urusi

Urusi was a civitas and ancient episcopal see of the Roman province of Africa Proconsularis in present-day Tunisia.
The town flourished from 30BC until 640AD and has been tentatively identified with ruins at Henchir Soudga, (9.57727n 35.98709e) in Siliana Governorate. The ruins lie just outside the Jebel Serj National Park.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    JamiiForums Tanzania CUF wameionya Urusi ikome kuwatumia Watanzania kwenye Vikosi vyake Vitani

    Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF limeitaka Urusi kukoma mara Moja kuwatumia Watanzania kwenye Vikosi vyake Vitani CUF wamesema jambo hilo halikubaliki kabisa Chanzo: Mwanzo tv
  2. MK254

    JamiiForums Tanzania Urusi yaanza kulialia kuhusu vifaru anavyopewa Ukraine

    Yalalamika vikali kwanini Ukraine inapewa madubwana ya kuipiga Urusi. ========= Russia said on Thursday it saw the promised delivery of Western tanks to Ukraine as evidence of direct and growing U.S. and European involvement in the conflict. The Kremlin was reacting for the first time to...
  3. MK254

    JamiiForums Tanzania Urusi kushtakiwa kwa kulipua ndege ya abiria ya Malaysia na kuua abiria 298 mwaka wa 2014

    Mdhulumaji Mrusi anasakamwa kote kote.... ===== The European Court of Human Rights has ruled that complaints against Russia from Ukraine and the Netherlands should go to trial. They pertain to the 2014 downing of commercial airline Flight MH17, among other things. The European Court of Human...
  4. MK254

    JamiiForums Tanzania Bangladesh yapiga pini meli za Urusi; Urusi inaendelea kutengwa na dunia

    Urusi walijaribu kuingiza meli ya mizigo Bangladeshi ikazuiwa, kwa kweli hadi huruma, Putin kiburi chake kinaiponza nchi. Tatizo Warusi watu wa ujamaa, wamezoea kupelekeshwa kama kondoo, hawana namna ya kumkatalia...atawatesa sana. ============= Jan. 22 -- Foreign Minister Dr AK Abdul Momen...
  5. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uingereza yaonya mpango wa Wadukuzi wa Iran na Urusi kuwadukua Waandishi wa Habari, Wanasiasa

    Kituo cha Mtandao cha Kitaifa cha Uingereza (NCSC) kimetoa angalizo kwa watu wa tasnia hizo kufanyiwa udukuzi wa kijasusi kwa lengo la kukusanya taarifa mbalimbali Imeelezwa wadukuaji wanawalenga watu ambao wanafanya utafiti na wanafanyia kazi kwa ukaribu na Mataifa ya Iran na Russia. NCSC...
  6. MK254

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi 900 wa Urusi wameuawa ndani ya masaa 24

    Mizoga ya Warusi inaendelea kutapakaa Ukraine. ========= The General Staff of the Ukrainian Army has indicated that 910 Russian servicemen have been killed during the last 24 hours and added that so far the clashes have resulted in more than 123,000 Russian soldiers "liquidated". He also...
  7. Kibosho1

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI: Kifaru cha Leopard 2 ni hatari kwa Urusi

    Kwa mujibu wa BBC Kwakweli ndio maana Urusi inapaswa kukubali tu yaishe kama Poland itapeleka Leopard 2 Uingereza itapeleka Chalenger Us ikapeleka Abram,T90 ya Urusi haitakuwa na kazi tena Souce: BBC News Swahili
  8. B

    JamiiForums Tanzania Mtanzania kufia Ukraine Tanzania iidai Urusi fidia

    Mtanzania mwenzetu kafia Ukraine kwa niaba ya Russia. Kulikoni Serikali ya Urusi ikamfikisha Mtanzania mwenzetu huko vitani ndani ya kombati zake? Wako wapi wanasheria wetu? Haipo fursa ya maana hapa dhidi ya Putin?
  9. Anna Nkya

    JamiiForums Tanzania Mtanzania aliyeuawa vitani Urusi; kifo cha kishujaa?

    Nemes Tarimo alienda Urusi kusoma mnamo mwaka 2020. Akiwa huko Urusi, mwezi Machi 2022 alikamatwa kwa uhalifu akahukumiwa miaka 7 jela. Warusi wakatoa ofa kwa wafungwa kwamba ukienda vitani, baada ya vita utapewa fedha nyingi na utapata uhuru. Nemes Tarimo akajiunga na kundi la Wagner Group...
  10. MK254

    JamiiForums Tanzania Takriban vijana 700,000 wameikimbia Urusi hawataki kupelekwa kwenye vita

    Putin anaendelea kuachiwa apambane na hali yake, wanaume, wengi wao wakiwa vijana barubaru wameikimbia nchi..... Maana hawaoni tija ya kuburuzwa kwenda kupigana na jirani ambaye hana uadui na wewe.... Young Russians refusing to fight in Ukraine have been fleeing to Istanbul since Moscow...
  11. MK254

