vazi

Vazi (Persian: وازی‎, also Romanized as Vāzī) is a village in Mazu Rural District, Alvar-e Garmsiri District, Andimeshk County, Khuzestan Province, Iran. At the 2006 census, its population was 25, in 4 families.

View More On Wikipedia.org
  1. Kijukuu cha Tanzania

    PostGE2025 Uchaguzi Mkuu wa 2025 ulivyoonesha vazi la Demokrasi la Tanzania linavyochakaa kupitia INEC, Vyama vya Upinzani

    Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyamavingi Mwaka 1992, Tanzania imejengwajuu ya msingi wa kikatiba unaotambuademokrasia, utawala wa sheria na heshimakwa haki za binadamu. Katiba ya Jamhuri ya Muungano inawekawazi haki za msingi, ikiwemo uhuru wakukusanyika na kujiunga na vyama vyasiasa, uhuru wa...
  2. Godoro la kioo

    Suruali vazi lenye mlengo wa kuwadhalilisha wanawake wembamba

    Salaam wakuu. Binafsi Sina lengo la kumharibia siku mtu ,au kumkejeli mtu lakini wakuu suruali kwa wanawake wembamba ni kama wanajidhalilisha Naelewa kwamba wanataka wapendeze, waende na wakati ,na waonekane wa kisasa lakini Kuna mambo mengine hapana kwa kweli Samahan kama Kuna yeyote...
  3. Masalu Jacob

    Vazi la Taifa naomba liwe kanga kwa mtindo wa uvaaji kama wenzetu Hindu

    Habari Tanzania ! Nimeweka mfano wa picha kwa msaada wa tehama. Mnaonaje tukiwa tunavaa hivi wanaume kwa wanawake kama vazi rasmi la utambulisho kitaifa. Asante.
  4. I

    Cap: Ni kama kimekuwa vazi la laana hapa Tanzania

    Cap. Kapero. Ni moja ya mavazi yanayopendwa sana ulimwenguni tena na watu wema. Lakini kwa nchi yetu, vazi hili binafsi nimekuwa nikilinasabisha na uhalifu. Mara kwa mara matukio haramu ya utekaji ukitizama wale watekaji pale inapotokea wamerekodiwa hakosekani mmoja (au wawili au zaidi)...
  5. Mgeni wa Jiji

    Vazi moja la taifa, matamanio yasiyoweza kufikika

    Salamu wana JF Hii mada ya vazi la taifa ni miongoni mwa mada zinazoonesha namna gani hatupendi kukubaliana na ukweli wa mambo sisi kama watanzania. Ukweli ni kwamba kama taifa lenye zaidi ya makabila 120 haiwezekani kuea na vazi moja la taifa tena tukabaki kuzingatia tamaduni zetu. Ni vipi...
  6. Allen Kilewella

    Uasili wa vazi la kanzu linalovaliwa na Waislamu wengi duniani

    Haya ni sehemu ya maelezo muhimu ya uasili wa uvaaji wa vazi la Kanzu. 👇
  7. W

    kumbe wasukuma wa vijijini huvaa sketi kuvutia wanawake ?

    Si Wasukuma wote huvaa vazi hili, lakini limezoeleka sana kwa wachungaji wa ng’ombe porini na vijijini.
  8. mrangi

    Kuna style ya vibaka kuvaa baibui usiku ukijua ni wanawake kumbe vibaka

    Hii video nmetumiwa,sijui ni wapi.. Ila hii style ya vibaka kuvaa baibui usiku ukijua na wanawake kumbe vibaka Naona hapo mzee kabananishwa katulia Ova
  9. M

    Vazi la upweke !!!

    Amani iwe kwenu , Upweke unaweza kuwa wa thamani kuliko kuwa na watu wasio wa kweli maishani mwako. Ukiondoa vicheko vya kinafiki,salamu za masharti,na urafiki wa muda mfupi.upweke sio mbaya kama unavyoogopwa. Ni bora upweke kuliko furaha ya kujipendekeza
  10. Yoda

    Hijab ni vazi la kidini au utamaduni wa kiarabu?

