uwepo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Serikali kuzuia internet na kumwaga askari mitaani ilihofia uwepo wa mwakilishi wa UN kuchunguza 29 Oct 2025 watu wangeandamana tena akiwapo nchini?

    Kama umegundua, hivi karibuni kumekuwa na changamoto za upatikananji wa internet, na kwamba askari walikuwa wamewaga mitaani kwa wingi kuliko kawaida, wakiwa na silaha. Labda usichoelewa ni kwamba katika hizo siku, mwakilishi wa Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa, Onanga-Anyanga, alikuwapo nchini...
  2. let the caged bird sings

    Atheist anayeamini uwepo wa Mungu

    Yule Dogo ambaye Baba yake aliwai kuwa Mkuu wa 3 kwenye Taifa la Mcharo aliwai jisahau kuwa huwa anajitambulisha kama Atheist, akajikuta kaandika kitu kama hiki. Baada kuwa confronted na Umma wa JF, kumtuliza ilikuwa ni kipengere
  3. Equation x

    Uwepo wa majini huwa ni stori za kusadikika tu au uwa ni kweli?

    Wengi tunaamini waarabu ndio wanaongoza kwa majini; kama ni kweli majini yapo, wameshindwaje kuyatumia kwenye hizi vita vya miaka na miaka kati yao na Marekani?
  4. Mindyou

    Padri Kitima akitambulisha uwepo wa vyama vya siasa mbalimbali kwenye msiba Kardinali Pengo. Umegundua nini?

    Wakuu, Hii ni leo wakati Padri Kitima anatambulisho uwepo wa vyama vya siasa mbalimbali kwenye msiba wa Kardinali Pengo Hapo kuna sehemu kataja kuna vyama 17
  5. A

    KERO Waziri wa Afya kuzungumzia maslahi ya upande mmoja wa taaluma kada ya afya si sawa, taaluma nyingine nani atazisemea?

    Mh. Waziri wa Afya sisi kama wauguzi tunakushangaa sana unapozungumzia masilahi ya upande mmoja wa taaluma ndani ya kada za afya, Ndani ya taaluma za afya tupo wataalamu wa tulisoma course tofauti tofauti na hizi taaluma zote utendaji wetu unategemeana kwa kiwango kikubwa ulikumuhudumia mgonjwa...
  6. Genius Man

    Uwepo wa kesi nyingi za uongo za serikali kwa watanzania inapaswa kuwa sababu nyengine kuu ya kuandamana huu ni uchizi

    Uwepo wa kesi nyingi za uongo za serikali kwa watanzania inapaswa kuwa sababu nyengine kuu ya kuandamana huu ni uchizi Hatuwezi kuongozwa na vilaza na watu wanao waza upuuzi upuuzi tu muda wote hwana mchango wowote kwenye nchi bali tatizo linalopaswa kuondolewa
  7. Cute Wife

    PostGE2025 Mwigulu: Mnataka tuseme idadi ya waliokufa kwani tunafanya sherehe ya vifo?

    Yaani zinatajwa kila kitu ila hakuna kutaja idadi, ilitajwa idadi ya waliokufa kwwnye mv bukoba, ajali train kule Dodoma idadi ilitajwa, japokuwa na yenyewe namba zilipikwa, leo kutaja idadi ya waliokufa kwwnye maandamano ndio inamaanisha watu wanasherekea mauaji yaliyotokea?🤣🤣 Mwigulu...
  8. M

    Uwepo wa Diwani Athumani na Kapilimba Bungeni ni kama ulimchanganya kidogo

    Walipotambulishwa niliona kama pozi iliisha kidogo au ni macho yangu?
  9. comrade_kipepe

    Naanza kupata wasiwasi na uwepo wa Mungu

    Mbona kama TAJIRI anaonekana ana nguvu na anaabudiwa kama Mungu? Mbona watumishi wa Mungu wanamuogopa Tajiri kuliko Mungu?? KAMA KWELI MUNGU UPO TAJIRI ASIMALIZE MIEZI 7 Kama Mungu yupo kweli Mbona anaacha TAJIRI anaabudiwa na kuombwa kama Mungu? Kwasasa TAJIRI ana nguvu kuliko Mungu huyu...
  10. let the caged bird sings

    Uzoefu binafsi uwepo wangu ndani ya Burundi

    Hapa Rumonge ni Mji cool sana. Usiku,maeneo mengi yapo dull na low activities unless kwenye kumbi za kujirusha. Data, ipo chini sana buku tano ya Tz unaweza peruzi mwezi mzima. Kidnappers, ni hakuna hakuna kabisa. Warundi wanapenda wageni japo sijajitambulishi kama Mtanzania( nina ichukia...
  11. comrade_kipepe

    Wasioamini uwepo wa Mungu watazidi kuongezeka

    Au inatakiwa watu wateseke kiasi gani ndio Mungu aje kuwasaidia??
  12. ELI COHEN

    Je mamlaka kuu za dunia zinatuficha kuhusu uwepo wa aliens?

