vyumba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. F

    Je, Mahabusu zetu zina vyumba maalum (VIP) kwa watu maarufu kwa usalama wao?

    Kutokana na maisha kuwa na mapito mengi, hata watu maarufu katika jamii wanajikuta hatiani. Mfano wanasiasa, wafanyabiashara maarufu, wasanii, wachezaji, machifu nk. Je, watu hawa wakiwa Mahabusu huku kesi zao zikiendelea, huchanganywa na wafungwa? Je, wanakula chakula cha gerezani ilihali...
  2. E

    Ramani ya nyumba vyumba viwili kwa watanzania wakawaida

    Nimejitahidi kadri ya uwezo wangu naanda hii ramani ya nyumba ya vyumba viwili kwaajili ya watanzania wenye uchumi wa kawaida kama mimi. Unaweza kujionea hapa chini. Ila bado haijamalizika.
  3. RealEstate Agent

    INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    Mbwewe barabara ya Tanga kabla ya kufika mkata Mashamba kilomita Kilomita 1 Kutoka barabara kuu ya lami : 250,000 kwa heka Kilomita 3 Kutoka barabara kuu ya lami : 200,000 kwa heka Kilomita 10 Kutoka barabara kuu ya lami : 100,000 kwa heka MUHIMU : Unaweza kupata Kuanzia acre 10 Mpaka acre 500...
  4. T

    Naomba kujua gharama za ujenzi wa vyumba viwili kuanzia msingi mpaka kufunga mkanda juu

    Habari wanandugu, kwa mafundi naomba kujua gharama zao za ujenzi wa vyumba viwili kuanzia msingi mpaka kufunga mkanda juu.
  5. davetz28

    Msaada kuhusu gharama za fundi kujenga nyumba ya vyumba vitatu kuanzia msingi hadi kwenye beam

    Nawasalimu wanajamvi wote,hongereni kwa majukumu ya kujenga taifa. Leo nimekuja kwenu kuomba ushauri ni kipino gani kinatumika kupata bei ya ujenzi wa nyumba? Nimempata fundi aniinulie boma kuanzia msingi hadi kwenye hatua ya lenta,mahesabu yake aliyopiga ni shs 500 KWA tofari moja gharama...
  6. Kitomai

    House4Sale Tunauza na kupangisha nyumba za aina mbalimbali

    Nyumba ina mwonekano wa kuvutia wa ndani na nje. Ina vyumba vine vya kulala vinachojitoshereza, subure kubwa, jiko la kisasa na mahali pa kula ( Dinning area). Bei 500mil na inaongeleka. Kuiona piga simu au tuma ujumbe kwa whatsapp tupange muda muafaka wa kuiona…0784225000 au email...
  7. E

    Mjengo vyumba vinne ukiwa kwenye hatua za mwisho mwisho

    Leo nimekuja na mjengo wa vyumba vinne ukiwa kwenye hatua za mwisho mwisho. Unaweza kujionea mwenyewe
  8. E

    Mjengo wa vyumba viwili ukiwa kwenye mchakato

    Habari za leo wakuu, Kaka mijengo bado naendelea na hobby yangu ya kubuni mijengo mbalimbali kadri akili inavyo nituma. Haka kamjengo kana vyumba viwili tu, na choo ndani kwa ndani. Bado hakajamalizika jamani, bado naendelea kukatengeneza zaidi.
  9. N

    Rais karibu Tabora; Ombi letu omba takwimu za vyumba vya madarasa na madawati yaliyokamilika

    Mh tunaomba ukifika mkoa wa Tabora omba viongozi wakuambie tangu shule zifunguliwe wametatuaje changa moto ya upungufu wa madawati na vyumba vya madarasa wakikudanganya siye tutasema ukweli, Ni ajabu na aibu sana mkoa ambao una gereza kubwa uyui, una miti mingi ya asili ya mbao watoto bado...
  10. E

    Ramani bomba ya nyumba vyumba vinne

    habari za Leo wakubwa, Leo nimeamua kuleta karamani kakali kidogo unaweza kujionea mwenyewe. Haka karamani kana vyumba vinne. Ila chumba kimoja ni kidogodogo kinaweza kutumika kama study room au pray room.
  11. E

