uvccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania UVCCM ni Umoja wenye Vijana wasokua na Msaada kwa Taifa , wasoweza hata kuishauri Serikali Kwa faida ya Taifa

    Wakuu mkikaa mkauchambua Huu Umoja ,kuanzia Kwa Viongozi wao, Wanachama, mitaani Kisha ingia mitandaoni,, Ama Kwa kuwasikiliza wanachongea au kusoma walichoandika, LAZIMA UKUBALIANE NAMM KUA NI UMOJA WENYE VIJANGA WAJINGA KWELIKWELI. Kinachowapa vyeo Hawa wajinga ni ULOPOKAJI WAO TU , Wee...
  2. K

    JamiiForums Tanzania UVCCM itisheni maandamano makubwa nchi nzima kupinga maazimio ya umoja wa Ulaya tuone kama MULIRO atayazuia

    Sijui kwanini mwachelewa wakati sababu zipo Waonyesheni mabeberu kuwa hatutaki kupangiwa na tuko huru Police wawasaidie kuratibu na watumieni wafanyakazi wote wa serikali kihamasisha yule asiyetoka katika maandamano hayo ashughulikiwe kwa mujibu wa Sheria
  3. Q

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi linachafuliwa na Green Guard wa CCM

    Matukio ya utekaji, mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani hasa Chadema mengi hutekelezwa na UVCCM (Green Guard) kwa mwamvuli wa jeshi la polisi. Hawa Green Guards 'WENGI' wao ni vijana wa vijiweni wahuni, wavuta bangi wasio na maadili yeyote hutumiwa na Chama cha Mapinduzi kuwaumiza...
  4. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Tetesi: JE UVCCM na Mamluki wake Kuvaa sare za CHADEMA Mei 19 2025 , kuanzisha vurugu na Fujo dhidi ya Mahakama na Mali zake ?

    Wakuu za chini chini ni kua, Maamuzi ya Hakimu ya Leo yapo well coordinated and calculated. Tarehe 19/5/2025 ,lile Genge la Wahuni wa UVCCM ,pamoja na Mamluki wao mbalimbali WAMEPANGA kuvaa nguo za Sare za CHADEMA tarehe Husika, Kisha wataanzisha Fujo nyingi sana Ndani ya Mahakama Fujo hizo...
  5. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kawaida: Tuwakate viongozi wanaotaka kuigawa CCM

    Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Ali Kawaida (MCC) amewahimiza wanachama wa CCM kudumisha umoja kuelekea Uchaguzi Mkuu na kuwakataa viongozi ambao wanawagawa na kuleta mpasuko kwa Wanachama. Kawaida ameyasema hayo Mei 03, 2025 akihutubia maelfu ya Wakazi wa Wilaya ya Kahama katika mkutano wa...
  6. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Asasi za kiraia zailalamikia CCM kauli zilizotolewa na UVCCM

    Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Wakili Onesmo Olengurumwa, ameeleza kusikitishwa na kauli zilizotolewa na baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), akisema zinadhoofisha jitihada za Asasi za Kiraia katika kuchangia maendeleo ya taifa. "Tumeona...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Songwe: CCM yatoa onyo kwa UVCCM na Mbunge wa Momba

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Songwe kimewaonya Umoja wa Vijana (UVCCM) Wilaya ya Momba pamoja na Mbunge wa Jimbo la Momba, Kondesta Sichalwe kutokana na mvutano ulioibuka kati yao hivi karibuni katika mkutano. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa UVCCM: Wapo wanasiasa wanaowatumia vijana kuharibu amani ya Taifa letu

    Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa UVCCM Taifa, Jessica Mshama, ametoa onyo na wito mzito kwa Watu wote wanaonuia kuwatumia Vijana kufanya vurugu na kuwadanganya Vijana wasitimize wajibu wao wa kikatiba au kuwavuruga hususani wakati huu wa mchakato wa uchaguzi mkuu kuwa waache mara...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mapokezi ya Mwenyekiti wa UVCCM, Mohamed Kawaida, mkoani Geita yameniacha hoi!

