johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Nauliza kwa wale watu wanaoelewa vizuri mambo ya itifaki.
Katika sherehe za mapinduzi Zanzibar, Waziri mkuu mh Majaliwa aliingia uwanjani baada ya makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar mh Idd Seif kuwa ameshaingia na wakati wa kuondoka alianza waziri mkuu kabla ya balozi Seif.
Karibu kwa majawabu.
cc Pascal Mayalla, FayzaFox
Katika sherehe za mapinduzi Zanzibar, Waziri mkuu mh Majaliwa aliingia uwanjani baada ya makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar mh Idd Seif kuwa ameshaingia na wakati wa kuondoka alianza waziri mkuu kabla ya balozi Seif.
Karibu kwa majawabu.
cc Pascal Mayalla, FayzaFox