    Ramani kali ya nyumba toleo jipya

    Leo nawaletea karamani kapya. Ni ingizo jipya kabisa.
  12. Magari ya Biashara

    House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu

    Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini Ina vyumba vitatu kimoja master Jiko, sebule, dinning na public toilet Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000 Hati miliki mkononi Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283...
  13. The lost

    Sikubaliani kabisa na utaratibu wa Serikali kuwataka wananchi kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa ilihali imetumia bilioni 700 kujenga daraja

    Huu ndiyo ukweli wangu. Binafsi naumia sana kuona mipango mhimu kama elimu inafanywa bila utaratibu. Majengo mengi yaliyojengwa na wananchi yapo chini ya kiwango na bado Serikali inaendelea na utaratibu huu wa hovyo. How can we be safe? Pesa za umma zitumike kwenye elimu, afya na ulinzi...
  14. Analogia Malenga

    UGANDA: Polisi waamrisha Hoteli zisiwape vyumba msafara wa Bobi Wine

    Mgombea Urais nchini Uganda kupitia NUP, Robert Kyagulanyi au Bobi Wine na msafara wake wamelazimika kulala kwenye magari huko Migera Katika Ukurasa wake wa Twitter, Bobi Wine ameandika Polisi walifunga njia zote zinazoelekea Hoima walipotaka kwenda kutumia usiku wao huko Pia amedai polisi...
  15. Makanyaga

    Vyumba vya wanafunzi vya kupanga karibu na maeneo ya UDSM

    Kwa wale wote wanaohitaji kupanga Hostel karibu au jirani na maeneo ya UDSM, ARU, Chuo cha TAKWIMU mnakaribishwa. Hostel ipo Changanyikeni. Ina fensi, maji pia na umeme. Uwanja una peving na vyumba vyote vina Ceiling Board. Baadhi ya vyumba ni self contained na vina tiles. Vyumba vipo bei...
  16. Kuwite94

    Ramani ya vyumba vitatu ya bei nafuu

    RAMANI YA NYUMBA YA GHARAMA NAFUU YA VYUMBA VITATU KIMOJA MASTA ,INA DINING,SEBULE PIA INA.... ¶JIKO ¶STOO ¶CHOO NA BAFU LA KUSHEA ¶BARAZA MBILI -UKUBWA WA RAMANI MITA 11.5 KWA MITA 11.5 -MAHITAJI: TOFALI 2630 BATI PISI 58 KUPATA RAMANI YAKE TUWASILIANE WHATSAP 0742295125
  17. D

    Ukiachana na bei za Saruji, bei ya kupata Kibali cha ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu huko Halmashauri ya Kigamboni ni Tshs 250,000

    Wakati tukiendelea kumtafta mchawi aliyepandisha Cement! Shida kubwa ya halmashauri nyingi ni kugeuza sheria kuwa vyanzo vya mapato. Tutafakali gharama zifuatazo za kibali cha ujenzi huko halmashauri ya Kigamboni. Bei hizi zinasimamiwa na ofisi ya Mkurugenzi kwa ajili ya kutunisha mfuko wa...
  18. T

    House4Rent Vyumba vinapangishwa

    Mahali: Kifuru mwanzo mgum jirani na stend mpya ya Mbezi Luis Vyumba bado Vipya ko havina kipengele Vyumba ni viwili yani sebule na chumba Self container kwa kila mpangaji Umeme kila mpangaji mita yake poa Maji kila mpangaji mita yake Umbali kutoka barabara ya lami inayoenda Mbezi Luis/...
  19. J

    NEC: Mawaziri, Wakuu wa mikoa na wilaya hawaruhusiwi kuingia kwenye vyumba vya kujumlishia kura!

    Tume ya uchaguzi imesema mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na watumishi wengine wa umma hawaruhusiwi kuingia kwenye vyumba vya kupiga, kuhesabu na kujumlisha kura isipokuwa kwa ajili ya wao kupiga kura tu. Chanzo: Mwanahalisi Digital Maendeleo hayana vyama! =========== WAKUU wa...
Back
Top Bottom