wajinga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Wapinzani kwa ujinga huu hamtaiongoza nchi hii mpaka Yesu arudi. Abadani

    Wapinzani wapo kama milofa fulani, wanasubiri tukio ndio wadandie mada kama komba. Kila tukio linalotokea Tanzania wapinzani lazima walidandie. Liwe zuri au baya. Soon sasa hivi wapinzani watapita na trend ya mgao wa maji. Serikali ikifix wanakaa kimya na kutafuta jambo jingine. Sasa mjinga...
  2. Sales man

    JamiiForums Tanzania Nchi haiwezi kukombolewa na watu wajinga!

    Mimi siisapoti CCM ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana Najiuliza na nacheka Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweli wanaweza kukomboa nchi.!!!? Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof...
  3. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Vijana wajinga walikuwa wanasubiri jeshi lichukue nchi na kumuondoa Samia kwa amri ya Mange Kimambi

    Samahani sana kama nitawakwaza kwa kusema 'Tanzania ina vijana wajinga sana'. Chanzo chao cha habari za kuaminika ni Millard Ayo. Chanzo chao cha maarifa na Elimu ni Mange kimambi. Vijana wa Tanzania waliamini kwa 80%-90% au zaidi kuwa Tarehe 29 September jeshi la ulinzi lingekwenda kuipindua...
  4. Mayu

    JamiiForums Tanzania Hotuba za Mwigulu; Hivi ni kweli Watanzania ni wajinga kiasi hiki?

    Hivi hizi POROJO za Mwigulu ni kwasababu anajua Watanzania ni WAJINGA na wataami au hawana jinsi watakubaliana naye TU Au HAJUI kwamba Watanzania sio WAJINGA tena na WANAJUA wanachokipambania?
  5. Logikos

    JamiiForums Tanzania Je tunazidi kuwa Wajinga - The Rise of Homo Idioticus: Are We Getting More Stupid?

    Hii ni article ya Cezary Pietrasik; Nachelea kusema ni kweli kuna rise of Mass Stupidity na Decline of Critical Thinking inayosababishwa na information overload hivyo watu kuacha kutumia muda wa kuchambua mambo badala yake kuachia wengine wawaze kwa niaba yao. Article by Cezary Pietrasik: Key...
  6. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Video: Sitaki kulala ndani kwa ajili ya watu wajinga, tukubaliane na aliye madarakani amani ndiyo kila kitu

    Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa ruhusa kwa magari ya abiria kuanza kutumia barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu ya tatu inayoanzia katikati ya jiji la Dar es Salaam kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JNIA hadi Gongo la Mboto kwa lengo la kupunguza msongamano wa magari katika...
  7. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Naona muelekeo mbaya sana juu ya mustakabari wa taifa letu. Bado WanaCCM wanaona raia ni wajinga na Mbumbumbu

    Kwamba kuna mataifa ya jirani tena ndani ya jumuia ya Afrika Mashariki yanaonea wivu rasilimali za taifa letu. Makaa ya mawe, chuma cha Liganga na Mchuchuma, Bandari ya Dar es salaam na Gasi ya Mtwara. Ndio maana haya mataifa ya jirani yakawachochea wananchi kuingia barabarani kabla hata...
  8. October 2pm

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Aliye karibu na Askofu Gwajima mwambie ahame Location, wajinga washanasa

    Mpaka sasa askofu alihama maeneo zaidi ya mara tatu. Mara ya mwisho alikuwa Mikocheni karibu na Ubalozi wa deshideshi. Walahi sijui! Najuzwa alitaka kuvuka mpaka lakini ikashindikana. MO29 ilimkuta Safehouse mayii mayii. Hapa najuzwa huko alipohamia kuna wahuni wametrack node na wameinyaka...
  9. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Hawa wajinga wanaukosea sana uislamu, wanataka tuonekane wote ni wajinga

    Je! Baada ya kuua maelfu ya Watanzania, Wauaji wanacheza karata ya udini kwa kuwatumia wapumbavu wanaojiita Waislamu? Je! Baada ya kutengeneza utawala wa kuteka, kutesa, kupoteza na kuua wakosoaji wa CCM, sasa wanaongeza na kueneza chuki za kidini? Uislamu ni dini ya HAKI. Uislamu ni dini ya...
  10. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 watanzania wana akili sana na wala sio wajinga, dini wala sio hoja yao

    Naona mpo busy sana na mnapambana sana kulazimisha sana mgogoro wa kidini lakini niwahakikishie pasi na shaka watanzania wana akili sana na wala sio wajinga, dini wala sio hoja yao, ukatoliki na uislam wala sio hoja ya wananchi. Hoja ya wananchi ni utekaji ukome, mauaji yakome, na wizi na...
  11. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 D9 ni nzito imetafutwa propaganda ya Udini kuwahadaa Wajinga

