vyumba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kuwite94

    INAUZWA Ramani ya nyumba inauzwa

    Ramani ya vyumba viwili, chumba kimoja masta, kingine cha kawaida, pia ina; ~sebule ~dining{chumba cha kulia chakula} ~jiko ~stoo ~choo cha kushea ~baraza ya mbele na ya jiko ~Ukubwa wa Ramani ni mita 11.6 kwa mita 8.6 ~Mahitaji: Tofali 2650,Bati pisi 34 { futi 10 urefu na upana futi 3} ~kupata...
  2. Ileje

    Kwanini baadhi ya wilaya michango ya vyumba vya madarasa inaendelea?

    Wote tunafahamu mwaka jana Rais Samia alipata mkopo wa civid-19 wa takribani Shilingi trilioni 1.5, fedha ambazo zimetumika kujenga vyumba vya madarasa na Hospitali. Watanzania tukaaminishwa kuwa sasa changamoto ya madarasa na madawati imekuwa historia. Cha kushangaza kumeibuka tena wimbi la...
  3. Sky Eclat

    Ujenzi wa nyumba ya vyumba sita kwa lengo la kupangisha ni sawa na biashara ya reja reja

    Nyumba hizi hujengwa nyumba vikiangaliana, ni ujenzi maarufu katika nchi nyingi za Afrika. Choo, bafu na jiko la jumuia hukaa katika vyumba vya nyuma. Siku hizi wengi hupikia majiko ya gesi hivyo chumba cha jiko hutumiwa na wachache wale wa kupikia kuni au wanao kaanga samaki. Biashara hii ni...
  4. T

    Kwanini watu wengi wanaona aibu kununua Condom dukani/pharmacy au kwanini watu wengi huogopa kuingia lodge/guest house kuulizia vyumba?

    Kama umefanya kazi ya kuuza duka la rejareja au pharmacy utakuta wateja wengi wanaotaka condoms wakikuta wateja wengine wanashindwa kabisa kusema kuwa wanahitaji condoms, utakuta mtu anaanza kuulizia bei za mikate mara soda akisubiri wateja wengine waondoke ndio aseme shida yake. Hii imekaaje...
  5. T

    Vyumba vya kupanga bajeti Tsh 100,000

    Natafuta chumba sebure na jiko kea 100000 hata ukiwa chumba na sebure iwe katika mazingira mazuri Kodi miezi mitatu iwe maeneo ya makumbusho,kinondoni,namanga,hata mwenge sio mbaya
  6. Kitomai

    House4Rent Nyumba yenye vyumba vinne inapangishwa Kijitonyama

    Nyumba ipo vizuri pia ipo katika eneo zuri la kiungwana a.k.a kishua. Ipo peke yake katika uwanja. Kodi shs 800,000 kwa mwezi. Kuiona tuwasiliane kwa simu 0784225000
  7. L

    INAUZWA Ramani ya vyumba Vitatu kimoja masta

    Ramani ya vyumba vitatu kimoja masta na mahitaji yote Ukubwa Wa Ramani ni mita 11/kwa mita 12 Kupata Ramani yake tuwasiliane 0627571649
  8. L

    Vyumba Vitatu Vyote Selfu

    Hii Ramani ya vyumba vitatu vyote self, choo cha kushea na mahitaji yote , Ramani ina Ukubwa Wa mita 9/kwa mita 12 Kupata Ramani yake tuwasiliane 0627571649
  9. L

    Tunatengeneza ramani za nyumba mbalimbali

    Ramani ya vyumba vitatu , chumba kimoja masta, sebule na choo cha kushea, Ukubwa wa Ramani ni mita 9/kwa mita9/...kupata Ramani yake tuwasiliane 0627571649.
  10. kavulata

    Bodi ya ligi msipuuzie hali kwenye vyumba vya kubadilishia nguo wachezaji

    Timu ngeni hazitaki kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo viwanjani kwa kuhofia hujuma. TFF msipuuzie jambo hili, lisemwalo lipo kama halipo linakuja. Lazima Kuna ukweli fulani, kwani timu ziko radhi kupigwa faini kuliko kuingia vyumbani?
  11. Superbug

    Bati 20 za alaf futi 10 zinajenga vyumba vingapi?

