Naomba kujua hili.
Wanawapelekesha ,
Wanawatumikisha
Wanakaripia lakini wala hamlalamiki mnaona sawa tu ni kwanini, yaani tuseme tu wenye sura nyeupe , nyeusi wanawahanya sana.
Hata dada mweupe watu wanamuhanya.
Huwa shida nini? Au wao ni nuru nyie ni giza maana sio kiasi hicho.