Habari za uzima wana JF!
Mpenzi wangu amepata changamoto ya kiafya hivi karibuni.
Hawezi kubana mkojo hata kwa dakika moja, ile feeling ya kukojoa ikifika mkojo unatoka wenyewe tu, hawezi kuuzuia.
Hii changamoto ni nini, na inaweza kutatuliwa vp?
Kwa wajuzi wa mambo ambao wameweza kuishi au kusoma au kwenda tu matembezini abroad hasa nchi ya Uturuki
Je mji mzuri wa kuishi ambao maisha yapo cheap kwenye nchi ya uturuki Izmir, Bursar, Ankara, Antalya, Istanbul na miji mingine upi mji mzuri kuishi?
Jina la Mungu lenye herufi nane.
Eloha Vadaath אלוה ודעת Jehovah Vedaath, יהוה ודעת
Katika lugha ya asili.
Malipo manane ya wenye heri.Ambao ni Wananchi wa Tanganyika
Urithi.
Kutokuharibika.
Nguvu.
Ushindi.
Kuona uso wa Mungu.
Neema.
Ufalme.
Furaha.
Katika ulimwengu wa kiakili (wa kiroho wa...
Habari zenu Wana jukwaa,,,
Naomba msaada kwa yule mwenye uzoefu.Ni bank Gani hapa Dar(Tz) naweza kwenda kulipia Visa kwa ajiri ya appointment US embassy?
Au taratibu za kufuatwa ili niweze kulipia hiyo gharama kwa ajili ya mahojiano,nimeshajaza Ds 160 form,nipo kwenye hatua ya pili ya malipo...
Jamani msaada mti gani unaweza kupambana na hawa wadudu, wanao sababisha homa ya tumbo ??
Kama kuna muhanga aliyetumia mti fulani ukamsaidia Tunaomba taarifa.
Salam sana Wanajukwaa,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Nikiri mimi ni mpenzi wa mprira wa miguu, naangalia mechi za club za ulaya, Kimataifa na za Nyumbani apa NBC. Kwa muda mrefu nimekuwa nikichunguza hili jambo kwa muda mrefu na kuuliza watu kwamba ina maana gani, nimekosa majibu rasmi na ya...
Salaam tutasalimiana siku nyingine Leo tuingie kwa topic chap chap, hakuna kupoteza muda harufu ya damu imenipanda.
Nianze kwa yaliyonitokea miaka 6 iliyopata. Mwaka 2019 nikiwa mkoa Y nilipata tukio lililonoachia kovu kubwa sana. Nilikua na biashara mbili Moja ya pharmacy na dukani kuuza vifaa...
Ni hali iliyoanza kunitokea mwezi uliopita, Mwanzoni nilipuuzia ila imekuwa too much sasa kiasi cha kunistua.
Siangalii muda mara nyingi lakini katika mara chache nazoangalia muda nakuta mpangilio wa namba unaonipa mashaka
Nikiangalia muda kunakuwa na namba mbili tu au moja zinazojirudia...
Habari wanajukwaa, nina hii sakata nahitaji msaada wa mawazo nini kifanyike.
Nilikua na nimeajiriwa kwa biashara ya mtu, mzigo/malighafi nachukua kwa watu watu kwa mali kauli na mwenye ofisi alikua anafahamu.
Baada ya mda mwenye biashara kanigeuka kwamba yale madeni ni yangu binafsi sio ya ofisi...
Aisee hivi kuna ishara yoyote ya kiimani ukiwaona popo wengi sana? Aisee leo nimejikuta nimepigwa na mshangao kiukweli wakuu maana kuna sehemu nimekaa chini ya mti nikawaona popo wengi sana Wanaruka ruka then wakaishia juu ya mti ambapo mimi nipo wametulia aisee! Sasa nauliza kuna ishara yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.