wasomi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jitu la Mara

    Kipi kifanyike ili elimu ya Tanzania iwe na tija kwa wasomi?

    Machozi, majuto na kuchanganyikiwa kwa wasomi wanaomaliza vyuoni kukosa kazi mtaani. Ndoto zao kuishia kuwa simulizi ndani ya nafsi zao ni msiba mkubwa kwa Taifa letu. Ni wakati sasa wa nchi kujipanga upya. Badala ya kushusha kila mwaka kontena la wasomi wasio na pakwenda, nchi itafakari...
  2. K

    Kuna Wanzanzibari wacheche wasomi wasio na kazi. Serikali inawapendelea!

    Ukienda kwenye balozi nyingi wamejaa wanzanziibari. Kwa kusingizia dini wamejazwa kwenye nchi zote za Gulf. Wapo balozi zote za Ulaya na Marekani. Wabara wamajaa balozi za Africa na nchi masikini. Hapa siongelei mabalozi bali wafanyakazi wa balozi. Kuna wakurugenzi, wakuu wa wilaya , mikoa...
  3. H

    Bora kipi bunge la wasomi mafisadi au machawa wasio mafisadi?

    Jitafakari!!
  4. H

    Kwa Tanzania kufanikiwa labda wabunge wasiwe wasomi, maprofesa,nk

    Nasema hivyo kwa maana kuwa wasomi wa Tanzania ndiyo wanaongoza kwa kutofikiria na wametanguliza masilahi yao kiasi kwamba hata ndugu/familia zao hawawajali wamekalia uzungu na usasa badala ya kuisaidia jamii inayowazunguka kupitia ujuzi/elimu waliyonayo. Sasa kama msomi hawezi kuitumia elimu...
  5. Now and then

    Mulamula alitolewa Marekani akaja akapewa ubunge na uwaziri ila leo anakatwa juu kwa juu , wasomi muwe makini ni ngumu sana kufanya kazi na akil ndogo

    Sikutegemea msomi, mwanadiplomasia Kama Mulamula kuishia kukatwa na wajumbe. In short don't trust politicians hasa ukiwa smart . Kwakuwa watu wenye akili Sana hawapendwi Tanazania.
  6. Hammer11

    Wasomi jibuni

    Tukisoma mambo ya hesabu agano la kale tunapata kuona Mungu alimjia Musa mlima sinai na akamweleza aende kuwakomboa wa misri kistarabu tuu pia tukija kuangalia Luke 26 malaika Gabriel alimtokea mwanamwali bikira mariam kistrabu na akamwambia utazaa mtoto utamwita Yesu ajabu sasa aliemtokea mtume...
  7. Prof_Adventure_guide

    TUNAO WASOMI, HATUNA TAIFA — Tanzania inateketeza hazina ya kitaaluma kwa maamuzi ya kipumbavu ya kisera"

    Tanzania ina wasomi zaidi ya milioni 1.5, lakini takriban 700,000 wapo mitaani wakihangaika, wakiwa ni victims wa mfumo usiothamini maarifa (anti-intellectual governance structure). Hii si ajali ya kihistoria, ni deliberate neglect. Ni uhalifu wa kitaifa dhidi ya akili za watu wake. Kwa mujibu...
  8. H

    Elimu kwa waafrika inazalisha wasomi wajinga!!

    Huu ndiyo ukweli,eti wasomi wooooote hao ndani ya Afrika sijui madokta,maprofesa, nk bado kuna wajinga na masikini wa kumwaga ndani ya Afrika sasa hao wasomi wamesoma nini kama siyo UJINGA waliosoma?
  9. Carlos The Jackal

    Jaji Mutungi, Msajili wa vyama vya Siasa, ulipo huoni Aibu wee Mzee? Tazama CCM wanavyokuumbua , umegeuka kua Muhuni katika Tanzania ya Wasomi!!

    Ni kupitia Ofisi yako na Kesi za Uchwara Uchwara ,umeizuia CHADEMA kufanya Shughuli zake za Kisiasa Kwa sababu za kijinga kabisa. Lakini CCM wenyewe ,Kwa Sasa wamewaonyesha Watanzania kua, sio tu kukiuka Katiba yao ya Chama, wamekiuka Katiba ya TAIFA. Mzee Butiku kasema CCM wamekiuka, Mzee...
  10. Z

    Cuba na Urusi kuna nini, zama zilee za mwalimu, wasomi wetu walio enda kusoma nchi hizo walirudi wakiwa wamechanganyikiwa (data)

    Huo ndio ukweli, watu wa miaka ya zamani watakumbula kuwa, wasomi wetu walio somea Cuba au Urusi walikuwa wamechanganyikiwa! Kwa miaka ya hivi karibuni mtamkumbuka Dr. Shika sasa marehemu, ambaye pia alisomea huko Urusi alirudi akiwa amedata. Wapo wengi tunawajua wengime wametangulia mbele za...
  11. C

    Wasomi wa Jukwaa hili hamjambo?