    Hili vazi la hijab ambalo huvaliwa zaidi na wanawake wengi wa dini ya Kiislamu na Waarabu ni vazi la kidini(uislamu) au la utamaduni wa Waarabu?
  11. and 998 others

    Groomsmen wa Jux mlipaswa kuvaa vazi la Kitanzania sio pink vazi la ki-Nigeria!

    Inasikitisha Groomsmen wa Jux kuvaa Pink tena vazi la Nigeria! Tuwaeleweje? Bora hata mngevaa lubega la kimasai.
  12. Pascal_TZA

    Suguye na miujiza ya kugusa vazi lake Jumapili hii

    Mtumishi wa Mungu @prophet_nicolaus_suguye Anakukaribisha kwenye Ibada kubwa ya KUSHIKA VAZI LA KINABII Itakayofanyika siku ya Jumapili 23/3/2025 katika kanisa la The Word of Reconciliation Ministries (WRM) lililopo Ukonga - Kivule, Matembele ya pili jijini Dar es salaam. Ibada ya kwanza...
  13. osu2014

    Jinsi Mark Zuckerberg alivyopagawa na vazi la Mke wa Jeff Bezos jana.

    Wakati wa sherehe ya kuapishwa kwa Rais Donald Trump tarehe 20 Januari 2025, tukio lililomhusisha Mark Zuckerberg, Mkurugenzi Mtendaji wa Meta (zamani Facebook), lilivutia sana. Video moja ilimuonyesha Zuckerberg akitazama kifua cha Lauren Sánchez, mchumba wa mwanzilishi wa Amazon, Jeff Bezos...
  14. L

    Rais Samia aingia amependeza Kikaoni kuwahi kutokea, wengi watamani Ushonaji wake wa Nguo uigwe kwenye vazi la Taifa

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika ikiwa upo mbali na Tv yako basi nenda hata migawahani au vibanda umiza au hata kwa jirani mwenye Tv ushuhudie kinachoendelea Dodoma. kwa sababu ikiwa upo mbali na Tv au matangazo ya moja kwa moja kutoka Dodoma . Basi utakuwa unakosa Mambo mengi sana hapa...
  15. Jidu La Mabambasi

    Je hili vazi la Mh Kawawa lilitoka wapi?

    Je, wajua kwa nini Mh Rashid Kawawa alivaa nguo hizi?
  16. Yoda

    Kijora ni vazi la aina gani na watu gani?

    Hili vazi la kijora ambalo huwa linazungumziwa sana na waswahili na watu wa pwani ni vazi la aina gani? Kijora kina utofauti gani na vazi la dera? Kijora kinavaliwa na watu wa aina gani zaidi?
  17. D

    Vazi la mtandio Lina mvuti kuliko khanga. Do you agree?

    Love it, live it
  18. B

    Ni muda ya vazi la maasai kuwa vazi la taifa la Tanzania

    Ni lini watanzania tutathamini vya kwetu? Nchi ya Tanzania ni nchi kubwa yenye tamaduni tofauti tofauti kutokana na kuwa na makabila mengi. So suala la serikali kuweka kamati ya vazi la taifa miaka na miaka naona ni ubadhirifu wa fedha za umma. Kwa sababu gani ni ubadhirifu wa fedha za umma ni...
  19. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Angelina Malembeka: Vazi la Rais Samia Linatosha Kuwa Vazi la Taifa

    Mbunge Angelina Malembeka: Vazi la Rais Samia Linatosha Kuwa Vazi la Taifa Mbunge Angelina Malembeka amesema kwa mtazamo wake mavazi anayovaa Rais Samia Suluhu Hassan yanatosha kuwa vazi la Taifa kwani yana stara, ustaarabu, heshima na unadhifu. Angelina ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma...
Back
Top Bottom