Rais wa Marekani bwana Donald Trump amezidi kuwa kituko duniani pale aliposikika akiwalaumu watoaji wa tuzo ya Nobel kwa kumpatia tuzo hiyo Waziri Mkuu wa Ethiopia na kumuacha yeye ambaye amefanya kazi kubwa kuleta amani huko Ethiopia na kwingineko.
hahaha huyo ndo best character wangu kwenye hiyo franchise maana ananifurahishaga sana"Love Potion No 9"
Merekani wana raisi wa ajabu haijawahi kutokea ( in Tundu lissu's voice ).Rais wa Marekani bwana Donald Trump amezidi kuwa kituko duniani pale aliposikika akiwalaumu watoaji wa tuzo ya Nobel kwa kumpatia tuzo hiyo Waziri Mkuu wa Ethiopia na kumuacha yeye ambaye amefanya kazi kubwa kuleta amani huko Ethiopia na kwingineko.