visima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. wachimbajivisimavirefu

    JamiiForums Tanzania 0762484200 wachimba visima mikoa yote

    Karibuni Sana 1. Utafiti wa maji chini ya ardhi (Underground water prospecting) 2. Uchimbaji na ujenzi wa visima vya maji (Borehole / water well drilling and Constructions) 3. Upimaji kiasi cha maji kwenye visima na vyanzo vya maji kwa ujumla (Yield testing /Pumping test for the water wells...
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Gwajima aelimishwe juu ya wajibu wa Jeshi la polisi wa kulinda usalama wa raia, mali na makazi na sio ujenzi wa barabara au uchimbaji visima vya maji

    Afundishwe vyema pia kwamba hakuna namna nchi inaweza kuacha jambo muhimu sana kama la ulinzi wa Taifa, watu, mali na makazi yao likafanywa na makampuni binafsi ya ulinzi, kwasababu tu eti jeshi la polisi liko na shughuli au tenda nyingi za ujenzi wa barabara na uchimbaji visima vya maji...
  3. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa Makanisa na misikiti inatosha , ikiwa kuna taasisi inahitaji kutoa Msaada wa kujenga Kanisa na Msikiti hiyo pesa wajenge visima vya maji

    Kwa Tanzania tuna misikiti Mingi na makanisa mengi Sana . Na ukiangalia idadi ya watu wanaosali bado ni Chache Sana . Ikiwa tutaangalia mahitaji hasa ya jamii tunaweza kubadilisha matumizi ya hizo pesa. Mfano wafadhili ambao hujitolea kujenga misikiti na makanisa , jaribuni kufikiri hilo...
  4. V

    JamiiForums Tanzania Wachimbaji visima vya maji safi

    ✍️KARIBUNI SANA Wells technology wachimbaji visima vya maji safi na salama kwa matumizi ya binadamu wanyama na mimea Leo tutakupa hatua FUPI za kufata KABLA HUJACHIMBA KISIMA Cha kisasa ✍️hatua ya kwanza ni geophysical survey yaan utafiti wa maji ardhini katika eneo lako hapo atakuja mtalaam na...
  5. upupu255

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 NIRC yaanza utelekelzaji wa uchimbaji visima 67,000 vya umwagiliaji, nchi nzima

    Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, imeanza utekelezaji wa uchimbaji wa visima virefu 67,000 vya maji kwa ajili ya kiliko cha Umwagiliaji nchini. Lengo ni kuhakikisha kuwa Taifa linaondokana na kilimo cha kutegemea mvua na kuwa na uhakika wa maji kwa ajili ya kilimo na kulima zaidi...
  6. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Nchini, imeanza uchimbaji wa visima virefu 67,000 kwa ajili ya kiliko cha Umwagiliaji

    NIRC YAENDELEA NA UTELEKELZAJI WA AHADI YA RAIS SAMIA KUCHIMBA VISIMA 67,000 VYA UMWAGILIAJI,NCHI NZIMA 📍Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita, kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, imeanza utekelezaji wa ahadi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya uchimbaji wa visima virefu 67,000 vya maji kwa...
  7. V

    JamiiForums Tanzania Wachimbaji visima vya maji safi na salama

    UTARATIBU WA KUCHIMBA KISIMA. 1. Ukitaka kuchimba kisima unatakiwa kufanya utafiti wa awali ili:- ● Kuangalia jiolojia ya eneo husika ● Kuangalia uwezekano wa kuwepo mikondo ya maji ardhini ● Historia ya eneo husika kuhusiana na suala la maji. 2. Gharama za kuchimba kisima/Visima hutegemea...
  8. V

    JamiiForums Tanzania Tunachimba visima vya maji vya kisasa

    Karibuni Sana wells technology wachimbaji wa visima vya maji safi na salama borehole gharama za uchimbaji kisima ni kwa mita Dar es salaam na pwani mita moja 90,000 Mikoani mita moja 140000 Gharama zinacover uchimbaji mpk kufunga pump mawasiliano 0657710078 . 0769509666
  9. V

    JamiiForums Tanzania Tunachimba visima vya maji

    Karibuni sana wells tunachimba visima virefu vya maji safi Wengi wanauliza gharama za kuchimba kisima gharama za uchimbaji hutozwa Kwa mita geology ya eneo husika aina ya ardhi kama mfinyanzi jiwe mchanga Mteja fanya survey kupitia wataalam wa maji ujue eneo lako Lina maji umbali GANI then...
  10. V

    JamiiForums Tanzania Wachimbaji visima vya maji vya kisasa

    TUJIFUNZE HATUA ZA KUFATA KABLA HUJACHIMBA KISIMA CHAKISASA (#borehole ) 1.#geophysicalsurvey HII NI HATUA YA KWANZA UPEMBUZI YAKINIFU KUJUA UWEPO WA MIKONDO YA MAJI NA IKO MITA NGAPI NA UZALISHAJI WAKE WA MAJI 2.#boreholedrilling HAPA NDIO SHUGHULI NZIMA YA UCHIMBAJI HUFANYIKA KWA KUTUMIA...
  11. V

