vita

Nușeni (Hungarian: Apanagyfalu; German: Großendorf) is a commune in Bistrița-Năsăud County, Transylvania, Romania. It is composed of seven villages: Beudiu (Bőd), Dumbrava (Nyírmezőtanya), Feleac (Fellak), Malin (Almásmálom), Nușeni, Rusu de Sus (Felsőoroszfalu) and Vița (Vice).
At the 2011 census, 74.4% of inhabitants were Romanians, 25% Hungarians and 0.5% Roma.

View More On Wikipedia.org
  1. Vikao vya Harusi

    Vita ya Ukraine na kisasi cha USA kwa Urusi

    Nimetafakari sana juu ya misada inayotolewa kila uchao na Marekani kwenda Ukraine, na jambo Moja limenijia kichwani, VITA YA SYRIA, tunakumbuka wakati utawala wa Assad ulivyokaribia kuporomoka Baada ya kupata mashambulizi mazito Toka Kwa ISIS(ISLAMIC STATE OF IRAQ AND SYRIA), kundi la kigaidi...
  2. Z

    Marekani, unachokifanya juu ya vita ya Russia na Ukraine si kuanzisha vita 3 ya dunia, uko tayari?

    Kama ungekuwa na busara ungewaita Rais Putin na Zelensky meza moja kujadiliana namna ya kumaliza vita hii lakini umeamua kuwa upande wa Ukraine. Huu ni ujinga mkubwa sana, unachochea uanzishwaji wa vita vya tatu ya dunia. Uko tayari? Acha kiburi Marekani, ndiyo maana afande sele alikuambia ule...
  3. britanicca

    Intelligence ya UKRAINE katika Vita hii imekuwa nzuri na yenye Ufasaha kuzidi ya Urusi

    Nipo nasoma soma taarifa fulani na kuzufanyia analysis, nikakutana na taarifa ya huyu Gen. Oleg Mityaev huyu alikua ni General wa 4 wa Russia kuuawa vitani Ukraine. Kufa kwa mmoja au wawili ni hali kawaida vitani, lakini kufa kwa Generals 9 si jambo la kawaida. Ikumbukwe, Russia iliteua...
  4. Nafaka

    Chanzo cha vita ya Israel na Palestina na ni nani mmiliki halali wa eneo hilo

    Hakuna mji wowote duniani ambao umekuwa ni mji wenye umuhimu sana kwa watu wengi kama ulivyo mji wa Jerusalem. Mji wa Jerusalem ni mji ambao una umuhimu kwa Wayahudi, Wakristo na Waislamu. Mji wa Jerusalem unajulikana kama mji wa amani lakini Jerusalem ya leo n ahata kihistoria haujawahi kuwa...
  5. Ustadh tongwe

    Kama vita ya Ukraine ikiisha Leo hivi ndio Ukraine itakavyokuwa imebaki

    Inasikitisha sn nchi iliyokuwa na bandari yake wanalima wana export nje mazao leo kuanza maisha bila bandari, maana nnasikia puttin anataka kuunganisha huo mji wenye bandari uwe sehemu ya donbass.
  6. JanguKamaJangu

    Rais Zelensky aomba tena kukutana na Rais Putin ili wamalize vita

    Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ametoa tena wito wa kufanya mkutano na Rais wa Urusi Vladimir Putin katika juhudi za kumaliza vita nchini mwake. Zelensky ambaye alishawahi kuomba kukutana na kiongozi huyo amesema hakuwa na hofu ya kukutana na Putin iwapo hilo lingesababisha makubaliano ya...
  7. mumak

    Urusi isipomtoa madarakani Rais Zelensky wa Ukraine, hii Vita haitoisha

    Katika muendelezo wa mapambano huko Ukraine tumeona Urusi inavyopata ushindi kwa tabu sana kutokana baadhi ya nchi za magharib kuendelea kumpa siraha rais wa ukraine kitu ambacho kitafanya hii vita ichukue mda mrefu sana. Hivyo Basi kama Putin hatofanya maamuzi ya haraka kumkimbiza yule...
  8. Bata batani

    Kwanini Rais Putin anawaomba Wanajeshi wa Ukraine kusalender vita hii

    Tangu vita vimeanza hii ni week ya tatu putin amekuwa akisika mara kadhaa akiliomba jeshi la Ukraine na wanajeshi wa Ukraine kusalender vita hiii lakini bado madogo wanakomaa Je, ni kwanini Putin anawataka wanajeshi wa Ukraine kusalender?
  9. Happycuit

    Vita gani Haji Manara anaihubiri hapa?