  13. B

    Hatimaye ana kwa ana na wapiga doria mitandaoni. Yapigwaje hiyo? Au ni hawa ndugu zetu wenye ID ishirini ishirini?

    Hivi ni nyie ndugu zetu wenye ID ishirini ishirini au wale wenye zile pendwa za msimu? Au ni wale wa Ngamiani waja leo waondoka leo? Au wale waja wenye zile ID pendwa zinazo staafu staafu kila ikiwapendeza? Wako wapi kina Lisaboni, bia yenu, yumbe brown, au wale waliopotea ghafla? Au tuseme...
  14. third eye chakra

    Alie kuja na mada kuhusu uhakika wa uwepo wa gari nzima kabisa kwa bei ya million2 majibu yake yapo chini hapo

    ndugu mwanachama ulie kuja namaada yako inayo sisitiza juu yawewe kupata uhakika wa uwepo wa magari yanayo tangazwa mitandaoni kama ulivyo sema tena kwabei ya hadi m2. majibu hapo chini. 1=gari la namna hiyo halipo labda iwe nikwamaana ya banda lakufugia panya na mende au kwamaana nyingine...
  15. Surya

    Unatambua uwepo wa vita hapa Duniani (Itambue dunia)

    Kila unachokifahamu kuhusu wewe na kuhusu dunia ni taarifa kutoka kwa Wazazi, Ndugu, Pastor au Shehe, Mwalimu. Binadamu anapozaliwa huja duniani na kuwekwa kwenye Mwanga, Mwanga ni kitu muhimu sana kwa binadamu, Hakuna mmea wa ardhini ambao unaweza kukuwa vizuri bila mwanga (Light). Huwezi...
  16. Pdidy

    Uwepo wa kanisa la Mwamposa karibu na maeneo yetu..kwa kweli tunalala kwa amani, wachawi waganga wanaumwa.wengine wamehama kabisa

    Kwa kweli Nitoe shukrani kwa aliewapa kibali kanisa la calvary assemblies of god arise n shine kujenga eneo lile Kiukweli wakazi wa eneo hili kama walikuwa wanasubiria kwa hamu hizi ibada Yaan toka waanze ibada kanisa jipya kwa kweli kuna waganga wametesa wengi sana eneo la kawe Hivi...
  17. Yoda

    Nawaelewa Wapentekoste/Walokole wanapofurahia kuketi moja meza na wakuu. Free Pentecost

    Wapentekoste waliingia Tanganyika zamani sana miaka ya kati ya 1900's. Free Pentecostal Church of Tanzania (FPCT) walianza kuwepo Tanzania mwaka 1932, hata hivyo hawakuweza kupata mafanikio makubwa mpaka miaka ya mwishoni ya 1980 na mwanzoni miaka ya 1990. Walipoanza kuingia kwa nguvu katika...
  18. Genius Man

    Uchaguzi hauwezi kufanyika bila upinzani wenye nguvu na uwepo wa haki kinachoenda kufanyika ni maigizo sio uchaguzi

    Uchaguzi hauwezi kufanyika bila upinzani wenye nguvu na uwepo wa haki kinachoenda kufanyika ni maigizo sio uchaguzi. Hakuna uchaguzi bila mabadiliko bali maigizo.
  19. S

    Sababu zinazofanya nisiamini uwepo wa Mungu ni hizi

    1. Mungu anapenda kusifiwa kama Mhaya. 2. Mungu hana huruma (hukumu kwa wasiokuwa na hatia, vita sehemu nyingi za dunia, watu kufa kwa njaa na umaskini). Kuna sababu nyingi ila leo tuishie hapo.
  20. matunduizi

    Alichokifanya US Jana imeonyesha Israel ni Taifa Dhaifu na halina uwezo wa kuulinda uwepo wake

    Mwanzoni nilidhani ni uongo, nimeshangaa kumbe kweli Israel ilikuwa haina uwezo wa kulipa mitambo ya Nyuklia Fordow. Licha ya kumiliki Bunker Boosters lakini vyote vinauwezo wa kukwangua tu maandaki. Hili tukio maana yake ni nini? Israel haina uwezo wa kujilinda na hailindwi na Mungu bali US...
Back
Top Bottom