Katika hali ya kawaida maisha huanza kutoka tumboni iwe yai, iwe mimba ama funza, lava na hata kiluwiluwi
Lakini kwa chura wa Suriname, uzazi wake huanzia .. Yaani mgongo hupasuka na vitoto vichanga hutoka!
Iko hivi
Baada ya kujamiiana, jike huchukua mayai yaliyorutubishwa kwenye mgongo wake...