    GT Kama ilivyomkawaida ya maCCM hawa jamaa akili hawna hata mbinu za kukabiliana na matatizo hawana they are not problem solvers. Sasa kutokana na pressure ya maandamano D9 wanepenyeza agenda ya kipumbavu sana engineered from the system maana serikali ipo kimya pamoja na upumbavu unaoendelea...
  12. Yoda

    JamiiForums Tanzania Wanaosisitiza amani zaidi badala ya HAKI ni wajinga au wanufuika wa mfumo kandamizi. Haki ikitamalaki amani inakuwepo automatically

    Ukiacha vichwa panzi wachache na mapoyoyo wa hali ya chini na wale wenye maisha duni wanaoimbishwa wimbo wa amani bila haki na wanaimba kwa sababu ya ukosefu wa maarifa, taarifa sahihi au udini wengine wote wanaoimba zaidi amani badala ya kuimba zaidi haki ni wanufaika wa mfumo ulioondoa...
  13. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kwa utafiti usio rasmi nimegundua kuwa Watanzania ndio wajinga nambari 1 duniani

    Kipimo cha uwezo wa mtu kufikiri au kipimo cha kupima ujinga wa mtu kichwani ni kuangalia jinsi anavyoweza kuchambua jambo analoambiwa au kusikia. Chukua simu zako mbili moja ivike uhusika mwingine, huyo mtu awe maarufu fanya kama unachati naye huyo mtu chukua screen shot weka mitandaoni. Kwa...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Wanaofurahia mfumo wa sasa Tanzania ni wajinga

    Wanao furahia mfumo wa sasa Tanzania ni wajinga. Mfumo ambao haufuati sheria yeyote hata kama zipo ni mfumo wa ajabu sana. Kesho akija Rais mwingine anaweza kuamua kutaifisha chochote kwa yeyeote. Cha kushangaza kuna watu wanafumbia macho utekaji, kubambikiziwa kesi sasa miaka mitano tu...
  15. Killing machine

    JamiiForums Tanzania Huwezi kuniambia mzungu ndiye kiumbe aliye staarabika huku yeye ndiye mwanzilishi wa biashara ya kuteka nakuuza binadamu

    Habari zenu wakuu. Mtu smart hawezi kutengeneza nucrea inayo weza kuuwa au kuanga miza watu hata yeye mwenyewe akiwemo na kuitunza ndani kwa lengo la kuja kuwa dhuru wengine na yeye mwenyewe akiwemo huyo haipaswi kuitwa mtu smart Bali mwenda wazimu Mtu smart hawezi kuwakamata binadamu wenzie...
  16. H

    JamiiForums Tanzania Wajinga wachache wanaoongoza wajinga wengi hawana makosa/dhambi bali wajinga wengi wanaoongozwa na wajinga wachache ndiyo wenye makosa/dhambi

    Hapa Tanzania. TAFAKARINI!!
  17. H

    JamiiForums Tanzania Wenye elimu/wasomi ni wajinga mno katika nchi hii ya Tanzania

    Tatizo hawa waTanzania hawasimamii ukweli iweje usome hadi Phd ktk elimu ya miamba,maji,utabibu,uchumi,nk halafu usiifanyie kazi taaluma yako ukimbilie siasa/ubunge usio fani yako upige na magoti kuomba kura kwa wasio wasomi kama siyo ujinga ni nini?? Nani mjinga hapo asiyesoma ambaye...
  18. Mama Ametufikia

    JamiiForums Tanzania Kama CCM ni chama cha watu wajinga, imetokeaje watutawale zaidi ya miaka 60?

    Utawasikia CHADEMA wanakuambia ccm ni chama cha WATU wajinga Ila inawezekana vipi wajinga waitawale nchi hii miaka 60?
  19. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Wanavyokunjaga sura, huwezi amini wanapelekeshwa na wajinga kama CCM. Wanapigishwa Mistari kupiga kura wakati Uchaguzi ulishaamuliwa.

    Wanavyokunjaga sura na kujifanya wababe na wajuzi huwezi amini wajinga wajinga CCM wanawapelekesha kama mazuzu. Huwezi amini CCM wanawaona kama matoy tu yasiyo na chochote wala lolote. Yaaani hawa nao Oktoba wanapigishwa mistari kutiki wakati CCM, Tume na NIDA walishaamua kura ziweje na ushindi...
  20. Mama Ametufikia

    JamiiForums Tanzania Lissu , anaamini anaweza kuwapigania watu wajinga kama watanzania Keybord worriors !Ahh is waste of time and energy.

    Is waste of time and energy kusema umpambanie Mtanzania . Familia yake hawakuwa wajinga kumshauri aachane na huo ujinga unaitwa siasa.
Back
Top Bottom