wadudu

  1. VERBOSE

    Na huyu ndio yule Mdudu anaependwa zaidi Duniani kuliko Wadudu wote Ila ana vituko

    Picha inajieleza.
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Mwandambo anakuambia hana shida na Rais halafu muda huohuo anahadithia alivyolazwa kwenye chumba chenye wadudu

    Hamjambo! 1. Kuna mambo yanafurahisha Sana nchi hii. 2. Wapo watu waliokuwa wafuasi wa Mwandambo Mzee wa nachoka kabisa. 3. Kuna watu ni wafanya vichekesho, vituko, content creator. Sasa ni kosa kubwa kushindwa kuwatofautisha na wapigania Haki. 4. Kwani utajikuta unadandia mitumbwi ya...
  3. DuaZaMama

    Mwandambo: Niliwekwa kwenye kituo hakijatumika mwaka mzima, kili kuwa na wadudu wengi sana

    Mwandambo Clemence anasimulia namna alivyokamatwa na Jeshi la Polisi Jijini Mbeya.
  4. Mafyangula

    GE2025 Wadudu: Tunahitaji viongozi wenye maadili na utu ili watuletee maendeleo

    Mkoani Arusha kuna kikundi cha vijana maarufu kwa jina la Wadudu, ambapo baadhi ya vijana kutoka kikundi hicho wamesema wapo tayari kushiriki uchaguzi mkuu ili wawachague viongozi watakaosimamia ndoto zao. “Tunahitaji viongozi wenye maadili na utu ili watuletee maendeleo,” amesema Kenyenyo...
  5. Think2

    Hii ni kiboko ya wadudu wote wasumbufu sumbufu

    Hii dawa ni nouma sana inzi, mende, kunguni , mbuu na n.k ukipulizia ndani hutoona mdudu yeyote akikatiza. Lkn pia nyoka hatoboi kwenye hii dawa hawezi kuingia ndani akisikia hii dawa akijaribu kuingia kwa kuforce akigusa tu anakwenda na maji Inaitwa canye 😁😁😁
  6. S

    Hawa ni wadudu gani?

    Naomba kufahamishwa hawa wadudu wanaoning'inia kwenye ukuta wanaitwaje?
  7. Mganguzi

    Huu msitu unaoitwa Hamphrey Polepole ni mzito ,una wanyama wakali mno. CCM msiuchukulie poa na msiudharau! Una Kila aina ya wanyama na wadudu!!

    Kujiuzuru kwa Hamphrey sio kwamba ni ajali au imetokea tu kama mvua za masika la !! Kuna mkakati mzito kutoka ndani na nje ya nchi , Polepole mpaka anaamua kujiuzuru ni kwamba ni yeye ndio amewekwa mbele na Kuna makubaliano maalumu na malengo maalumu! Polepole sio kichaa Yuko sirias na ana...
  8. Orketeemi

    Wadudu ni alama ya vijana wa Arusha

    Watanzania Salam tuachane nazo tu. Short and clear Vijana wa Arusha wana usela mavi sana , ni limbukeni mno. Kibali kataa, ukweli ndio huo
  9. Chibike

    Naombeni muongozo wa kwenda kushtaki jirani ambaye anachanganya madawa yenye sumu Kali ya kuua wadudu shambani

    Husika na kichwa Cha Habari Wadau naombeni muongozo hapa, je hii kitu ni sawa? Kwenye makazi ya watu mtu nyumbani kwake anachanganya sumu Kali zenye harufu Kali za kuua wadudu mashambani na kwenye mazao , hivyo harufu inasambaa kwa majirani na watoto are present Hivi hizi sumu si ndio...
  10. T

    Mtaalamu wa kupulizia wadudu/Fumigation service Morogoro

    Wakuu naomba kama unafanyaga kazi za fumigation unicheki Kazi: kupulizia ama kupaka dawa mbao za kenchi ya nyumba Mahala: Morogoro mjini Bei : tutazungumza ukishanicheki
  11. Mathias Byabato

    Wananchi Mkoani Kagera wanavyonufaika na uwepo wa wadudu aina senene

    Idadi kubwa ya wakazi kutoka maeneo mbali mbali ya mkoa wa kagera wamekiri kupata fursa kubwa ya kipato kutokana na kufanya biashara ya wadudu aina ya senene. Wakizungumza katika mahojiano maalum na Kcr fm wakazi hao akiwemo Mektrida Leonard wamesema katika msimu wa senene wamekua wakipata...
  12. Said S Yande

