waziri mkuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Waziri Mkuu aweka jiwe la msingi mradi wa maji wa miji 28 Katavi

    WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI WA MIJI 28 KATAVI WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 13, 2026 ameweka jiwe la msingi la Mradi wa Maji wa Miji 28 katika Kata ya Shanwe, Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi. Mradi huo wenye thamani ya shilingi bilioni 22.8 umefikia asilimia...
  2. Z

    Utendaji wa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu unaleta faraja na matumaini kwa watanzania

    Hakika sasa tunawaziri Mkuu mtendaji mwenye kujali kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Anancho kifanya waziri Mkuu ndicho haswa wanacho kitaka watanzania. Sasa viongozi wengine, Mawaziri, wakuu wa Mikoa ma DC pamoja na watendaji wote mnapaswa kufuata nyayo hizo ili kupunguza kero za...
  3. H

    Asanteni sana wananchi wa Mkoa wa Rukwa. Kazi Inaendelea Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

    Asanteni sana wananchi wa Mkoa wa Rukwa. Kazi Inaendelea, Hodi Mkoa wa Katavi. Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  4. S

    Waziri Mkuu ziara zako mikoani hazitatui matatizo ya wananchi. Watumie viongozi mikoani

    Huu ni upuuzi mwingine wa serikali ya awamu hii ya Raisi Samia eti Waziri Mkuu anazunguka mikoani kutatua matatizo ya wananchi. Waziri Mkuu anatakiwa kutatua matataizo katika ngazi ya kitaifa. Lakini ajabu ni kwamba Waziri Mkuu Mwigulu ameenda kutatua matatizo ya wananachi katika "individual...
  5. Nasikitishwa kuona Waziri Mkuu anazurura mtaani ati anatatua changamoto

    Hivi ushawahi kuona wapi Waziri mkuu wa UK Yuko mitaani anatatua changamoto za wananchi? Hata hawa majirani tu Rwanda, Kenya, Uganda, Zambia ati kuona Waziri mkuu wa Taifa fulani anafanya ziara ya kutatua changamoto za wananchi Hivi huyu Waziri mkuu atamfikia kila Mtanganyika ili atatue...
  6. R

    Madagascar: Rais amfuta kazi Waziri Mkuu na kuvunja Baraza lote la Mawaziri

    Rais wa Madagascar, Michael Randrianirina, ambaye alichukua madaraka kufuatia maandamano ya Oktoba 2025, amemfuta kazi Waziri Mkuu na kuvunja baraza lote la mawaziri siku ya Jumatatu Machi 9, 2026, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na msemaji wake. Aidha taarifa hiyo iliyotolewa na Harry...
  7. M

    Mwigulu: Mawaziri wekeni kwenye sheria watu anapolipwa mkandarasi, pesa zisizo zake ziende moja kwa moja kwa wale wanaofanya kazi

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 9, 2026 akizungumza na wananchi wa Namanyere, mkoani Rukwa ametoa maelekezo kwa Mawaziri kuweka kwenye sheria kwamba mkandarasi anapolipwa fedha zake, zile ambazo si zake ziende moja kwa moja kwa watu waliofanya kazi. Ametoa agizo hilo baada ya...
  8. A

    KERO Hata haya mashimo Barabara ya Singida - Arusha tusubiri Waziri Mkuu apite ndiyo tumwambie ili atoe maelekezo?

    Naziomba mamlaka za Mkoa wa Singida zitusaidie watumiaji wa Barabara ya Singida - Arusha kuboresha kipande kilichopo Manispaa kuanzia NBC Banki hadi kwenye jiwe lililopo katikati ya barabara maeneo ya Kirima Night Club. Maeneo hayo kuna mashimo ya kutisha sehemu za watembea kwa miguu ambayo...
  9. Sijaelewa kinachoendekea. Waziri mkuu anajinasibu kuwa ana kinga na hamuwezi kumfanya kitu? Au mimi nimeelewa vibaya?

    Nimeoona Clip ikisambaa mitandaoni kuwa yeye . Mwigulu Nchemba hawezi kufanywa kitu na mtu yoyote. Alishapambana na wenye dawa hasa wamasai tangia anachunga ng'ombe maporini. Hii imekaaje na ina maana gani?
  10. Kalamu ya Baba Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza PhD: Waziri Mkuu Mwigulu yuko sahihi ila tatizo liko hapa….