    Inasemekana kwamba jukwaa hili ndo lina wasomi na wajuvi wa kujenga hoja.Are you practicing what you preach or you are just keyboard warriors?
  12. Knock life

    Je Kilichomponza Super Black ni ile kauli yake ya kuwa Wasomi waende VETA ?

    Super Black kweli alijisahau Sana Ila tumeamua kumsamehe.
  13. L

    Uchapakazi wa Rais Samia walinasa na kuliteka kundi la Wasomi na Vijana Wa Vyuo Vikuu. Wapania kumpigia kampeni nyumba kwa nyumba

    Ndugu zangu Watanzania, Mambo yanazidi kunoga, mambo yanaendelea kuwa matamu, mambo yanaendelea kuwa motomoto. Rais Samia anaendelea kuteka mioyo ya watu, Rais Samia anaendelea kuchanja Mbuga mioyoni mwa watu, Rais Samia anaendelea kuteka na kukonga mioyo ya watu, Rais Samia anaendelea...
  14. Megalodon

    PreGE2025 Wasomi wanaliangusha taifa kwa asilimia kubwa

    Wasomi ni chanzo cha taifa la Tanzania kuwa jinsi lilivo kwa sasa kama lilivo. Kipindi Kama hiki ndio kipindi wasomi wanapaswa kuwa mbele kwenye kuchukua fomu za ubunge na uongozi, badala yake utaona fomu zinachukuliwa na mbululazi na hopeless generation. Utamsikia msomi anasema mimi sitaki...
  15. B

    Vijana wasomi wacharuka, wakosoa hali ya kisiasa iliyopo Tanzania

    22 June 2025 Vijana hao wa vyuo mbalimbali ikiwemo UDSM, NIT n.k Wachambua hali ya kisiasa yenye maono mbalimbali Kutiki October 2025 No Reforms No Election Amani ya kudumu hupatikana kwa kupitia haki Uchaguzi huru hautampa ushindi wa wa asilimia 100% Bunge la Dodoma lamulikwa Umuhimu wa elimu...
  16. K

    Jinsi Wasomi Wanavyochangia Tanzania Isiyo ya Kidemokrasia BY Chat GPT

    Jinsi Wasomi Wanavyochangia Tanzania Isiyo ya Kidemokrasia Katika jamii nyingi, wasomi hutegemewa kuwa mstari wa mbele katika kuendeleza demokrasia, haki za binadamu, na uwajibikaji wa serikali. Hata hivyo, hali ya mambo nchini Tanzania inaonyesha kuwa sehemu ya wasomi wanachangia kudidimiza...
  17. xbin40

    Wasomi njooni tusaidiane hapa.

    Naombeni kujua haya mambo 1. Ajira za utumishi wanavyosema kucertify vyeti ndo uombe ajira, je zile transcripts ambazo zinaambatana na vyeti vya chuo nazo zinatakiwa kuwa certified Au ni cheti tu? 2. Kwasasa kupata mhuri wa mahakama au mwanasheria ina range kwenye kiasi gani cha pesa? 3...
  18. mbuyake

    Mawakili wasomi mchango wenu hapa

    Ni hivi kuna binti wa kaka wamekuwa na tofauti na mme wake kwa muda.hii imepelekea wakaenda kwa balozi kwa usuluhishi ila bado mme hakuridhia ,mme akatupigia simu sisi wazazi nikawaita kuwashauri ,kwa kumwambia hizi tabia ndogondogo ni sababu ya mimba hivyo vumilia na binti tukamkanya basi...
  19. W

    PreGE2025 Wasomi wasema hawamtaki Martha Karua nchini ataleta machafuko

    Anayewatuma(ga) hawa madogo kuzungumza kwenye issue serious kama hizi ni kwamba huwa hawajui kama wanajichoresha au? Kwenye issue nzito za kidiplomasia wao wanaongea kama wamekatwa vichwa vile === Katika Kongamano la wanavyuo mkoa wa Dar es Salaam wameungana na kudai Wakili kutoka Kenya Martha...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Kimedani: Vijana wasomi badilisheni Mbinu za kivita. Upepo wa mashambulizi umebadilika

    KIMEDANI; VIJANA WASOMI BADILISHENI MBINU ZA KIVITA. UPEPO WA MASHAMBULIZI UMEBADILIKA Anaandika, Robert Heriel. Mtibeli. Upo kwenye Vita. Vita vinahitaji mambo makuu yafuatayo ili ushinde; 1. Nguvu kazi(jeshi) Jeshi ni wewe Mwenyewe! 2. Elimu, ujuzi, maarifa na mafunzo ya kivita. Hapa...
Back
Top Bottom