wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Ni kwa nn trend ya vifo ni vingi kwa wanaume kuliko wanawake?

    Yaani naona wanaume wanapukutika tu. Yaani ukiacha ajali na vifo vya uzazi, wanaume wanakufa sana. Ukizingatia tu idadi ya viongozi wetu wakuu wote waliofariki wake zao wapo Karume, Nyerere,mwinyi, mkapa Lowasa Membe, Magufuli nk Kuna tatizo gani niwaombe mabingwq waje na research ili tujue...
  2. Ninakinai wanawake haraka sana,ni kawaida au nina changamoto zingine?

    Mko poa watu wa Mungu! Kuna hali flani ya kukinai wanawake mapema kabisa inanitokea nashindwa kuielewa ni nimerogwa au ni kawaida? Naweza nikatumia gharama kubwa kumfukuzia demu ila nikishampata na nikamgegeda mara moja tu,naloose interest na yeye kabisa.au pia naweza nikaopoa tu wale mademu wa...
  3. Wanaume mmepitwa mapenzi na mahaba na Jogoo

    Najua haiwahusu ila nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji sasa basi nina majike wanne na jogoo moja, nimeshtushwa sana jinsi jogoo anavyowajali wake zake, Kwanza, jogoo hali mpaka majike wale, anawaitia chakula yeye anasimama pembeni, Pili, anawapeleka sehemu ya kutagia yaani anatengeneza sehemu...
  4. Ukiona kwenye mkutano wamejaa wanaume!! Ogopa sana

    Kwenye mikutano mingi ya kisiasa wanawake na watoto hususani wanafunzi huwa ndo wengi zaidi huku ni nadra kukuta kundi kubwa namna hii la wanaume CCM na serikali yake wana la kujifunza hapa, watu wanatembea kwa miguu wengine umbali wa zaidi ya kilometa mbili, Hawajasombwa kwa magari au maroli...
  5. Msaada kwenye tuta: wanaume wenzangu mnafanyaje fanyaje mpaka mnafika kilele haraka wakati Wa tendo?!!

    Nimeachwa na Wanawake wapatao Sita Sasa wakidai Kuwa nawakomoa sana wakati Wa tendo Maana nimekua sifiki kileleni nafanya kwa muda mrefu mno mpaka inakua kelo kwao, Mwanzo niliona sifa Lakini Sasa naona siyo sifa nzuri tena, nilimtembelea dokta mmoja nikamueleza jambo hili private aliniambia...
  6. Wanaume wa enzi hizo mpo bado au yalishawafika? Tujuzane!

    Zamani wanaume wenye familia tulikuwa tunanunua vitu kwa jumla, mchele kilo 50, unga kilo 25, sukari kilo 25, mafuta ya kula lita 20, sabuni kiroba kizima, sabuni carton nzima, ges mtungi wa kilo 30, nk, nk na mambo yalikuwa shwari kabisa familia haina shida. Sasa jifanye unanunua vyote hivyo...
  7. Hela ya Mwanaume ni ngumu, usiwe na mazoea ya kuomba msaada kutoka kwa Wanaume wenzio, wengine watarudisha kupitia mke wako

    Hela ya Mwanaume ni ngumu, usiwe na mazoea ya kuomba msaada kutoka kwa Wanaume wenzio, wengine watarudisha kupitia mke wako Binadamu wanatofautiana sana, wema ni wachache, jinsia yetu ya kiume inatofautiana sana kifikra, wapo baadhi ya wenzetu fikra zao zimejikita sana kwenye ngono kwa maana...
  8. Nawakubali sana wanaume wenye six pack

    Moja ya kitu kigumu sana ni kua consistent na mazoezi, ukiona mtu ana six pack maana yale amekua na discipline ya hali ya juu na kua consistent. Consistency beat talent, so mi huwa nawakubali sana.
  9. Dada katoa Code kwetu wanaume, mnakubaliana naye au mnabisha wakuu?

    Dada katoa Code kwetu wanaume, mnakubaliana naye au bado mnabisha? Huyu dada mpaka anazungumza haya anafahau ukweli wa wanawake wenzake Binafsi nakubaliana naye kwasababu nimeona mengi sana
  10. Wanaume

    Hivi ni mimi tu ndio nashindwa kutembea na 🪪 wallet au nikitembea na wallet basi nita sahau pahala au nitaangusha naona kubeba wallet naona kama ni shida fulani nimeenda nishazoea sasa vitambulisho pesa naweka kwenye mfumo wa jeans imepita hivi sitembei kabisa na wallet hili swala limenishinda...
  11. Wanawake mnaolalamika wanaume wanamaliza haraka mnataka tuwaeleweje?