    JamiiForums Tanzania Tujifunze hatua za kufata kabla hujachimba kisima cha kisasa (borehole)

    Tujifunze Hatua za Kufata Kabla Hujachimba Kisima cha Kisasa (borehole) Geophysical Survey Hii ni hatua ya kwanza ya upembuzi yakinifu kujua uwepo wa mikondo ya maji, iko mita ngapi chini na uwezo wake wa uzalishaji wa maji. Borehole Drilling Hapa ndipo shughuli nzima ya uchimbaji hufanyika...
  12. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kamati ya siasa ya CCM Kibiti yakagua miradi ya maji ya RUWASA ikihusisha visima 900 vya Mama, kwani mama anatoa hela mfukoni mwake?

    Wakuu Wananchi Wilayani Kibiti Mkoani Pwani Wametakiwa kuilinda vyema miradi ya maji ya wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini RUWASA waliyojengewa na Serikali ili iweze Kudumu na kuwanufaisha wengine na kuwa endelevu kwa kuitumia vizazi na vizazi. Wito huo umetolewa na Kamati ya...
  13. Just Pray

    JamiiForums Tanzania RUWASA Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma,umeanza kutekeleza program ya uchimbaji visima 900/5 kwa kila Jimbo

    WAKALA wa maji na usafi wa mazingira vijijini(RUWASA) Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma,umeanza kutekeleza program ya uchimbaji visima 900/5 kwa kila Jimbo ambapo Wilaya hiyo yenye majimbo mawili ya Uchaguzi Tunduru Kusini na Kaskazini imepata mradi wa visima 10 vitakavyogharimu zaidi ya...
  14. Mayor of kingstown

    JamiiForums Tanzania Huduma ya uchimbaji wa visima Dodoma

    Hii ni dodoma tu na wilaya zake zote tuna tambua tabu ya upatikanaji wa maji dodoma, ivyo Kwa mahitaji ya: -kuchimba kisima kirefu au kifupi kwa matumizi ya nyumbani, shamba au mifugo -kusafisha (flushing) na marekebisho ya kisima -kufunga pump na matengenezo ya pump -na mahitaji mengine...
  15. Mathanzua

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta mashirika yanayotoa msaada wa visima vifupi kwa wananchi mmoja mmoja Wilaya ya Mvomero

    Wilaya ya Mvomero ni Wilaya yenye mito mingi sana.Hata hivyo Wilaya hii bado imeendelea kuwa na changamoto kubwa ya maji.Wananchi waliio wengi bado wanatumia visima vya wazi na mabwawa ambayo si salama kwa Afya zao,kwa kuwa mara nyingi wanachangia na mifugo.Maji haya kwa hiyo si salama na ni...
  16. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Uchimbaji wa Visima Virefu vya Maji Umeanza Ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini

    UCHIMBAJI WA VISIMA VIREFU VYA MAJI UMEANZA NDANI YA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI Jumatatu, 26.8.2024, Mkuu wa Wilaya ya Musoma (DC), Dkt Khalfany Haule amepokea na kushuhudia gari lenye mtambo wa uchimbaji wa visima virefu vya maji ukianza kazi kwenye Kata ya Bugwema ya Jimboni mwetu. Jimbo letu...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Ansarullah: Msimu wa baridi kali umekaribia Ulaya; tukichokozwa tutapiga visima na meli za mafuta na gesi

    Mmoja wa viongozi waandamizi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amezionya nchi mbili za Kiarabu kwamba zisithubutu kuingia kwenye muungano wa Bahari Nyekundu wa Marekani na imetangaza wazi kwamba, kama Yemen itashambuliwa, basi harakati hiyo itajibu kwa kupinga visima na meli za maafuta na gesi...
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mpanda: Wananchi waondokana na adhaa ya maji ya visima

    Wananchi wa Mtaa wa Tulieni iliyoko Kata ya Nsemulwa, Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamesogezewa huduma ya maji safi mara baada ya mradi wa kutanua mtandao wa maji safi kukamilika katika mtaa huo. Hadija Kunja na Saidi Ramadhani ni wananchi wa mtaa huo wamesema kwa muda mrefu Wananchi wa...
  19. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Mr Beast ajenga visima 100 vya maji barani Afrika

    Kwa project hii ataweza kunywesha maji watu takribani laki tano. Nchi alizozigusa ni Kenya, Zimbabwe, Uganda, Somalia na Cameroon Kwa msiemjua Mr beast, ni youtuber ambae kipato chake huki wekeza katika michezo ya kusaidia watu kifedha na projects za kusaidia jamii. Hongera kwake...
Back
Top Bottom