatilia Tumekuwa Tukipewa Majibu yasioridhisha kwetu sisi. Kwani Pesa ya Kujikimu kwa mtumishi wa Ajira mpya ni Haki kisheria. Hii inapelekea matatizo ya...
Anonymous
Thread
ajira
ajira mpya
fedha
fedha za kujikimu
halmashauri
kujikimu
mpya
pesa
walimu
walimu ajira mpya
wilaya
WALIMU Ajira za mwaka Jana (2025) mwanzoni na wa (2026) januari Bado HATUJAPEWA HELA yetu ya KUJIKIMU Na Idara husika hazisemi chochote wakati wenzetu halimashauri zingine wamepewa tayari.
Anonymous
Thread
bado
dodoma
hela
ila
katika
kazini
kimya
kujikimu
lini
mamlaka
mpwapwa
walimu
wilaya
Walimu tulioajiriwa mwaka Jana ngazi ya Sekondari tulipewa Hela ya kujikimu nusu (Laki Nne) mwaka huu na hatujui nyingine tunamaliziwa lini.
Lakini pia kwa Wale walio ajiriwa mwaka huu (January 2026 ) hawajapewa Bado na haijulikani wanapewa lini.
Anonymous
Thread
hela
jana
kujikimu
mwaka
mwaka huu
mwaka jana
ngazi
sekondari
walimu
wilaya
Mimi niliajiriwa Mwaka 2025 katika Halmashauri ya Ngara Mkoani Kagera lakini hela zetu za kujikimu mimi na wenzangu hatujapewa, tupo Kada ya ELIMU ila wenzetu Kada ya AFYA walivyofika tu wakapewa sisi mpaka leo kimya.
Mwaka huu 2026 wameleta ajira mpya wengine wa Elimu na Afya lakini afya...
Anonymous (c258)
Thread
ajira
ajira mpya
hazina
hela
kimya
mpya
mwaka
ngara
walimu
walimu ajira mpya
wilayawilaya ya ngara
Mimi ni Chadema Damudamu, na kama ambavyo Chama Changu hakiitambui Serikali hii ilotokana Uchaguzi Haramu !!
Kuna Wakati kama Mtanzania Unaumia na kutoa Machozi !!.
Ukamilashaji wa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya BUTIAMA , Sulihisho sio Kubadilisha Ma DMO , Ma DMO mtabadili sana na Kila...
Mimi ni Mwananchi kutoka Katavi Wilaya ya Mlele naomba Serikali iongeze Watumishi Idara ya Afya Kitengo cha Mionzi, kwani kuna Mtumishi mmoja tu naye anapitia changamoto za ajali ya mguu, hivyo Wananchi wanakosa huduma kwa wakati.
Kibaya zaidi kuna Zahanati Inyonga B na Zahanati Ilunde na...
Anonymous (d932)
Thread
afya
kitengo
mionzi
mmoja
mtumishi
serikali
watumishi
watumishi wa afya
wilaya