venezuela

Venezuela (; American Spanish: [beneˈswela] (listen)), officially the Bolivarian Republic of Venezuela (Spanish: República Bolivariana de Venezuela), is a country on the northern coast of South America, consisting of a continental landmass and many small islands and islets in the Caribbean Sea. It has a territorial extension of 916,445 km2 (353,841 sq mi) and the population of Venezuela was estimated at 28 million in 2019. The capital and largest urban agglomeration is the city of Caracas.
The continental territory is bordered on the north by the Caribbean Sea and the Atlantic Ocean, on the west by Colombia, Brazil on the south, Trinidad and Tobago to the north-east and on the east by Guyana. The Venezuelan government maintains a claim against Guyana to Guayana Esequiba. Venezuela is a federal presidential republic consisting of 23 states, the Capital District and federal dependencies covering Venezuela's offshore islands. Venezuela is among the most urbanized countries in Latin America; the vast majority of Venezuelans live in the cities of the north and in the capital.
The territory of Venezuela was colonized by Spain in 1522 amid resistance from indigenous peoples. In 1811, it became one of the first Spanish-American territories to declare independence from the Spanish as a department of the federal republic of Gran Colombia. It gained full sovereignty as a country in 1830. During the 19th century, Venezuela suffered political turmoil and autocracy, remaining dominated by regional military dictators until the mid-20th century. Since 1958, the country has had a series of democratic governments. Economic shocks in the 1980s and 1990s led to major political crises and widespread social unrest, including the deadly Caracazo riots of 1989, two attempted coups in 1992, and the impeachment of President Carlos Andrés Pérez for embezzlement of public funds in 1993.
A collapse in confidence in the existing parties saw the 1998 election of former coup-involved career officer Hugo Chávez and the launch of the Bolivarian Revolution. The revolution began with a 1999 Constituent Assembly, where a new Constitution of Venezuela was imposed. This new constitution officially changed the name of the country to Bolivarian Republic of Venezuela. Chávez established populist social welfare policies bolstered by soaring oil prices, increasing social spending, temporarily and reducing economic inequality and poverty in the early years of the regime. In 2013, Chávez died and was succeeded by Nicolás Maduro, who was elected by a narrow majority in a widely disputed election. Maduro continued the populist policies, but with disastrous economic results which triggered another nationwide crisis that continues to this day.Venezuela is a developing country and ranks 96th on the Human Development Index. It has the world's largest known oil reserves and has been one of the world's leading exporters of oil. Previously, the country was an underdeveloped exporter of agricultural commodities such as coffee and cocoa, but oil quickly came to dominate exports and government revenues. The excesses and poor policies of the incumbent government led to the collapse of Venezuela's entire economy. The country struggles with record hyperinflation, shortages of basic goods, unemployment, poverty, disease, high child mortality, malnutrition, severe crime and corruption. These factors have precipitated the Venezuelan migrant crisis where more than three million people have fled the country. By 2017, Venezuela was declared to be in default regarding debt payments by credit rating agencies. The crisis in Venezuela has contributed to a rapidly deteriorating human rights record, including increased abuses such as torture, arbitrary imprisonment, extrajudicial killings and attacks on human rights advocates, while Maduro has become increasingly described as an autocratic and dictatorial leader by foreign observers.
Venezuela is a charter member of the UN, OAS, UNASUR, ALBA, Mercosur, LAIA and OEI.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Pamoja na tofauti zetu, ikitokea Trump kasema anakuja Tz kufanya alichofanya Venezuela au Iran watanzania wengi tutaungana kumpinga

    Tunaweza kuwa na tofauti zetu lakini kuna mstari ukivukwa lazima utauona umoja wa watanzania hata wanaotofautiana Trump akithubutu kutuletea mambo yake aliyofanya Vendezuela na sasa Iran, atajutia uamuzi huo maana sio kwa aibu atayopata. Tanzania, Tanzania! Nakupenda kwa moyo wote Nchi yangu...
  2. M

    Mnadhani wananchi wa Iran na Venezuela wanajali Marekani kuchukua mafuta ? wananchi ni maskini, wanauawa, wamekimbia nchi, watakataaje msaada ?

