Hamjambo wote!
1. Kitabu chenye machozi ya damu, vivuli vya mizimu inayolia kuzimu kwa kukatishwa maisha. Sauti za watoto yatima na vilio vya kinamama wajane. Kurasa zilizobeba maumivu yasiyopimika. Je kitabu hicho kimewekwa pembeni?
2. Na sasa tunafungua upya kitabu kipya chenye faraja...
Wakati tukiendelea Kushuhudia Matukio ya Utekaji na Mauaji yanayoendelea nchini, Mimi binafsi nilitumia Akili yangu na kipawa KIKUBWA nilichojaaliwa cha kutizama mambo kwa UPANDE wa pili, na nikushauri JESHI LA POLISI LIKAMATE WATU KWA UTARATIBU NA MAFWELE ADHIBITIWE kwakua anavuruga Security...
Napenda kueleza hisia zangu kuhusu haya yanayoendelea nchini Tanzania, kiasi cha kuundwa rasmi team mbili kuu.
Yalianza rasmi enzi za Magufuli, kutekwa risasi, kufungwa kufilisiwa nk.
Huenda ni kweli hakuna serikali yoyote duniani isiyojitetea na kujilinda kutumia vyombo vya ulinzi(dola)...
Kwa sasa mtu anayejiona kuwa utawala huu ni sukari kwakwe ni wazi kukuchoma ili kuokoa uhai wake na familia yake.
Polisi,wenyekiti wa CCM,wabunge wa cmm,madiwani wa ccm,usalama TISS,wanajeshi wa CCM na n.k ambao ni ccm sukari ya CCM kuweni nao makini.
Naeleza ili naona magari ya vioo vyeusi...
Pichani ni EXAUD GASPERY MROSO. Ni mhitimu wa LLB Chuo Kikuu Mzumbe.
Ameripotiwa kuchukuliwa na watu wasiofahamika akiwa eneo la chuo hicho katika eneo la BOHARI (KINGALU).
Alienda Chuoni hapo kwa ajili ya kuhudhuria mahafari ya kuhitimu elimu ya Chuo kikuu yanayofanyika chuoni happ siku ya...
Majina kamili: Furaha Kibaba Michael (MD)
Ajira:Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Geita.
Kwasasa alikuwa anafanya kazi ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa Geita(RMO) kama Mratibu wa
Malaria (Regional Malaria Coordinator) .
Kutekwa kwake.
Jana 17/11/2025 majira ya jioni (saa kumi) alikuwa Geita mjini katika...
Anaandika Robert Heriel
Mtibeli.
1. Kuna haki za aina nyingi
2. Haki za kijamii, haki za kiuchumi, haki za kiutamaduni, haki za kisiasa, n.k.
3. Haki za kijamii ni pamoja na watu kupata haki za kupata elimu, huduma za afya, haki ya kwenda popote, haki ya kushiriki kwenye shughuli za kijamii...
Wakuu,
Japo wamepatikana wawili watatu ambao wanasimama na wananchi na kukemea ukatili uliofanywa.
Nimefarijika sana kuona video hii
---------------------
Mkurugenzi Mkuu wa Al- Hikma na Mwenyekiti wa Mashindano ya Qur’aan Tukufu Ulimwenguni, Sheikh Nurdin Kishk akiwa anazungumza hivi...
Yaan Matukio ya Utekaji na Mauaji yametokea mengi kabla ya Oktoba 29.
Ujifanye kuja kutoa pole za walouliwa Oktoba 29?.
Mh Polepole umemteka .
Mzee Kibao alouliwa, ukajifanya Tume ya Uchunguzi... Unadhan unaongea na watoto wako???.
Siku Zenu zimekwisha kufika, Huu Moto hauzimiki mpaka pale...
Huyu dada, very ambitious, alidhani kuwa kwa kukubali kutumiwa kwake basi pengine atapanda ranks na kuwa mtu mkubwa zaidi ya cheo alichozawadiwa. Matokeo yake akaligeuza bunge kuwa chawa wa rais, akashiriki kubariki azimio eti la kumpongeza rais utendaji wake wakati alitakiwa amsimamie huyo...
Moja ya jambo aloingizwa Mkenge Hayati Magufuli akaja kushtuka Mwishooooni kabisa akiwa amechelewa ni Masuala ya Utekaji na Watu kuokotwa Ndani ya Viroba, kutowadhibiti walojaribu Kumuua TUNDU LISSU
Binadamu ameumbwa kuumia linapokuja suala la UHAI WA MWENZAKE.
Kujenga Mabarabara, Mwendokasi...
Ukiyasikia maneno anayoyasema huyu bibi yake na Soka ambaye alimlea tangu mdogo hadi anakuwa inaumiza sana.
Soka amepotea imepita mwaka na miezi 2 ambapo alitekwa Agosti 18, 2024 familia yake haifahamu wapi amepelekwa mtoto wao. Nyie watekaji mliomteka Soka kumbukeni dunia ni duara ipo siku...
Wakuu,
Haya nimewaletea kile chote alichosema Mafwele na Muliro kwenye kipande cha audio ya dk 9 walichorekodiwa na askari wakati wakiwaonya kuhusu kujihusisha na maandamano na kuripoti watu wanaojihusisha na maandamano au wanaoelekea huko ili washughulikiwe.
Mbali na kuwakanya wamepewa na...
faustine mafwele
jumanne muliro
maandamano oktoba 2025
maandamano oktoba 29
muliro na mafwele
uchaguzi 2025
uchaguzi mkuu 2025
utekajinamauajiutekaji tanzania
watu wasiojulikana
Amirijeshi Mkuu ambae hawezi kutoka na Kukemea utekaji na Mauaji ya wananchi wake ananipa wakati mgumu sana kumpa kura yangu maana huai wa wananchi wake sio kipaumbele chake ndo maana hawezi kutoka na kukemea.
Je, huyu nikimpa kura yangu hataweza kunilinda hata nikimkosoa?
Mimi nadhani Kwa Sasa hatuna kitu kinaitwa Watu wasojulikana.
UTEKAJI na Mauaji yanayoendelea Nchini ,unsratibiwa na Genge la watu wachache lililo Ndani ya Jeshi la Polisi na likiongozwa na Mafwele na Makonda.
Hili ndo Genge lilovamia Clouds , likampiga LISSU Risasi, ndio hili genge...
Hii ndio inavyotakiwa sasa, licha mmekaa sana kimya inawezekana mmesukumwa kusema. Ila sio mbaya walau nanyi mmesema hali ilivyo nchi.
============
Ndugu,
Watanzania Wote,
Mabibi na Mabwana,
UDASA ni Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kama sehemu ya watanzania na...
Hali ilivyo Sirari usiku huu baada ya Watu wasiojulikana kumteka mtu wananchi wamekomaa wakafunga barabara dakika ya mwisho watekaji ikabidi wakimbilie kituo cha Polisi Tarime ili kujiokoa.
Muda huu Sirari tarime baada ya tukio la kutekwa kwa mmoja wa wafanyabiashara, mapambano ya polisi na...
Kaandika hivi kwenye Page yake ya Instagram 👇
"Hii ndiio Tanzania ya samia na wanaompoteza na Hawa ndo polisi .😭😭😭tutoke jaman achana na kaul sa kusema wanaowashauli hawapo Tanzania
Mbn mm nipo Tanzania ?sativa na wanaharakat wengine wapo Tanzania."
MY TAKE:
Namuunga mkono. Ukikutana na...
Hali imezidi kuwa mbaya!
Watekaji wamekuwa kama wafalume katika nchi, kufanya ukatili na kupoteza watu kila siku. Kijana mdogo kama huyu mnamteka kwa lipi hasa.
Nyie watekaji acheni ushamba!
================
Anaitwa
Jerison keraliyo.
Umri miaka 18
Mkazi wa kata ya kishili
Mtaa kishili B...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.