    Jamaani kilichonifurahisha hapo ni aina ya mapokezi yakiongozwa na usafiri pendwa kanda ya ziwa Mapokezi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mohamed Kawaida mkoani Geita.
  10. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kawaida: Nitavitaja vyama vinavyofadhili vijana kufanya vurugu

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana ya Chama Cha Mapinduzi UVCCM, Mohamed Kawaida ameeleza kuwa anazo taarifa za baadhi ya asasi za kiraia na vyama vya siasa vinavyowapeleka Vijana wa Kitanzania kwenye mafunzo nje ya nchi ili kuwaandaa kuja kuwa sababu ya machafuko na vurugu ndani ya nchi, akieleza...
  11. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 M/Kiti UVCCM Kagera: Simamieni maslahi ya vijana siyo kupiga makofi tu

    Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera, Faris Buruhani ametoa wito kwa viongozi wa vijana mkoani humo kusimama imara katika kulinda maslahi ya vijana wenzao hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, huku akiwakumbusha kwamba kazi waliyochaguliwa kuifanya ni kuwasimamia vijana ndani na nje ya...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti UVCCM Mohamed Kawaida: Vijana msitumike kuvuruga amani ya nchi tuliyonayo kuelekea uchaguzi 2025

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya Chama Cha Mapinduzi UVCCM Taifa, CDE. Mohamed Kawaida amewataka Vijana nchini kutojiusisha na kuvuruga amani ya nchi tuliyonayo katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 2025. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila...
  13. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Shamira: Ni jukumu la UVCCM kuwalinda viongozi wetu wa Chama

    NI JUKUMU LA UVCCM KUWALINDA VIONGOZI WETU WA CHAMA - SHAMIRA Mjumbe wa Baraza Kuu (UVCCM) Taifa Ndg Shamira Mshangama amesema vijana wa CCM wana jukumu la kulinda viongozi wanaotokana na Chama cha Mapinduzi kwa kuhakikisha wanaendelea kushika nafasi ambapo kama Mbunge au diwani alikuwa ni...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 VIDEO: Mbunge Kondesta Sichwale ampiga Kibao kijana wa CCM, inasemekana alichukizwa baada ya kuombwa posho

    Wakuu! Huyu ni Kondesta Sichwale, Mbuge wa Jimbo la Momba mkoa wa Songwe. Inasemekana baada ya Vijana maarufu Greengard kudai posho zao, madai yao yamepelekea Kondesta kuchukizwa na kumchapa kibao huku akitoa lugha chafu. Je, huu si unyanyasaji na udhalilisha? Usawa uko wapi?
  15. 05CUBA

    JamiiForums Tanzania Namna vijana wa CCM wanafeli ni kuunga mkono utamaduni wa zidumu fikra za mwenyekiti

    Tunapoelekea kwenye uchaguzi 2025 ni muhim ViJana wa CCM wakafaham kuwa kinacho waangusha ni kuendeleza Sana utamadudi wa ZIDUMU FIKRA za MWENYEKITI . Kuna mda serikali inafanya utumbo lakini kwasababu ya UTAMADUNI huo vijana wanashindwa hata kupendekeza mbadala muafaka juu ya Mambo...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 UVCCM Tanga: CHADEMA amueni kushiriki Uchaguzi au la, si kuchochea vurugu

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga ndugu Ramadhani Ally Omary (Somo) amewataka viongozi wa chama cha maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) kuwa na msimamo kwa wanachokitaka kama kuingia kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu au kutoingia. Mwenyekiti wa vijana amewasihi...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Iringa: Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM: Uchaguzi haufanyiki kwa matakwa ya CCM, CHADEMA ni Katiba

    Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Vijijini, Omary Chulla akizumguza katika Ziara ya kamati ya Utekelezaji ya UVCCM katika kata ya Kihorogota Tarafa ya Ismani, Wilaya ya Iringa leo, Tarehe 19 Aprili 2025. Kupata matukio na...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 UVCCM Mtwara Mjini Wachangia Chupa 18 za Damu kwa Wenye Uhitaji

    Vijana wa Chama Cha Mapinduzi CCM (UVCCM) wilaya ya Mtwara Mjini wamechangia chupa 18 za damu kwaajili ya kusaidia watu ambao wanauhitaji wa damu. Akizungumza kwa niaba ya Meneja wa damu salama Kanda ya Kusini Innocencia Charles mara baada ya kukamilika kwa zoezi hilo amesema chupa hizo 18...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 UVCCM wanatamani Tundu Lissu aachiwe ili wapambane nae kwenye kampeni za uchaguzi Mkuu 2025

    Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera Ndugu Faris Buruhani asema vijana wa chama hicho wanatamani Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu aachiwe ili wapambane nae kwenye kampeni za uchaguzi Mkuu 2025 Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread...
  20. musicarlito

    JamiiForums Tanzania Hivi UVCCM na ninyi huwa mnaswali au kusali? na ninyi huwa mnalia mbele za Mungu?

    Wasalaamu Haya madudu yanayo endelea kama ufisadi na namna zote tabaka la watu wachache wanazidi 'kujneemesha' kwa rasilimali zetu ninyi mnaona sawa? Madudu kama kuongeza majimbo kwa kuyagawanya kana kwamba wabunge waliopo wanafanya kazi kweli tuliyowatuma mnaona sawa? Hivi UVCCM na ninyi...
Back
Top Bottom