    Tembo jumba la wadudu

    Tembo ni jumba la wadudu. Wadudu wanaishi humo wakila na kunywa huku tembo akiendelea na maisha yake. Tembo hana uwezo wa kuua wadudu, hivyo kawafanya kuwa rafikize as long as hawamdhuru. Wadudu wamegundua kuna nyuki na siafu wanamsumbua tembo - nyuki na siafu nao wanatafuta chakula na pa...
  13. Megalodon

    Fumigation iliyopulizwa CHADEMA iongezwe, bBado kuna wadudu wanatambaa!

    Imepulizwa Fumigation tunaona wadudu wanavyotoka...... kuna wadudu bado wanatambaa.... nashauri Fumigation irudiwe Upya... Chama kibaki na watu wanaomaanisha kuwa tunataka Reform ya kweli. Ma opportunists yote yatoke. Kazi nzuri kabisa chini ya Lissu Heche Mnyika na Wanachama wa Chadema...
  14. A

    DOKEZO Wauza nyama Mtwara wanatumia spray za kuua wadudu mabuchani kuzuia nzi, mamlaka ziingilie kati

    Habari wadau hili suala nimelivumilia ila nimeshindwa kulingana na masuala ya afya Wauza mabucha wa Mtwara wakitaka kufunga bucha wanafanya usafi wa kudeki. Kisha wanachukua spray ya kuulia WADUDU kama rungu au hit wanapuliza. Kisha wanafunga. Nasema hili sababu nimeliona kwa macho yangu...
  15. Fbn

    Ushauri kwa RC Makonda kuhusu wadudu, sasa wamezidi

    Arusha bado kuna wahuni wa kila aina na wengine wajiweka tofauti na kujiita wadudu. Wadudu wamepata nguvu kubwa kwa RC Makonda ila tokea kupata nguvu yani ukifungua mtandao wa youtube mara wameiba jeneza, mara wamefanya hivi yaani vituko na maajabu. Kumbuka ulitoka Dar, Mfano Dar unapowapa...
  16. Mshana Jr

    Picha: Wadudu warukao

    Wadudu wanaoruka ni kati ya viumbe vya kuvutia na muhimu zaidi duniani. Kuanzia nyuki wanaochavusha mimea, vipepeo wanaoangaza bustani zetu, hadi kereng’ende wanaokula wadudu—kila mmoja ana jukumu muhimu katika asili. Wengine, kama vile nondo mwewe wa hummingbird, huiga ndege wanaporuka...
  17. Mshana Jr

    Wadudu

    Wadudu: Majitu Madogo ya Sayari Yetu!" Wadudu ndio viumbe wa aina mbalimbali zaidi Duniani, wanaofanya zaidi ya 80% ya spishi zote za wanyama wanaojulikana! Kutoka kwa mbawa zinazong'aa za vipepeo hadi asili ya mchwa, wenye majukumu muhimu katika ulimwengu wetu. Jina la kisayansi: Insecta...
  18. KING MIDAS

    Tumia kitunguu swaumu kuua wadudu shambani mwako

    🔥🔥Chukua kitunguu swaumu kimoja kizima ...twanga na changanya na maji lita 1....hivyo kama maji ni lita 10 utatumia vitunguu 10...kisha wacha itulizane kwa masaa 6...kisha chuja,weka kwenye bomba na piga kama unavyopiga viatilifu vya kiwandani.... . piga kila baada ya wiki mbili & Uzuri wa...
  19. Mshana Jr

    Harakati za wanyama na wadudu

  20. Mshana Jr

    Wadudu warukao na watambaao

    Je ulishawahi kuona mdudu atembeaye? Mimi sijawahi kwakweli kwakuwa viumbe hai watembeao ni aidha wana miguu miwili ama minne. Hizi ni baadhi ya picha za wadudu warukao na watambaao.. Kati ya hawa kuna ambao tunawafahamu katika uhalisia wake Kati ya hawa kuna ambao tunaishi nao Kati ya hawa...
Back
Top Bottom