Nușeni (Hungarian: Apanagyfalu; German: Großendorf) is a commune in Bistrița-Năsăud County, Transylvania, Romania. It is composed of seven villages: Beudiu (Bőd), Dumbrava (Nyírmezőtanya), Feleac (Fellak), Malin (Almásmálom), Nușeni, Rusu de Sus (Felsőoroszfalu) and Vița (Vice).
At the 2011 census, 74.4% of inhabitants were Romanians, 25% Hungarians and 0.5% Roma.
Kwa mambo yanayoendelea duniani hili ni muhimu sana kama raia WA kawaida ningependa kujua vita kama hvo Ili likitokea la lakutokea tujue tunaenda wapi maana Kwa Hali ya Sasa vita ya iii ya dunia naona IPO karibu sana.
Maon yenu ni muhimu sana katika kujifunza mazuri ya jeshi letu
Huku mabaki zaidi ya ndege kadhaa za kivita za India yakiendelea kuokotwa ndani ya mipaka ya India kabla kuvuka mpaka wake na Pakistan,nchi ya Uiengereza imesema inataka nchi hizo ziache kupigana
Uiengereza ina wajibu wa kufanya hivyo ikijua kwa sasa haina uwezo kuisaidia India wakati yenyewe...
Mwezi wa huu wa Mei mwaka 2025, ulimwengu umetikiswa na mgogoro mpya kati ya mataifa mawili yenye historia ndefu ya mvutano – India na Pakistan. Tarehe 6 Mei, India ilitangaza operesheni kali iliyobeba jina "Operation Sindoor," ikilenga maeneo tisa ndani ya Pakistan na kipande cha eneo la...
Pakistan imesema inajitayarisha kujibu vita vilivyoanzishwa na India ndani ya mipaka yake huku ikitoa tangazo la kuzidondosha ndege 5 za kivita za India zilizoshiriki mashambulizi hayo.
Wakati huo huo jeshi la India limepeperusha bendera nyeupe mpakani na jimbo la Kashmir upande wa Pakistan...
"Mwijaku asiwaongopee watu kuwa amejenga atuonesha hati kama kuna jina lake mke wake ana msitiri tu kuishi kwake alichokisema @officialbabalevo kina ukweli ndiyo maana alikaa kimya" Alisema Haji Manara.
Chanzo Taarifa: manaratv
Ila Haji Manara muhuni sana Wewe jamaa yaani hata hujaogopa kusema...
Asilimia 90 ya Watanzania ni vijana na Kati Yao asilimia 80 ni Gen Z.
Gen Z hawanaga mambo ya dini.
Mambo ya dini ni ujinga ujinga tu.
Ni Sisi tulio zaliwa miaka ya themanini, wadogo zetu wa tisini mwanzoni na kaka zetu wa sabini ndio tulikuwa na ujinga ujinga wa kufuata mambo ya dini kwa...
Tuliwambia Al Houth au Yemen hakuna nchi inayo weza.kuwashinda vita. US alikwenda kichwa kichwa alidhani Yemen atatishika. Juzi Vice Presdent wa US kawapo offer tena offer ili wawache kushambulia Red Sea Al Houthi wakagoma. Trump analia eti Egypt wamsaidie kipesa walipe gharama au wasaidie...
Netanyahu anasema 'lengo kuu' la vita ni ushindi, sio kurudi kwa mateka
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu anahudhuria hafla ya kumbukumbu ya serikali ya wanajeshi wa Israeli waliokufa, katika makaburi ya kijeshi ya Mlima Herzl huko Jerusalem, Aprili 30, 2025. (Marc Israel Sellem/POOL)
Waziri Mkuu...
Toka miezi kadhaa tangu alikiba kuambiwa ni mbana pua na Master Jay, voice note zilizovuja zimeonesha Manara akigongelea msumari kuwa Alikiba ni mbana pua tu.
Inaonekana Alikiba ana maadui wengi sana, ni kama vile kipindi kile Diamond alivyokuwa na maadui wengi. Utofauti wa Alikiba na Diamond...
Kwa ujumla wake tukio la kuuliwa watalii wa ndani huko Pahalgam jimbo la Kashmir ni kitendo kilichopangwa kitokee muda mrefu tangu Narenfa Modi na chama chake cha BJP alipoingia madarakani.Lengo limekuwa ni kubadili ulinganifu wa watu wa maeneo hayo kuwapa nafasi zaidi wahindu dhidi ya waislamu...
MASHUJAA VITA YA KAGERA WANAENDELEA KULIPWA PENSHENI
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stergomena Tax amesema mashujaa wote waliopigana Vita ya Kagera na waliostahili malipo ya viinua mgongo na pensheni walikwishalipwa na wengine wanaendelea kulipwa kwa mujibu wa Sheria ya...
Taarifa iliyotolewa na maafisa Wa jeshi kutoka Pakistan na India wamerushiana risasi usiku kucha katika mstari wa udhibiti katika Kashmir inayozozana
Umoja wa mataifa umewataka wapinzani hao wenye silaha za nyuklia kuonyesha "kujizuia kwa hali ya juu" baada ya mauaji ya Jumanne ya watalii wa...
1. Wa-Syria wana maonyesho kila kukicha. Sijui wanazalisha hizo bidhaa saa ngapi wakati Syria kinawaka kila siku.
2. Wabongo tunasubiri Teuzi tu na Mechi za Simba na Yanga
Amani Tele ila hatuzalishi hata pipi
Walipinga Marekani kuisadia Uingereza na mataifa mengine ya ulaya dhidi ya vita vya Adolf Hitler, watu wajinga wa hovyo wamekuwepo duniani nyakati zote ila wingi wao tu ndio huwa unabadilika.
HII VITA ITAISHA LINI.
#HABARI Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema ameviamuru vikosi vyake kusimamisha shughuli zote za kijeshi nchini Ukraine, huku akitangaza "usitishaji vita kipindi cha Pasaka" hadi Jumapili.
Kwa upande wake, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema Kyiv imezingatia...
Kwanini ulevi wa aina yoyote ile umetajwa kuw ni haramu ni kwa vile unasababisha majanga makubwa kwa watu waiso na hatia.Mtume saw kasema ulevi na mama wa maasi.
Watu 12 huko Ecuador wamepigwa risasi na kufa wakati wakishuhudia vita vya kuku.
Seriakali ya nchi hiyo imeshawakamata watuhumiwa...
The war between Russia and Ukraine is rooted in a complex interplay of historical, political, and geopolitical factors. Key causes include:
1. Russia's desire for a sphere of influence:
Russia seeks to regain control of Ukraine and prevent its integration into Western institutions, which it...
artificial intelligence
artificial intelligence (ai)
halisi
haya
hii
intelligence
ipi
kale
kati
kijeshi
maana
majibu
russia
sababu
ukraine
vita
wahenga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.