    Hapa ndipo utakapoona kuwa watu wa aina ya huyu Manara ni hatari sana katika ustawi wa soka nchini,wanaturudisha nyuma sana hawa.
  10. beth

    Bilionea adai 90% ya Warusi hawaungi mkono vita inayoendelea Ukraine

    Bilionea Oleg Tinkov wa Urusi amelaani Vita inayoendelea Nchini Ukraine akidai ni 'wendawazimu' na 90% ya Warusi hawaiungi mkono kwani hakuna anayenufaika nayo Kupitia ukurasa wake wa Instagram Tinkov amependekeza Mataifa ya Magharibi kumpa Rais Vladimir Putin njia ya kutokea na kukomesha...
  11. M

    Kenya2022 Sasa ni rasmi kuwa huko Kenya katika '2022 General Election' ni Vita kati ya Kikuyu na Luo dhidi ya Kalenjin na Luya

    Kama kuna Kitu Watanzania wote tunatakiwa Kupongezana sana tena 24/7 na Kumshukuru mno Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ni Kitendo chake cha kutoruhusu Ukabila nchini ila tubakie tu na Utanzania Wetu kama Kitambulisho chetu Kikuu. Kenya Ukabila ndiyo utamua Rais wao.
  12. mitale na midimu

    Je, vita vikiendelea miezi sita ijayo Urusi ataishiwa silaha?

    Nimetafakari na kugundua silaha zinazopelekwa Ukraine ni nyingi sana. Nimesoma Ujerumani wanasitisha kuendelea kumsaidia maana wataishiwa silaha wamebakiza akiba. Mchambuzi mwingine anasema hats US atakoma siku zikiendelea maana silaha zake zitapungua kwenye akiba zake. Najiuliza nchi...
  13. Econometrician

    Vita vya Ukraine vyautikisa uchumi wa dunia - IMF

    Shirika la Fedha la Kimataifa, IMF, limeshusha makisio ya ukuwaji wa uchumi wa dunia mwaka huu, likisema uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine umechangia kwenye kuichafuwa biashara ulimwenguni na kupandisha bei za bidhaa. Siku ya Jumanne (Aprili 19), IMF, ambayo ni mkopeshaji mkubwa kwa zaidi ya...
  14. JF Member

    Royal Tour na Vita vya Kiuchumi

    Kwanza naomba nitoe declaration. Mimi ni mtanzania haswa ninaependa kuona maendeleo ya hii nchi. Nirudi kwenye mada, hii royal tour ni deal sana hasa kwa namna inavyotarajiwa na watanzania wengi. Sote tunaamini Tanzania itafunguka na tutapata pesa kwa ajili ya mradi. Lakini pia Mimi...
  15. sanalii

    Hii ni vita ya kiuchumi kwa Tanzania, niwakati sasa watanzania kufanya counter attack

    Mimi sijawahi fika Zanzibar ila kwa suala lilipofikia hawa wanaijeria hii sasa sio suala la Werere beach bali ni vita ya kiuchumi kwa Tanzania, Cyber war ni vita kama vita nyingine, niwakati sasa watanzania kwa umoja wetu kuwashambulia huko Twitter hawa wanaijeria ambao wengi wao ni wasanii...
  16. tpaul

    Uhakika: Jinsi Vita ya Urusi na Ukraine Itakavyokwamisha Upandishaji wa Mishahara ya Wafanyakazi

    Dodoma, Jumapili 17/4/2022 Vita ni shida. Vita ni taabu. Vita ni balaa. Nani angeweza kutabiri kwamba vita kati ya Urusi na Ukraine ingeathiri uchumi na kuvuruga mipango ya maendeleo ya serikali kiasi hiki? Sasa ni dhahiri kuwa vita hii imepelekea mdororo wa uchumi wa taifa. Uchumi wa taifa...
  17. ommytk

    Hivi kuvuka kigamboni ndio hakuna 200 kwa wote hakuna bei ya watoto kwasasa ile 100 ndio hakuna tena hii yote vita Ukraine au

    Inasikitisha kwasasa kigamboni kuguka ni kadi tu uwe mtoto uwe mkubwa ni Tsh 200 tu kwa wote sasa hakuna tena ile mtoto tsh 100 kweli hii vita Ukraine inatonyoosha kila idara aisee ila hongera kwa temesa kwa kutuminya wanakigamboni big up kwa uongozi temesa kazi iendelee
  18. Jackal

    Putin atangaza Vita ya 3 ya Dunia baada ya meli yake kuzamishwa

    The strikes come as President Volodymyr Zelensky warned Putin is running out of time to sit at the negotiating table, as analysts now suggest Ukraine may well win the war in the coming weeks. Russia is believed to have hoped for a blitzkrieg lasting mere days before securing overall control of...
  19. YEHODAYA

    Soko la silaha za Mrusi litadorora vita na Ukraine imeonyesha kuwa silaha za Mrusi dhaifu

    Soko la silaha za Mrusi litadorora vita na Ukraine imeonyesha kuwa silaha za Mrusi dhaifu Mavifaru ya mrusi yanabomolewa hovyo na makombora ya Javelin Meli hodari kivita ya mrusi kulipuliwa na kombora Neptune Ni meseji sent kwa wanunuzi wa silaha kuwa hizo silaha za Urusi si kitu Soko lake...
  20. JF Member

    Sasa Vita ya awamu ya Tano na Sita ni dhahiri

    Siasa ni msingi wa mambo mengi hapa diniani. Siasa iko kila sehemu, kanisani, makazini, na hata kwenye kumbi za starehe. Siasa ni Imani, mtu akiishi kwenye mlengo furani wa siasa na akakolea ni ngumu sana kumuondoa huko. Awamu ya Tano ilikuwa na Aina yake ya Siasa, mlengo wake wa siasa, na hii...
Back
Top Bottom