urusi

Urusi was a civitas and ancient episcopal see of the Roman province of Africa Proconsularis in present-day Tunisia.
The town flourished from 30BC until 640AD and has been tentatively identified with ruins at Henchir Soudga, (9.57727n 35.98709e) in Siliana Governorate. The ruins lie just outside the Jebel Serj National Park.

View More On Wikipedia.org
  1. lee Vladimir cleef

    Mgogoro wa Urusi na Ukraine, kinachoonekana sio ushabiki bali ni historia

    Kinachoonekana baina ya Pro Russia dhidi ya Pro NATO/ USA/ Ukraine sio ushabiki Bali ni historia. Histori inatuambia kulikua na Kambi tatu. 1) West ikiongizwa na USA UK na western wengine. 2) East ikiongizwa na USSR ambayo ndo Urusi East German na wengine. 3) NAM, kwa Kiswahili nchi...
  2. Gama

    Urusi: Wasiopenda uvamizi wa Ukraine hawapendwi

    Tangu uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukrain uanze kumekuwepo baadhi ya watu ambao wamekuwa wakionja madhira ya kujitanabaisha kutofurahishwa na uvamizi huo. Wale wanaodhibitika kufanya hivyo wamekuwa wakipata taaabu mbalimbali ikiwemo kuripotiwa kwa polisi na kisha kuhojiwa. Hakuna mtu aliyehukumiwa...
  3. Narumu newz

    Urusi ingejifunza yaliyomkuta Marekani, yote haya yasingetokea

    Marekani ikiwa chini ya utawala wa bushi ilipanga kuzipindua serikali 3 kwa wakati mfupi ,huku ikijiamini na silaha nyingi , washirika wengi, akajua kabisa angeipiga Iran, Iraq, na North Korea kwa wakati mmoja, kilichomkuta aliishia kumpiga Iraq tena kwa tabu sana akiwa na washirika wake wengi...
  4. M

    Mabeberu wameshaanza kupigana vikumbo wakipigania fursa ya kuijenga upya Ukraine baada ya vita: Wanajua pesa ipo-ile iliyozuiwa ya Urusi na Warusi!

    Mabeberu hawana kabisa mshipa wa aibu hata kidogo!! Wakati ikraine inaambulia kipigo kikali toka kwa urusi na watu wengi wanauawa, mawazo ya mabeberu sasa hivi ni kupigania fursa ya kuijenga upya ukraine baada ya vita. Hao ndio mabeberu!! Poland iliyokuwa inajitia kimbelembele imeanza kulalamika...
  5. Gama

    Uturuki imezuia meli ya Urusi iliyobeba ngano

    Nimeona taarifa hii ya kushangaza kwakuwa niliamini kuwa Uturuki yuko upande Urusi lakini leo hii Serikali ya Uturuki imezuia meli iliyosheheni ngano, yasemekena ngano hiyo iliibiwa Ukraine. Meli hiyo imezuiwa kwa ombi la Ukraine. Najiuliza: Putin hataanza kuirushia makombora Turkey...
  6. beth

    Ukraine: Vikosi vya Urusi vyadhibiti eneo la Lysychansk

    Jeshi limethibitisha kuondoka katika Mji wa Mashariki wa Lysychansk unaoripotiwa kuwa mikononi mwa Wanajeshi wa Urusi. Rais Volodymyr Zelensky amesema Vikosi vya Ukraine vitarejea, na silaha za masafa marefu zitawawezesha kudhibiti eneo hilo Awali, Waziri wa Ulinzi wa Urusi, Sergei Shoigu...
  7. MK254

    Milipuko yarindima ndani ya mji wa Urusi

    Majengo yalipuka huku milipuko ikiendelea.... ====== Russia has accused Ukraine over explosions which reportedly killed three people in the city of Belgorod, near the border with Ukraine. The regional governor said the blasts hit dozens of residential buildings and air defences had been...
  8. Gama

    Mji wa Bolgorod wa Urusi washambuliwa kwa milipuko

    Mji wa Bolgorod uliopo Km 40 kutoka mpaka wa urusi na Ukraine umapatwa na milipuko uliosababisha nyumba kadhaa kuharibiwa na watu kadhaa kupoyteza maisha. Kiongozi mmoja wa Urusi ameapa kuwa ukraine itawajibishwa kwa tukio hili FUATILIA HAPA Explosions Hit Russia's Belgorod as Governor Says...
  9. 5

    Jeshi la Ukraine lakomboa Snake Island kwa kulishambulia vikali jeshi la Urusi na kukichu tena kisiwa hicho

    Ukrainian forces have pushed Russian forces from Snake Island, a strategic Black Sea island off the southern coast near the city of Odesa. Russia portrayed the pullout from Snake Island off the port city of Odesa as a “goodwill gesture”. Ukraine’s military said the Russians fled the island in...
  10. beth

    Putin: Urusi itajibu miundombinu ya NATO ikipelekwa Finland na Sweden

    Rais Vladimir Putin amesema Urusi itajibu ikiwa NATO itapeleka Vikosi na Miundombinu katika Mataifa ya Sweden na Finland baada ya kujiunga na Muungano huo Ameeleza, Nchi yake haina shida kama Sweden na Finland zinataka kujiunga NATO, Mataifa hayo lazima yaelewe kwamba hakukuwa na tishio awali...
  11. EINSTEIN112

