waziri mkuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lesotho: Waziri Mkuu atangaza kujiuzulu kufuatia tuhuma za mauaji ya aliyekuwa mkewe

    Waziri Mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane ametangaza kwenye chama chake cha All Basotho Convention (ABC) kwamba atajiuzulu. Msemaji wa ABC ambacho ndicho chama tawala amesema kuwa Thabane atatangaza rasmi kujiuzulu Jumanne katika baraza la mawaziri. Hakuna sababu yoyote iliyotolewa kwa kiongozi...
  2. Waziri mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa rais

    Waziri Mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev ametangaza kuwa serikali imejiuzulu. Taarifa hiyo inakuja muda mfupi baada ya Rais Vladimir Putin kutoa hotuba yake ya kila mwaka ya kitaifa. Kukubaliana na kujiuzulu huko, Putin aliwaomba mawaziri kuendelea kufanya kazi hadi pale serikali mpya itakapoundwa...
  3. K

    Rais Trump sasa kukomaa na Waziri Mkuu wa Ethiopia

    Rais wa Marekani bwana Donald Trump amezidi kuwa kituko duniani pale aliposikika akiwalaumu watoaji wa tuzo ya Nobel kwa kumpatia tuzo hiyo Waziri Mkuu wa Ethiopia na kumuacha yeye ambaye amefanya kazi kubwa kuleta amani huko Ethiopia na kwingineko.
  4. J

    Je, kiitifaki Waziri mkuu wa Tanzania ni mkuu kuliko Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar?

    Nauliza kwa wale watu wanaoelewa vizuri mambo ya itifaki. Katika sherehe za mapinduzi Zanzibar, Waziri mkuu mh Majaliwa aliingia uwanjani baada ya makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar mh Idd Seif kuwa ameshaingia na wakati wa kuondoka alianza waziri mkuu kabla ya balozi Seif. Karibu kwa...
  5. Finland: Waziri Mkuu Sanna Marin apendekeza siku nne za kufanya kazi

    Waziri Mkuu mpya wa Finland Sanna Marin amependekeza nchi hiyo iwe na siku nne tu za kufanya kazi ili wananchi wawe na fursa kuwa na familia zao kwa muda mrefu zaidi na kufanya mambo mengine ya jamii ikiwemo michezo na utamaduni. Marin, akiwa kiongozi mkuu wa serikali mdogo kuliko wote duniani...
  6. Israel: Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu aomba kinga ya bunge dhidi ya mashitaka ya ufisadi

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameamua kutafuta kinga ya bunge dhidi ya mashitaka ya ufisadi yanayomkabili. Hatua hiyo huenda ikachelewesha kesi dhidi yake hadi uchaguzi utakapofanywa upya mwezi Machi. Mwezi Novemba, Waziri Mkuu alishitakiwa na mwanasheria mkuu kwa kutoa hongo...
  7. Waziri Mkuu Johnson kutoa vipaumbele vyake

    Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson leo hii anatarajiwa kuelezea mipango yake, ya namna gani atatekeleza ahadi zake za kufanikisha kujiondoa katika Umoja wa Ulaya haraka na kupanua wigo wa huduma za afya nchi mwake. Katika hafla ya kuanza msimu mpya wa bunge la Uingereza, Malkia Elizabeth...
  8. J

    Je, yawezekana Kardinali Pengo ametuonyesha "moshi mweupe" wa mrithi wa Rais Magufuli mwaka 2025?

    Hawa maaskofu ndio wamepokea kijiti kutoka kwa Mtume Petro hivyo sauti na maono yao hutoka kwa Mungu. Kardinali Pengo ndiye pekee hapa nchini Tanzania mwenye kura ya kumchagua Baba Mtakatifu (Papa) wa dunia nzima. Nijuavyo mimi kumchagua Papa ni jukumu gumu na zito kuliko lile la kumtabiri...
  9. NSSF: Kilio kilichokosa ufumbuzi. Wanyonge hunyongwa kimya kimya nchi ikijifanya haioni, sababu ni jambo linalogusa tabaka la waliotengwa na mfumo

    Habarini wakuu, Ninaandika waraka huu nikiwa na maumivu makuu moyoni juu ya mahangaiko na misukosuko tunayopitia waathirika tuliopoteza ajira zetu katika kipindi hiki kigumu na kuamua kufungua madai ili kupata stahiki zetu NSSF tukiamini ndo hazina yetu iliyosalia itakayotukwamua katika kipindi...
  10. Waziri Mkuu aokoa mamilioni, atembea kwa miguu kwenda ofisini

    Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi. Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma leo wamesifu kitendo cha Waziri Mkuu cha kutembea...
  11. Bunge team summons Pinda

    By Elisha Magolanga In Summary He said there were about 70 DEDs implicated in the theft of public funds who were transferred instead of facing prosecution. Dar es Salaam. The parliamentary Local Authority Accounts Committee (LAAC) yesterday...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…