Gharama ya ujenzi wa vyumba 3 vyote self?

GOSSO MZEKEZEKE

Senior Member
Dec 13, 2013
153
172
Habari.

Naomba kujua sehemu yenye tambarare mazingira ya dar es salaam maendeo ya kivule gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba 3 vya kulala vyote self, jiko, dining na sebule inaweza kugharimu kiasi gani, naomba mwenye uzoefu anijuze.

Asante.
 
Weka floor plan pamoja na vipimo nikupe BOQ, mkuu.
1716689517271.png
 
Mm Siyo mtaalam lakini kama ungeenda Kwa Msanifu Majengo bado angekuuliza Maswali.
1.Vyumba 3 Vyote Self,unataka vyoo vya Aina gani?Unataka na Kabati la nguo Ukutani?(Closet),Chumba Master Kwa wastani ni kuanzia Meta za Mraba 12 Hadi 20@
2.Unahitaji Sitting Room ya Ukubwa gani?Jiko na Dinning hall la Ukubwa gani? Canopy/Verandah?Car port ya ndani au nje?Store? Laundry?
Haya yote yatampa Taarifa aje na michoro pendekezwa kisha mshauriane.Hiyo ni floor plan.Toka hapo atakwenda kutengeneza mwonekano wa Nyumba ukiwa angani,au pembeni.Akimaliza kama utaridhia ataandaa michoro.Hii ukimpatia Quantity Surveyor atakupa hesabu ya Vifaa hitajika.Kisha Engineer wa Ujenzi au Fundi ataingia mpatane bei.
Kutegemeana na Mahali ulipo Gharama za Kujenga meta ya Mraba zinacheza Kati ya 150K Hadi 500K Kwa SQM.Kwa haraka haraka Vyumba 3 self,Sebule,Jiko,dinning,canopy,corridors na kadharika ni SQM Kati ya 100 Hadi 180.
Sasa zidisha hizo Kwa gharama ya Kujenga.Upande wa 2 ukipata gharama za Vifaa zidisha mara 35% Hadi 40% kupata gharama za Ufundi.Mfano kama Vifaa ni 50m zidisha mara 40% utapata 20m ya Fundi.Kila hatua ya ujenzi fundi au Mkandarasi atalipwa,mbali na Vifaa vya ujenzi.
 
Mm Siyo mtaalam lakini kama ungeenda Kwa Msanifu Majengo bado angekuuliza Maswali.
1.Vyumba 3 Vyote Self,unataka vyoo vya Aina gani?Unataka na Kabati la nguo Ukutani?(Closet),Chumba Master Kwa wastani ni kuanzia Meta za Mraba 12 Hadi 20@
2.Unahitaji Sitting Room ya Ukubwa gani?Jiko na Dinning hall la Ukubwa gani? Canopy/Verandah?Car port ya ndani au nje?Store? Laundry?
Haya yote yatampa Taarifa aje na michoro pendekezwa kisha mshauriane.Hiyo ni floor plan.Toka hapo atakwenda kutengeneza mwonekano wa Nyumba ukiwa angani,au pembeni.Akimaliza kama utaridhia ataandaa michoro.Hii ukimpatia Quantity Surveyor atakupa hesabu ya Vifaa hitajika.Kisha Engineer wa Ujenzi au Fundi ataingia mpatane bei.
Kutegemeana na Mahali ulipo Gharama za Kujenga meta ya Mraba zinacheza Kati ya 150K Hadi 500K Kwa SQM.Kwa haraka haraka Vyumba 3 self,Sebule,Jiko,dinning,canopy,corridors na kadharika ni SQM Kati ya 100 Hadi 180.
Sasa zidisha hizo Kwa gharama ya Kujenga.Upande wa 2 ukipata gharama za Vifaa zidisha mara 35% Hadi 40% kupata gharama za Ufundi.Mfano kama Vifaa ni 50m zidisha mara 40% utapata 20m ya Fundi.Kila hatua ya ujenzi fundi au Mkandarasi atalipwa,mbali na Vifaa vya ujenzi.
Asante sana. Walau umenipa mwanga na mahali pa kuanzia.
 
Habari.

Naomba kujua sehemu yenye tambarare mazingira ya dar es salaam maendeo ya kivule gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba 3 vya kulala vyote self, jiko, dining na sebule inaweza kugharimu kiasi gani, naomba mwenye uzoefu anijuze.

Asante.
Mm najenga kama hii yako..ila mpigi magoe...msingi ulinila sana...ila mpk sasa nimebakiza kupiga tiles tu na rangi...nimetumia takribani tsh 68 - 70 milioni
 
Mm najenga kama hii yako..ila mpigi magoe...msingi ulinila sana...ila mpk sasa nimebakiza kupiga tiles tu na rangi...nimetumia takribani tsh 68 - 70 milioni
Asante sana, hili jibu ndilo nililokuwa nahitaji. narudia tena asante sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom