vat

A value-added tax (VAT), known in some countries as a goods and services tax (GST), is a type of tax that is assessed incrementally. It is levied on the price of a product or service at each stage of production, distribution, or sale to the end consumer. If the ultimate consumer is a business that collects and pays to the government VAT on its products or services, it can reclaim the tax paid. It is similar to, and is often compared with, a sales tax.
VAT essentially compensates for the shared service and infrastructure provided in a certain locality by a state and funded by its taxpayers that were used in the provision of that product or service. Not all localities require VAT to be charged, and exports are often exempt. VAT is usually implemented as a destination-based tax, where the tax rate is based on the location of the consumer and applied to the sales price. The terms VAT, GST, and the more general consumption tax are sometimes used interchangeably. VAT raises about a fifth of total tax revenues both worldwide and among the members of the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD). As of 2018, 166 of the 193 countries with full UN membership employ a VAT, including all OECD members except the United States, where many states use a sales tax system instead.
There are two main methods of calculating VAT: the credit-invoice or invoice-based method, and the subtraction or accounts-based method. Using the credit-invoice method, sales transactions are taxed, with the customer informed of the VAT on the transaction, and businesses may receive a credit for VAT paid on input materials and services. The credit-invoice method is the most widely employed method, used by all national VATs except for Japan. Using the subtraction method, at the end of a reporting period, a business calculates the value of all taxable sales then subtracts the sum of all taxable purchases and the VAT rate is applied to the difference. The subtraction method VAT is currently only used by Japan, although subtraction method VATs, often using the name "flat tax," have been part of many recent tax reform proposals by US politicians. With both methods, there are exceptions in the calculation method for certain goods and transactions, created for either pragmatic collection reasons or to counter tax fraud and evasion.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Kodi ya VAT ikusanywe direct toka viwandani kupunguza upotevu wa mapato

    Salaam, Shalom, Wote tunafahamu kuwa uagizaji wa mafuta Kwa Mfano, Huwa mafuta yanapopakuliwa Kutoka kwenye meli, Huwa Lita zinafahamika na Kodi ya Serikali Huwa tayari inajulikana. Kiwanda Cha kuuza maji Cha Kilimanjaro Kwa Mfano, TRA wakiweka mfumo wa kujua Lita kiasi Gani zinazalishwa Kwa...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Elimu ya kodi kwa wafanyabiashara: Kodi ya VAT sio yako

    Wafanyabiashara waelewe ukikusanya kodi ya mauzo ya VAT ya 18% ni juu yako kuweka tax kwenye bei zetu. Ile kodi ya 18% sio pesa yako umechukuwa na kuwashikia serikali. Sasa msije kufikiri ile pesa ni pesa yako ni pesa unatakiwa uweke kwenye bei.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Ni haki yetu kutangaziwa kama tozo zimerudi kwenye malipo ya VING'AMUZI.. (Ada, Vat na Kodi)

    Kwani mnatuchukulia sisi poa, kwani itawagharimu pesa ngapi kututangazia kuwa tozo zimerudi kwenye malipo ya ving'amuzi? Leo nimefanya malipo kulipia king'amuzi risiti iliyorudi imeonesha nimekatwa Ada na Vat... au kuna tatizo kwenye uandishi wa hiyo risiti.. Kama kuna yoyote aliefanya malipo...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Kumbe siku hizi ukitaka ku sponsor post kuna kulipia VAT? Imeanza lini hii?

    Huu utaratibh Umeanza lini daah
  5. TRA Tanzania

    JamiiForums Tanzania Msamaha wa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye vifungashio vya madawa ya binadamu

  6. TRA Tanzania

    JamiiForums Tanzania Msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT)

  7. TRA Tanzania

    JamiiForums Tanzania Kiwango cha Kusajiliwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) chaongezeka

  8. TRA Tanzania

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko ya Kiwango cha Usajili wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT)

  9. OLS

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaitaka Amazon Web Services kulipa VAT. Wateja wake Tanzania watangaziwa ongezeko la gharama

    Kampuni ya Amazon Web Services EMEA Sarl ("AWS Europe") imetoa tangazo muhimu kuhusu mabadiliko ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) nchini Tanzania. Kuanzia tarehe 1 Juni 2023, AWS Europe itatoza VAT kwenye mauzo ya huduma za elektroniki kwa wateja wasio wa biashara nchini humo. Barua pepe...
  10. N

    JamiiForums Tanzania VAT ya 18%

    VAT YA 18% ni kubwa sana na imekaa muda mrefu. Ukiwauliza watu wa TRA wanasema hawawezi kushuhsha sababu ya walipaji ni wachache, na wachache hao wengine ni wadanganyifu. Nafikiri serikali asilimia ya ikipungua unaongeza wigo wa watu kulipa VAT, sababu wanaona ni kiasi si kikubwa. Hii 18%...
  11. comte

