Sikio la Kufa halisikii Dawa !!.
Hawa Wapumbavu wanadhani Mbinu zao zitawasaidia , Hawajui, hawajui kua mambo yamebadilika sana.
Kwani Vijana ,situmekufa?? Situmeuliwa ?.
Hata hili pia Muwe nalo tayari, Msigopeshwe, msirudi Nyuma!!.
Njia tuloichagua ,ndio njia sahihi, Lazima tupambane...