    JamiiForums Tanzania Urusi imeishiwa wanajeshi hadi inarejesha vitani waliojeruhiwa na kupewa likizo

    Jameni Warusi wanapitia mateso sana, mtu amejeruhiwa amepasuka pasuka analazimishwa arudi vitani akapigane na kufia huko, hii aibu itaisha lini maana kama inazidi kuwa mbovu..... Severely injured Russian soldiers are being returned to the frontline in Ukraine without the approval of military...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Safari ya kuusafirisha mwili wa Mtanzania Nemes Tarimo kutoka Urusi hadi Tanzania inaanza 24 Januari, 2023

    Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Familia ya Mtanzania Nemes Raymond Tarimo (34) ambaye alifariki wakati akipigana upande wa Jeshi binafsi la Urusi la Wagner Group dhidi ya Ukraine, zinaeleza kuwa safari ya kuurejesha mwili wake Nchini Tanzania inatarajiwa kuanza kesho Jumanne Januari 24, 2023...
  13. Last Seen

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa Marekani wahoji utata wa kifo cha kijana wa Ki-Tanzania nchini Urusi

    Ubalozi wa Marekani kupitia taarifa waliyoweka kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram, Wamehoji juu ya utata wa kifo cha kijana wa raia wa Tqnzania aliyefariki akipigana vita Urusi. Ubalozi huo umehoji pia kama Urusi inawalazimisha wafungwa wenye asili ya Afrika kupigana vita yake na Ukraine.
  14. MK254

    JamiiForums Tanzania Urusi waanza kutafuta msaada wa wapiganaji kutokea Serbia

    Supapawa bado anatapa tapa akitafuta wapiganaji wamsaidie kuondoa hii aibu alianzisha pale Ukraine... ARussian news video claiming to show Serbian "volunteers" training to fight alongside Russian troops in Ukraine has prompted outrage in Serbia, exposing its complex relationship with Moscow...
  15. MK254

    JamiiForums Tanzania Mtanzania Tarimo Nemes Raymond, afariki akiwapigania Wagner wa Urusi, kule Ukraine

    Jameni Urusi watatumalizia vijana wa Afrika walioko huko, wameishiwa wanajeshi sasa wanalazimisha watu kwenda kupigana na kufia huko... Ukraine wanafyeka hawajali nani wala nani. Federal news agency The funeral of Tarimo Nemes Raymond, a citizen of Tanzania, who fought near Bakhmut as part of...
  16. Upepo wa Pesa

    JamiiForums Tanzania Urusi yaendelea kushambulia anga la Ukraine! Je, Patriot waliyopewa ni mbovu?

    Kwa siku hizi mbili Urusi imeendelea kushambulia anga la Kyiv bila shida yeyote! Lakini je ule mfumo wa kulinda anga walio pewa Ukraine na USA ni mbovu? Link: Russian missiles hit critical infrastructure in Ukraine’s capital
  17. MK254

    JamiiForums Tanzania Huyu jenerali wa Urusi tuliyeaminishwa ndiye suluhu, haya kashushwa madaraka

    Nakumbuka humu JF hakukukalika, tuliambiwa huyu ndiye pasua kichwa, ndiye mwenye misifa yote ya kulipua mabomu hata uraiani, maana ameua watu wa Syria sana kule, akategemewa kuwaua raia wa Ukraine, na kweli kaanzisha kampeni kali ya kupelekea mizinga uraiani, akasifiwa sana humu...... Hatimaye...
  18. MK254

    JamiiForums Tanzania Wagner na jeshi la Urusi waanza kugombania sifa

    Kila upande unasema unapambana wenyewe bila usaidizi. Russia's defence ministry says its forces are taking part in the battle for Soledar, a town north of Bakhmut in east Ukraine which has been the focus of recent fighting. It comes after the head of Russia's notoriously brutal Wagner...
  19. M

    JamiiForums Tanzania China haina uwezo wa kustahimili vikwazo vya kiuchumi kama Urusi ilivyoweza kustahimili, ndio maana haina ubavu wa kuivamia Taiwan.

    Nchi za magharibi hazijaamini hadi sasa kuwa Urusi imeweza kuhimili vikwazo lukuki vya kiuchumi, kinyume chake nchi za magharibi hususan ulaya magharibi ndizo zilizoumia zaidi. Ilitegemewa kuwa urusi itashindwa kuhimili na hivyo kushindwa kuendesha vita vyake dhidi ya ukraine. Kwa upande...
  20. MK254

    JamiiForums Tanzania Kituo cha usaili jeshini chatiwa kiberiti Urusi

    Camera za CCTV zilimnasa jamaa akiruka ukuta na kwenda kufanya yake.... A military building in Bratsk, Russia, was set on fire overnight. The building was reported to go up in flames at about 2am local time. No injuries were reported but two employees were inside. The fire was reportedly...
Back
Top Bottom