    Huu mjadala wa kupigiwa na kutopigiwa makofi msibani ni mgumu kama msiba ulivyo mgumu. Waziri Mkuu Mh. Mwigulu kasema yeye binafsi hahitaji kupigiwa makofi. Kama kupendwa, akiishapendwa na mkewe, INATOSHA. Namuunga mkono. Tatizo linaweza kuwa maeneo haya: 1. Je waliopigiwa makofi mengi...
  11. Hajawahi kutokea waziri mkuu wa chawa kama Mwigulu

    Huyu, kwa wanaomjua, alianza uchawa akiwa shule. Kama akichunguzwa wizi uliotokea chini yake akiwa wizara ya fedha, hawa wanaompamba hata kama wamenunuliwa au kujipendekeza, watakosa pa kuficha nyuso zao. Kimsingi, hakuna chawa yeyote anayefaa kuwa rais hata wa kundi la nyumbu. Kimsingi...
  12. M

    Mara ya kwanza tangu tumepata uhuru Rais na Waziri mkuu wake wanaongoza nchi huku wanalia majukwaani wanachukiwa

    Rais analalama kuwa anachukiwa sababu yeye ni mzanzibari Huyu anasema haitaji kupigiwa makofi pwa pwa pwa na kushangiliwa. Kwa nini wasitafute jibu kuwa watu hawawapend?
  13. R

    Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu: Vita na Iran haitadumu kwa miaka, inaweza kufanyiwa maamuzi

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema anatarajia vita dhidi ya Iran “haitaendelea kwa miaka mingi,” wakati mzozo huo ukiendelea huku Israel akilenga zaidi kushambulia Hezbollah wanaoungwa mkono na Iran nchini Lebanon, na Iran nayo ikishambulia nchi za Ghuba zinazohifadhi kambi za...
  14. Mkuu wa mkoa wa Manyara ni Magoti aliyechangamka, kelele zote zile ila ndio mkoa ambao Waziri Mkuu amekuta madudu hatari

    Kuongoza mkoa Hasa UKIWA umetoka vyama vya upinzania usipotuliza komwe utapigwa sana za uso mwishowe utadodonkea pia pwaa! Kwini wa Manyara inawezekana akawa the valueless mkuu wa mikoa katika ya wakuu WA mikoa nchini Tanzania. Ni mkuu wa mkoa ambae alikuwa kila siku yupo mitandaoni na maneno...
  15. S

    Waziri mkuu wa uingereza: Marekani itatumia kambi zetu za kijeshi kujilinda na mashambulizi ya Iran

    Marekani imeiomba UK kutumia airbase zake kwenye vita dhidi ya iran mara baada ya bases zote za USA kuharibiwa vibaya middle east. Waziri mkuu starmmer amethibitisha kukibali ombi hilo. Na vipi hali ya USS lincolin? Kwanini aombe kutumia air base za Uk ============ UK PM Starmer says US can...
  16. H

    Tusichukue bidhaa za watu, tusitupe bidhaa za watu hiyo ni mitaji yao - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba.

    Tusichukue bidhaa za watu, tusitupe bidhaa za watu hiyo ni mitaji yao - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba. 📍Katesh-Manyara 🗓️Machi Mosi, 2026
  17. H

    Waziri Mkuu: Serikali kuangalia upya migogoro ya ardhi nchini

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaangalia upya suala la changamoto ya ardhi nchini. Amesema kuwa haiwezekani kuwepo na migogoro ya ardhi ya muda mrefu ambayo haiishi hadi kufikia hatua ya kutishia undugu...
  18. H

    WAZIRI MKUU: SERIKALI KUANGALIA UPYA MIGOGORO YA ARDHI NCHINI

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaangalia upya suala la changamoto ya ardhi nchini. Amesema kuwa haiwezekani kuwepo na migogoro ya ardhi ya muda mrefu ambayo haiishi hadi kufikia hatua ya kutishia undugu...
  19. H

    Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba azindua stendi ya mabasi ya Dkt. Samia wilayani Hanang

    Ataka fedha zitafutwe kujenga barabara ya Katesh - Babati. Akataza watendaji kuchukua bidhaa za wajasiriamali wadogo WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua Stendi ya Mabasi ya Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyopo Katesh, wilayani Hanang, mkoani Manyara ambayo imejengwa kwa gharama ya sh...
  20. H

    Waziri Mkuu ashiriki mazishi ya Kardinali Pengo, Dar es Salaam

    WAZIRI MKUU ASHIRIKI MAZISHI YA KARDINALI PENGO, DAR ES SALAAM Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Februari 28, 2026 ameshiriki mazishi ya Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Marehemu Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, yaliyofanyika katika Kanisa la Hija ya Bikira...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…