    Mtu analalamika eti wanaume wana haraka katika kufanya tendo, ila mtu huyo huyo yeye ana haraka ya maisha kupelekea kukuacha wewe ambaye bado una hustle. Kwa sisi mabaharia ile haraka huwa ni munkali wa stress zilizopo kichwani za kuambiwa turudi veta plus nauli ulizokula hapo nyuma. So kila...
  12. Wanaume Jifunzeni Ku-Handle Familia Zenu: Usikubali Uongozi wa Nyumba Ugeuke Ukoloni!

    Listen up kings, let’s get this real and raw—life ya ndoa siyo sinema, na hakuna mtu atakuja kukufundisha kuishi na mwanamke wako. Hii ni game ya akili, moyo na nidhamu ya hali ya juu. Ukiona unam-control mke wako kwa makelele, vitisho na mangumi, bro unaishi kama colonizer wa karne ya 18. Hii...
  13. Tanga wanaume wengi kwenye ndoa wanalea watoto sio wa kwao kiufupi wanaume wanapigiwa sana,wanaume wapo weak na wavivu sana

    Sijawahi kuona wanawake wa ajabu kama mkoa wa Tanga japo wanawake hawatofauti ila wanawake wa Tanga wamezidi huu mkoa bwana aisee unakera sana na una wanaume weak sana aisee wananikera na kunichukiza aisee na wanaume Wengi sana kwenye ndoa wanalea watoto sio wa kwao Yaani unaweza kati ya...
  14. B

    Swali kwa natafuta ajira na wanaume wengine kuhusu kuoa wadada wenye miaka 19-23

    Habarini, Natafuta Ajira alileta uzi uliosema wanaume wa 30's tuoe mabinti wa 19-23, wanaume wengi ikiwemo mimi walimuunga mkono natafuta ajira, ila hizi ni factors ambazo hatukuzi consider: 1) Kwa uzoefu wangu mdogo mabinti wengi wa miaka 19-23 wana prefer ku-date na age mate wenzao...
  15. Just for fun: Namna wanaume hudeal na michepuko, akili mingi sana hutumika

    Kuna familia hapa jirani Mara nyingi ilikua Ikimhisi Sana father house wao kuwa alikua na nyumba ndogo huko mtaani. na daima familia kiujumla ililalama kuwa mzee wao alifuja kipato chake kikubwa kwakuhudumia nyumba ndogo (ambayo walikuwa wanaihisi tu kua itakuepo) Mziki ni pale Jama amekuja...
  16. Kuna madhara gani ya wanaume kutumia picha za wadada warembo kupiga punyeto

    Ndugu zangu. Katika jambo la kujimaliza , wanaume wengi wamekua wakitumia picha za warembo mbali mbali kujimaliza kwa kuwapigia punyeto huku wakiamini wameridhika kabisa. Je, ni sababu zipi zinazopelekea hasa matumizi ya picha za warembo pindi mwanaume anapotaka kujimaliza ubongo wake na yapi...
  17. ushauri...nimetembea na wanaume wawilii!

    Mzuka wana JF Habari Nina mdogo wangu katembea na wanaume wawili kwa siku moja kwa mda tofauti tofaut alafu alikuwa kwenye siku zake za Atari anauliza akipata mimba mtoto anaweza kufanana na wakwanz au wapili anaomba ushauri
  18. Wanaume Haya Tuliyataka Wenyewe

    Huko nyuma wazazi wetu na wazee wetu waliishi na bibi zetu na mama zetu,hali ya kuwa wanaume ndio watafutaji na ilikuwa hivyo siku zote,wala hawakuhofia sijui sisi tukifa watoto wetu wataishi vipi? Kwasababu anayetoa riziki ni Mungu,kwahiyo hata kama hao walipo kufa Mwenyezi Mungu aliendelea...
  19. Kwa wanawake waliokutana wanaume au wanaume wanaomwaga kwa sekunde hali hio mnaichukuliaje

    Katika hali isiyo ya kawaida amq kutokana na kukosa uzoefu, hofu, wasiwasi, kutofanya mazoezi, punyeto, msongo wa mawazo, lishe duni, kurithi na mengineyo mwanaume anaweza kukumbwa na tatizo la kumwaga mapema. Kwa hali hii kwa mwanaume ambaye hajafanya kwa mda mrefu ni kawaida kukumbwa na hili...
  20. Wanawake wote Tanzania mngekuwa kama Mke wa Mwijaku hakika Sisi Wanaume zenu tungewapenda Kunakotukuka

    "Wala sina wasiwasi na yaliyomtokea Mume wangu na kwa msichokijua Mimi nilijua mapema kabla yenu na nikazungumza nae na kumalizana nae na sasa tunaendelea na Maisha pamoja na Mapenzi yetu huku tukiwashangaa tu mnaoshadadia na kuzungumzia Kutwa hili jambo. Nampenda mno Mume wangu Mwijaku hata...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…