    Hakuna free lunch hapa duniani. Lakini afadhali kusaidiwa na mtu wa mbali unajua kabisa atachukua sehemu flani ya rasilimali kisha awaache muendelee na maisha mengine kwa uhuru kuliko kuongozwa na ndugu yako mlafi, kakuacha katika umasikini, Mbaya zaidi ukimhoji, mnapigwa risasi au kufungwa...
  3. Keyboard_Warrior

    USA: Venezuela vs Iran

    Oya, ina maana USA wameshindwa kurudia kile walichokifanya Venezuela kwa Iran? Yaani wameshindwa kwenda na makomando wao wa Delta force kumnyakua Ayatollah kama walivyomnyakua Maduro? Daaaaah!!!
  4. Nyankurungu2020

    Icc msitumie nguvu kumkamata huyu kiongozi maana ni mzee. Mtumie busara na atii bila shuruti. Yasiwepo makabiliano kama Venezuela

    Naona hata yeye ameshajua kuwa ana wakati mgumu. Juzi amesikiika akiongea kwa unyonge kuwa mimi nitaondoka na watakuja wengine. Hakuna haja ya kutumia nguvu na kumpeleka Icc kama Rodrigo Durtete mumchukue taratibu msije mkatuletea matatizo mengine
  5. Waufukweni

    Trump ajiita ‘Kaimu Rais wa Venezuela’ katika chapisho lake kwenye mtandao wake 'Truth Social'

    Rais wa Marekani Donald, ajiita ‘Kaimu Rais wa Venezuela’ baada ya zaidi ya wiki moja tangu jeshi la Marekani kuivamia Venezuela na kumkamata rais wake, Nicolás Maduro. Kupitia mtandao wake wa Truth Social, Trump alichapisha picha iliyofanana na ukurasa wa Wikipedia, ikionyesha picha yake rasmi...
  6. R

    Nobel yamkatalia Maria Corino Machado wa Venezuela kumkabidhi Trump tuzo yake ya amani (Nobel peace prize)

    Nobel Institute ya Norway imesema kuwa Tuzo ya Amani ya Nobel haiwezi kuhamishwa, kugawiwa wala kufutwa, hii ni baada ya mshindi wa tuzo hizo wa mwaka 2025 ambaye ni kiongozi wa upinzani nchini Venezuela, María Corina Machado, kusema huenda akamkabidhi Rais wa Marekani Donald Trump tuzo yake ya...
  7. MK254

    Venezuela ilikuwa imewekeza kwenye mifumo ya kiulinzi ya Iran, Urusi na China, ila USA walipita humo humo

    Jameni hadi raha, kuna wakati huwa nasoma taarifa kama hizi najikuta nafurahia hadi naumwa, USA ni hatari nyingine, wakipania wao hufanya tu, juzi waliichukua meli iliyojinasibu kuwa ya Urusi, licha ya Warusi kusema watailinda. ==============For English Audience ============ The overnight US...
  8. Kijakazi

    akina Tundu Lisu wa venezuela waanza kuachiwa!

    D.Trump (USA)- wafungwa wa kisiasa waliofungwa na communist maduro wameanza kuachiwa, thanks to D.Trump, ni swala la muda tu hata akina Tundu Lisu watafikiwa, tusife moyo to fight evil ...
  9. Dalton elijah

    Serikali ya mpito nchini Venezuela imeanza kuwaachilia watu wanaosadikiwa kuwa wafungwa wa kisiasa

    Serikali ya mpito nchini Venezuela imeanza kuwaachilia watu wanaosadikiwa kuwa wafungwa wa kisiasa na mashirika ya kutetea haki za binadamu, katika kile maafisa walichoeleza kuwa ni ishara ya nia njema. Wizara ya mambo ya nje ya Uhispania ilisema raia wake watano, akiwemo raia mmoja aliye na...
  10. Mkalukungone Mwamba

    Marekani yaituhumu Rwanda kukiuka makubaliano ya Amani ya DRC yaliyosainiwa Washington

    Serikali ya Marekani imeishutumu Rwanda kwa kutotekeleza kwa uaminifu makubaliano ya amani yaliyotiwa saini Washington yanayolenga kuishia machafuko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ikisema wazi kuwa vitendo vya Kigali vimekuwa ni ukiukwaji wa makubaliano hayo yaliyofikiwa...
  11. R

    Swali la kizushi: USA inaweza ”kuzichapa" Russia na China ikizuka vita kugombea Venezuela?