    JamiiForums Tanzania TRA mnawaibia TFF na timu za mpira kwa kuwakata VAT badala ya kusubiri iletwe kwenye ritani za mwezi husika

    Kwa kawaida mlipa kodi aliyesajiriwa kwenye VAT hutakiwa kulipa au kudai kurejeshewa tofauti ya kodi kwenye mauzo na kodi kwenye manunuzi kutegemeana na ukokotozi. Kwa taarifa hii ya TFF inaelekea TRA imechuka 18 % mapato yote ya mchezo wa siku husika. Kwa maoni yangu hii ni kinyume cha sheria...
  12. BARD AI

    JamiiForums Tanzania 'Semi Trucks' za 'TESLA' zaanza kuingia sokoni, moja itauzwa Tsh. Milioni 587 kabla ya VAT na 'Shipping'

    Tesla's new electric truck is finally here, with PepsiCo being the first customer to receive some of the 100 vehicles it pre-ordered.⁠ ⁠ First announced by Elon Musk in 2017, the Tesla Semi has been one of the longest-delayed products in the company's history.⁠
  13. M

    JamiiForums Tanzania VAT itaua makampuni mengi ya mikoani, TRA angalieni hili

    Wana JF, Ujumbe huu uende kwa Rais Samia pamoja na TRA. Huu mfumo mpya ambao TRA imeuanzisha katika kukusanya VAT umeleta matatizo makubwa sana hasa kwa kampuni za wilayani na mikoani. Kawaida VAT huwa hivi. Mfanyabiashara unaauza bidhaa yako au huduma yako na kuongeza VAT juu ambayo mlaji...
  14. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Mdude Chadema: Wanafunzi wanaolipa kodi ya VAT wakinunua madaftali wanasoma kwenye mapagala!

  15. Jerlamarel

    JamiiForums Tanzania Ikiwa tozo na VAT zina kiwango sawa, tafsiri nyepesi ni kwamba VAT imeongezeka mara 2

    Picha hapo juu inajieleza. Tafsiri nyepesi ya hizi tozo ni kwamba VAT imepanda mara 2. Zile stori za sijui nchi ni yetu sote, tunajenga nchi, tunaendesha miradi ni vichaka tuu vya kujifichia ila ukweli ndiyo huo kwamba VAT ime-double. Sasa kwa hali ya uchumi ilivyo ni mzigo tosha kwa mwananchi...
  16. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Mnaambiwa: Msijichanganye kwenye makato mengine ya watoa huduma yaani benki/kampuni ya simu na VAT. Tozo ya serikali inajitegemea

    Viwango vya juu vya tozo ya Serikali vimepunguzwa kutoka sh. 7,000/- hadi 4,000/-(kwa wanaotuma zaidi ya sh. 3,000,000/-). Viwango vya chini vimepunguzwa kutoka sh. 100/- hadi shilingi 10/- (wanaotuma kati ya sh. 100/- hadi 2,999/- Pia tusichanganye makato mengine ya watoa huduma yaani benki au...
  17. profesawaaganojipya

    JamiiForums Tanzania Je, kuna App yoyote ya kutambua risiti za TRA?

    Ndugu wana jamvi naomba msaada,nitawezaje kujua kama risiti niliyopewa nifeki au sio feki,je kuna app yeyote ya kutambua risiti za tra?
  18. The Leader King

    JamiiForums Tanzania Ardhi hulipiwa VAT?

    Habari zenu Wakuu, Nimekuwa Nikiyumba Kuhusu Sheria Ya ARDHI Kwa Makampuni ya Upimaji na Uuzaji wa Viwanja Kwamba Je Wanapovuka Tsh, Million 100 Kwa Mwaka. Je Hulazimika Kulipia VAT ? Hii Nakusudia Makampuni na Wauzaji Wengine Ambao Hufanya Upimaji Na Kurasimisha Mipango Miji na Kuanzia...
  19. beth

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri: Suala ya wazalishaji mafuta ya kula kufutiwa 'VAT' linahitaji wataalamu

    Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande amesema Serikali inafanya tathmini ya hatua mbalimbali zinazopaswa kuchukuliwa kwa kila Sekta ili kukabiliana na athari zinazotokana na Hali ya Kisiasa ikiwemo Vita ya Urusi na Ukraine Ameeleza hayo baada ya Mbunge Nancy Hassan Nyalusi kuhoji ni hatua...
  20. comte

    JamiiForums Tanzania TRA mfumo wenu wa e-filing hasa kwenye VAT unasumbua-rekebisheni

    TRA mmeweka mfumo mpya wa E filing ikiwemo VAT - unasumbua mrekebishe kama siyo njia ya kusumbua walipa kodi
Back
Top Bottom