WAZIRI MKUU AZINDUA SHULE YA MSINGI KASOMA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo (Julai 4, 2026) amezindua Shule ya Msingi Kasoma, Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, mkoani Mara, na kuipongeza halmashauri hiyo kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo unaozingatia thamani ya fedha.