    Kumbe Urusi ililenga silaha za NATO zilizohifadhiwa karibu na makazi ya watu? Nani alaumiwe hapa

    Kikosi cha Wanaanga cha Urusi kilianzisha shambulizi la anga la "usahihi wa hali ya juu" dhidi ya hifadhi za ndege za Ukraine zilizokuwa na silaha na risasi katika eneo la kati la Poltava siku ya Jumatatu, Wizara ya Ulinzi ya Urusi ilisema jana (Jumanne). Kwa mujibu wa Wizara ya Ulinzi ya...
  12. Gama

    Wanajeshi 25,000 wa Urusi wapoteza maisha Ukraine

    25,000 of Vladimir Putin’s troops have been killed in Ukraine, says UK Defence Secretary Beb Wallace ambaye ni Waziri wa Ulinzi wa Uingeleza amrsema kuwa wanajeshi 25,000 wa Urusi wamepoteza maisha wakati wakipigana nchini Ukraine, amehitimisha pia kuwa Ukraine ni mshindi katika vita hii...
  13. JanguKamaJangu

    Kombora la Urusi latua sehemu ya maduka makubwa Ukraine

    Kombora la Urusi limelipua sehemu yenye maduka makubwa katika Mji wa Kremenchuk Nchini Ukraine na kusababisha vifo vya tu kadhaa na uharibifu wa majengo. Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema kulikuwa na watu 1,000 kabla ya taarifa za kombora hilo, wengi walitoka lakini baadhi...
  14. MK254

    Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 100 Urusi imeshindwa kulipa madeni

    Anguko la Urusi liko pale, hali inaendelea kuwa ngumu ikizingatiwa mpaka sana imeshindwa kufunika kainchi kadogo hapo jirani yake na imeingia hasara kubwa sana ambayo jeshi lolote hapa Afrika likiingia hasara kama hiyo linafutika kabisa. ======================== Russia was set to fall into its...
  15. EINSTEIN112

    Hatma ya Ukraine itakuwa mikononi mwa Urusi

    Na Masudi Rugombana June 27, 2022. Goba, Dar es salaam. Tarehe 21 February 2022 Rais Vladmir Putin wa Urusi alitangaza kutambua uhuru wa eneo la Donbass, Jimbo la Mashariki ya Ukraine linaloundwa na mikoa miwili ya Luhansky na Donetsky, mikoa inayokaliwa na idadi kubwa ya Raia wenye asili ya...
  16. Gama

    Mkuu wa Majeshi wa Uingerleza ameyataka Majeshi yake kujiandaa kuingia vitani ndani kwenye ardhi ya Urusi

    Mkuu mpya wa majeshi ya Uingeleza ameyataka majeshi yake kujiandaa kuingia vitani katika ardhi ya Urusi Ametoa ujumbe huo tarehe 16 Juni kwa wanajeshi wa vyeo na ngazi zote na kusema uvamizi wa Urusi kwa Ukrain unaashiria kuwa "kunahaja ya kuilinda UK na kuwa tayari kupigana na kushinda vita...
  17. Analogia Malenga

    EU yaizuia Afrika kununua mbolea Urusi, lakini pia wamezuiwa kutengeneza mbolea

    Vita vya Urusi na Ukraine vimeleta matokeo mabaya kwa nchi za Afrika ambazo zina-import bidhaa kutoka nchi hizo. Na sasa baadhi ya nchi tayari zimeshakumbwa na njaa huku kilimo kikiwa kinachechemea. Baraza la Umoja wa Ulaya limependekeza kuzuia Afrika kununua mbolea kutoka Urusi ikiwa ni moja...
  18. JanguKamaJangu

    Rais Putin kufanya ziara ya nje ya Urusi kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa vita

    Rais wa Urusi, Vladimir Putin anatarajiwa kufanya ziara katika nchi mbili ndogo za wiki hii, hiyo inatarajiwa kuwa ziara ya kwanza ya kiongozi huyo tangu kuibuka kwa vita ya Urusi dhidi ya Ukraine, Februari 24, 2022. Ziara hiyo inatarajiwa kuwa katika mataifa ya Tajikistan na Turkmenistan kisha...
  19. JanguKamaJangu

    Urusi kupeleka mfumo unaofyatua makombora ya nyuklia Belarus

    Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameahidi kuisaidia Belarus kwa kuwapelekea mifumo ya Iskander-M inayoweza kufyatua makombora ya nyuklia Putin ameweka msimamo huo baada ya kukutana na Rais wa Belarus ambaye amekuwepo madarakani kwa miaka 27, Alexander Lukashenko Jijini Saint Petersburg. Aidha...
  20. M

    Mabeberu wanaitosa Ukraine mdogo mdogo baada ya kuona kina ni kirefu na vikwazo havijaizuia Urusi kuendeleza vita wala havijateteresha uchumi wake!

    Tumwombe Mungu vita hii ikome kwa maana mfaidika wa vita hii ni mmoja tu naye anaitwa shetani. Biblia imeweka wazi lengo la shetani ni KUCHINJA. KUUA na KUHARIBU na ndicho kinachofanyika kwenye hii vita. Na shetani anawatumia wote wanaohusika na vita hii ili kutekeleza agenda yake ambao ni...
Back
Top Bottom