Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,517
Picha hapo juu inajieleza. Tafsiri nyepesi ya hizi tozo ni kwamba VAT imepanda mara 2. Zile stori za sijui nchi ni yetu sote, tunajenga nchi, tunaendesha miradi ni vichaka tuu vya kujifichia ila ukweli ndiyo huo kwamba VAT ime-double.
Sasa kwa hali ya uchumi ilivyo ni mzigo tosha kwa mwananchi, na mfumuko wa bei ulivyo kwa sasa, then wewe kama kiongozi bado tena unakuja kuwaongezea mzigo wa VAT mara 2 hakuna jina jingine la kukupa zaidi ya "MUUAJI".
Viongozi acheni stori nyepesi nyepesi, wananchi hatutaki tozo.