    Mabingwa wa ukadiriaji hebu chakateni mlinganyo hapo nataka nimjengee mchepuko kajumba kadogo Sasa hizo bati zinatosha vyumba vingapi?
  12. R

    Ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu Dar es Salaam unahitaji bajeti ya milioni ngapi?

    Salaam wakuu, Kama mnavyojua ndugu zangu ni lazima tuhame kwa wazazi wetu tukaanze maisha. Na kutokana na hayo hatuna budi kufikiria kuwa na makazi yetu. Uhalisia huo umenifanya niijiulize maswali mengi sana hasa ni gharama kiasi gani zinahitajika kutekeleza ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu...
  13. P

    BEI ZA vyumba maeneo sahihi UDOM

    Habari wanajamvi, ninaomba wenyeji wa Udom mnihabarishe maeneo sahihi jirani na chuo ambapo nitaweza pata chumba kwa gharama Kati ya 30000/40000 NB Zingatia gharama husika za huduma za kijamii pamoja na huduma mbalimbali muhimu kama maeneo ya michezo,studios nk
  14. RealEstate Agent

    House4Sale Mjengo wa ghorofa 2 wenye vyumba 18 unauzwa bei ya hasara

    Typing error ni ghorofa 2 sio 3 Mjengo huu upo airport (uwanja wa ndege) - Dar es Salaam Una vyumba 18 vyote ni master... Chini una dinning na seating room kubwa Ukubwa wa eneo ni sqm 700 Bei ni milioni 300 tu Wahi sasa MAWASILIANO 0677 818283
  15. RealEstate Agent

    House4Sale Nauza mjengo wa ghorofa Mbezi Beach Una vyumba 7 vya kulala bei nafuu

    Mjengo upo mbezi beach upande wa chini Mita 100 tu kutoka lami Una vyumba 7 vyote self contained Sitting room 2 juu na chini Chini kuna dinning jiko na public toilet Balcon juu ziko 2 Eneo ni sqm 1000 kubwa sanaa.. Ina fremu unayoweza kuweka ya kibiashara Bei ni milioni 450 tu Mawasiliano 0677...
  16. Zakamwamoba

    Kiwanja cha meter 11x15 naweza jenga vyumba 3 na sehemu ya Parking?

    Wakuu Kama kichwa kilivotanabaisha hapo juu,Kuna mahali nina kaplot ka ukubwa wa Meter 11x15 nataka nianze kukafanyia kazi.je naweza fyatua kanyumba ka chumba tatu na eneo la parking likabaki?
  17. SHEDEDE

    Nahitaji ramani "simple and low cost" ya nyumba ya kuishi vyumba vinne

    Atakayeweka ramani nzuri nitamtaka anipe namba yake nimtumie laki anipe ramani kamili yenye vipimo nianze ujenzi. Nahitaji ramani ya nyumba ambayo haina kelele nyingi: vumba 4 viwili master, jiko na sebule. DESIGN yake iwe simple ili nitumie gharama kidogo. Atakayeweka na makisio ya gharama...
  18. M

    Ajira za madalali wa nyumba, vyumba na flemu za biashara Dar es Salaam

    P2 Real Estate inajishughulisha na ununuaji na uuzaji wa viwanja, mashamba, nyumba katika mikoa ya Tanzania Bara, aidha, kampuni pia unajisikia na upangishaji wa nyumba, vyumba pamoja na flemu za biashara kwa- Dar Es Salaam ili kuwarahisishia usumbufu wateja wetu. Ili kufikia malengo...
Back
Top Bottom