Ni upumbavu wa ngazi ya SGR kwa sasa, kama hauna nafasi ya kula, kushabikia vyama vya siasa katika ule mtindo wa kufia kabisa. Binafsi niliachana na hayo mambo tangu miaka ya 2012 huko.
Chama hiki kinakiponda chama kile kwa suala ambalo chenyewe linakifanya, hiyo leo. kesho chama kile...