Baada ya kusoma chapisho hili... Na lile la Abbas Tarimba kutaka ongezeko bei ya mafuta,
Naomba niseme mapema... Kama nchi Bado tuna safari ndefu sana!
Haya ni matokeo tu!
Tatizo kubwa lipo na linaanzia kwa wananchi hadi kwenye mifumo ya uchaguzi!
Uchaguzi wa ovyo ovyo tunaishia kupata viongozi...