Wapinzani wapo kama milofa fulani, wanasubiri tukio ndio wadandie mada kama komba.
Kila tukio linalotokea Tanzania wapinzani lazima walidandie. Liwe zuri au baya.
Soon sasa hivi wapinzani watapita na trend ya mgao wa maji. Serikali ikifix wanakaa kimya na kutafuta jambo jingine.
Sasa mjinga...
Mimi siisapoti CCM ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana
Najiuliza na nacheka
Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweli wanaweza kukomboa nchi.!!!?
Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili
Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof...
Samahani sana kama nitawakwaza kwa kusema 'Tanzania ina vijana wajinga sana'.
Chanzo chao cha habari za kuaminika ni Millard Ayo.
Chanzo chao cha maarifa na Elimu ni Mange kimambi.
Vijana wa Tanzania waliamini kwa 80%-90% au zaidi kuwa Tarehe 29 September jeshi la ulinzi lingekwenda kuipindua...
Hivi hizi POROJO za Mwigulu ni kwasababu anajua Watanzania ni WAJINGA na wataami au hawana jinsi watakubaliana naye TU
Au HAJUI kwamba Watanzania sio WAJINGA tena na WANAJUA wanachokipambania?
Hii ni article ya Cezary Pietrasik; Nachelea kusema ni kweli kuna rise of Mass Stupidity na Decline of Critical Thinking inayosababishwa na information overload hivyo watu kuacha kutumia muda wa kuchambua mambo badala yake kuachia wengine wawaze kwa niaba yao.
Article by Cezary Pietrasik:
Key...
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa ruhusa kwa magari ya abiria kuanza kutumia barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu ya tatu inayoanzia katikati ya jiji la Dar es Salaam kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JNIA hadi Gongo la Mboto kwa lengo la kupunguza msongamano wa magari katika...
Kwamba kuna mataifa ya jirani tena ndani ya jumuia ya Afrika Mashariki yanaonea wivu rasilimali za taifa letu.
Makaa ya mawe, chuma cha Liganga na Mchuchuma, Bandari ya Dar es salaam na Gasi ya Mtwara.
Ndio maana haya mataifa ya jirani yakawachochea wananchi kuingia barabarani kabla hata...
Mpaka sasa askofu alihama maeneo zaidi ya mara tatu. Mara ya mwisho alikuwa Mikocheni karibu na Ubalozi wa deshideshi.
Walahi sijui! Najuzwa alitaka kuvuka mpaka lakini ikashindikana. MO29 ilimkuta Safehouse mayii mayii.
Hapa najuzwa huko alipohamia kuna wahuni wametrack node na wameinyaka...
Je! Baada ya kuua maelfu ya Watanzania, Wauaji wanacheza karata ya udini kwa kuwatumia wapumbavu wanaojiita Waislamu?
Je! Baada ya kutengeneza utawala wa kuteka, kutesa, kupoteza na kuua wakosoaji wa CCM, sasa wanaongeza na kueneza chuki za kidini?
Uislamu ni dini ya HAKI.
Uislamu ni dini ya...
Naona mpo busy sana na mnapambana sana kulazimisha sana mgogoro wa kidini lakini niwahakikishie pasi na shaka watanzania wana akili sana na wala sio wajinga, dini wala sio hoja yao, ukatoliki na uislam wala sio hoja ya wananchi.
Hoja ya wananchi ni utekaji ukome, mauaji yakome, na wizi na...
GT
Kama ilivyomkawaida ya maCCM hawa jamaa akili hawna hata mbinu za kukabiliana na matatizo hawana they are not problem solvers.
Sasa kutokana na pressure ya maandamano D9 wanepenyeza agenda ya kipumbavu sana engineered from the system maana serikali ipo kimya pamoja na upumbavu unaoendelea...
Ukiacha vichwa panzi wachache na mapoyoyo wa hali ya chini na wale wenye maisha duni wanaoimbishwa wimbo wa amani bila haki na wanaimba kwa sababu ya ukosefu wa maarifa, taarifa sahihi au udini wengine wote wanaoimba zaidi amani badala ya kuimba zaidi haki ni wanufaika wa mfumo ulioondoa...
Kipimo cha uwezo wa mtu kufikiri au kipimo cha kupima ujinga wa mtu kichwani ni kuangalia jinsi anavyoweza kuchambua jambo analoambiwa au kusikia.
Chukua simu zako mbili moja ivike uhusika mwingine, huyo mtu awe maarufu fanya kama unachati naye huyo mtu chukua screen shot weka mitandaoni.
Kwa...
Wanao furahia mfumo wa sasa Tanzania ni wajinga. Mfumo ambao haufuati sheria yeyote hata kama zipo ni mfumo wa ajabu sana.
Kesho akija Rais mwingine anaweza kuamua kutaifisha chochote kwa yeyeote. Cha kushangaza kuna watu wanafumbia macho utekaji, kubambikiziwa kesi sasa miaka mitano tu...
Habari zenu wakuu.
Mtu smart hawezi kutengeneza nucrea inayo weza kuuwa au kuanga miza watu hata yeye mwenyewe akiwemo na kuitunza ndani kwa lengo la kuja kuwa dhuru wengine na yeye mwenyewe akiwemo huyo haipaswi kuitwa mtu smart Bali mwenda wazimu
Mtu smart hawezi kuwakamata binadamu wenzie...
Tatizo hawa waTanzania hawasimamii ukweli iweje usome hadi Phd ktk elimu ya miamba,maji,utabibu,uchumi,nk halafu usiifanyie kazi taaluma yako ukimbilie siasa/ubunge usio fani yako upige na magoti kuomba kura kwa wasio wasomi kama siyo ujinga ni nini??
Nani mjinga hapo asiyesoma ambaye...
Wanavyokunjaga sura na kujifanya wababe na wajuzi huwezi amini wajinga wajinga CCM wanawapelekesha kama mazuzu. Huwezi amini CCM wanawaona kama matoy tu yasiyo na chochote wala lolote.
Yaaani hawa nao Oktoba wanapigishwa mistari kutiki wakati CCM, Tume na NIDA walishaamua kura ziweje na ushindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.