    China na Russia wana maslahi makubwa Venezuela. Wana biashara ya mafuta. Leo USA amekamata meli za Russia. Suppose China na Russia wanaamua kuingia kwenye vita na USA, nani atatoka mshindi! Denmark anaimudu maana anataka kuinyakua Greenland for security reasons!
  12. R

    Mpango wa Trump kuchukua mafuta Venezuela yamkasirisha China, bei imeshuka

    Bei ya mafuta duniani ilishuka baada ya taarifa kwamba Marekani imefikia makubaliano na Venezuela ili kupokea hadi dola bilioni 2 za mafuta yaliyokuwa yakipelekwa China, hatua iliyosababisha mkanganyiko wa kisiasa na uchumi kwenye soko la nishati. Rais Donald Trump alitangaza kwamba Marekani...
  13. R

    Trump: Serikali ya Venezuela itatupatia mapipa Milioni 30-50 ya mafuta, tutayauza na fedha nitasimamia zinufaishe pande zote

    Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema serikali ya mpito ya Venezuela imekubali kuipatia Marekani mamilioni ya mapipa ya mafuta yatakayouzwa kwa bei ya soko la kimataifa, huku mapato yakielezwa kuwa yatanufaisha wananchi wa nchi zote mbili. Kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mitandao ya...
  14. mngony

    Je, Makamu wa Rais wa Venezuela ndiye mtu wa ndani mshirika wa CIA aliyeisaidia Marekani kumkamata Maduro?

    Kufuatia Operesheni ya kumkamata Rais Maduro, Serikali ya Marekni ilitoa taarifa kuwa mtu wa ndani ya Serikali ya Venezuela na mshirika wa CIA alisaidia kuwezesha kujua mienendo ya Rais Maduro na kufanikisha kukamatwa kwake. Ikumbukwe Rais Trump, alitamka kuwa Makamu wa Rais wa Venezuelea Delcy...
  15. R

    Inashangaza kuona China anayeikalia Taiwan na Russia aliyevamia Ukraine anailaumu USA kuivamia Venezuela

    Russia imeivamia Ukraine, inaua watu, uchumi etc etc China "inaikalia" Taiwan kinyume na matakwa ya wananchi wa Taiwan. Leo wanatoka na matamko ya kuilaani USA. Moral authority hawana kuisema USA!
  16. C

    Operesheni ya Kukamatwa kwa Rais wa Venezuela: Simulizi la Uvamizi wa Kasi na Usahihi wa Hali ya Juu

    Operesheni ya Kukamatwa kwa Rais wa Venezuela: Simulizi Linalozua Mjadala Operesheni iliyodaiwa kusababisha kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, na majeshi ya Marekani imeelezwa kama operesheni ya kasi na usahihi wa hali ya juu. Simulizi hilo linaeleza kuwa shambulio la ardhini...
  17. Mhaya

    Series ya Jack Ryan S02 (2019): Ilitabiri Tukio la Venezuela — Miaka 6 Baadaye Marekani Ikapiga kwenye mshono

    Kuna series moja nzuri sana ambayo sasa ndio inashika vichwa vya habari duniani kote na hii series inaitwa Tom Clancy's Jack Ryan. Mfululizo wa Tom Clancy’s Jack Ryan unamuhusu mwamba mmoja wa kuitwa Jack Ryan, mfanyakazi wa CIA anayejihusisha na ujasusi wa kimataifa, uchambuzi wa mambo hatari...
  18. Mkalukungone Mwamba

    Venezuela watuma ujumbe kwa Marekani. Tunaialika Serikali ya Marekani kushirikiana nasi katika ajenda ya ushirikiano

    Venezuela inathibitisha tena dhamira yake ya amani na kuishi kwa amani na mataifa mengine. Nchi yetu inatamani kuishi bila vitisho vya nje, katika mazingira ya heshima na ushirikiano wa kimataifa. Tunaamini kuwa amani ya dunia hujengwa kwanza kwa kuhakikisha amani ya kila taifa. Tunaona kuwa...
  19. ngara23

    Delta force walikamatwa Tanzania na mabomu yao, hao Venezuela wanakwama wapi?

    Polisi TANZANIA ilitangaza kumtia mbaroni askari wa Marekani na mabomu yake kabla hajaleta madhara Hao Venezuela wanashindwa Nini kuja kujifunza kwetu
  20. Fbn

    Hivi mnafahamu baada USA kumkamata raisi wa Venezuela kulikuwa na ajenda ambao walijitokeza wakiwa upande wa CCM na account zao,Haya angalia na hii

    Huu mtandao wa propaganda ambao unatumika sana CCM ulipoona delta force imemkamata raisi wa Venezuela nao wakaja kwa njia hii . Kama walikuwa wameona hiyo ndo habari mbona ya Venezuela wajaweka. Hili group la CCM lina amrisha sana .
Back
Top Bottom