A university (from Latin universitas 'a whole') is an institution of higher (or tertiary) education and research which awards academic degrees in several academic disciplines. University is derived from the Latin phrase universitas magistrorum et scholarium, which roughly means "community of teachers and scholars". Universities typically offer both undergraduate and postgraduate programs.
The first universities in Europe were established by Catholic Church monks. The University of Bologna (Università di Bologna), Italy, which was founded in 1088, is the first university in the sense of:
being a high degree-awarding institute.
using the word universitas (which was coined at its foundation).
having independence from the ecclesiastic schools and issuing secular as well as non-secular degrees (with teaching conducted by both clergy and non-clergy): grammar, rhetoric, logic, theology, canon law, notarial law.
Niko hapa nimechanganykiwa kwanini hiki chuo hawataki kutuwekea matokeo yetu. Utaratibu ni kwamba matokeo yalitakiwa kuwa yamewekwa tokea mwezi wa 4 mwanzoni, ila mpaka sasa hatujui kwanini yamechelewa kutoka.
Na cha kushangashaza ratiba ya kufanya mitihani imetoka mapema kabla ya mitihani...
Wasalaam.Mimi kama mdau wa Elimu najiuliza na nina kiu kujua kwamba ni chuo kipi bora hapo.
Najua vipo vyuo vikuu bora vingi katika nchi hizi na barani Africa
Ila kwa leo tuangalie ubora wa Taaluma na wataalamu wanaopikwa katika vyuo hivi vya Nairobi na Dar es Salaam.
Pia tutaangalia...
TUNDU AENDE KIZIMKAZI UNIVERSITY AU APEWE NAMBA ZA COY MZUNGU.
NA MWALIMU TUMAINI MASHINGO.
Anapaswa kurudi tena darasani kusoma nini maana ya siasa kabla ya kile Chama Cha Ufipa kumfia, anapaswa kukutana na Samia kama atatia nia, maana ile siasa yake na siasa ya Chama chao ni CCM level ya...
Haiwezekani sisi wengine vitu vinakuwa vigumu kufanyika kwetu. Ishu ya mitihani kupotea ni jambo la kawaida sana pale chuoni, ishu ya kusahihishwa mitihani kwa muda mrefu hata miezi miwili japokuwa wanafunzi ni wachache pale ila ni kawaida sana, research kucheleshwa bila ya sababu ya msingi...
Anonymous
Thread
open
open universityuniversity
waajiriwa
wanasiasa
Habari wana Jamvi
Huyu ndugu yangu aliomba mafasi ya kazi WESTERN GOVERN UNIVERSITY
anasema nafasi zilikuwa Arusha .
Lkn cha kushangaza alitumiwa mail atume vyetu,kitambulisho
Na video short inayomtambulisha yeye ni nani
And baada ya hapo akambiwa amepta kazi na mkataba akatumiwa
Hoja ni...
Ndugu zangu niwashikishe kinachoendelea kwa sasa Nchini Uganda.
Hon Tundu Lissu kwa sasa yuko Nchini Uganda akihutumia watu wa Nchi Mbali mbali ktk Chuo Kikuu Kikubwa Afrika Mashariki cha Makerere.
Tundu Lissu ana zungumza na Wasomi Mbali mbali Wakiwemo Wanasheria Nguli Afrika na Duniani. Wapo...
Habari wapendwa…
Hivi juzi apo niliona tangazo la kazi kutoka Western Governors University (ni chuo cha online originated huko Marekani), nikafanya interview ( phone interview) na siku chache mbeleni wakaniambia hongera kwa interview na wakanitaka nikusanye taarifa zangu za kibenki kwaajili ya...
Habari za muda huu
Sisi kama wanafunzi wa digrii tuliomaliza chuo mwaka Jana 2024 katika chuo kikuu TEOFILO KISANJI tunamalalamiko juu ya kile uongozi wa chuo unavotufanyia watahiniwa wake kuhusu vyeti vyetu ambapo Hadi Leo tarehe 29/1/2025 hawajatupa vyeti vyeti na hawajatoa au kutupa taarifa...
Nchi hii ina miujiza mingi sana
Nimeona shule moja ina watoto almost wote wamepata Division One Point 7
Mtoto anayepata distinction, straight 7 As, au kwa lugha nyingine mtoto ambaye ni A material, hapaswi kuachwa kwenye darasa ambalo analiweza.
Anapaswa apelekwe kwenye darasa ambalo litampa...
Hivi ndivyo university students wengi wa kike wanavyoishi maisha yao siku hizi, wengi wanaishi maisha yasiyoendana na hali za kiuchumi za makwao.
Na wengi wanaingia kwenye maisha ya namna hii kwa kupenda mserereko wa maisha mazuri bila kupitia clean process.
Assalam alaykum jamiah .
naam, leo nimekuja kuwananga ndugu zangu waislamu (Wahadhiri) wa Chuo Kikuu Cha Waislamu Morogoro pamoja na walimu wa shule za msingi na sekondari za kiislamu, hususan zinazojiita seminari.
Katika uzi huu nitaangazia nukta moja tu kwa vile ninazo nukta kadhaa za kusema...
Hii changamoto imetokea tangu mwaka 2022 ikatulazimu tuendelee kusubiri maana bado tulikuwa tunasoma , hivyo hela iliyokuwa imezidi ikawa inatumika kwa michango mingine kama direct cost na tuition fees hii haikupelekea hiyo hela iliyozidi kutokana na uongezewaji wa Ada kipindi ambacho Sisi...
Anonymous
Thread
chuo
fedha
katika
mbeya
mbeya university
must
science
science and technology
technology
university
Kampala International University in Tanzania (KIUT) is a fully registered private university located in Dar es Salaam, just 6.3 kilometers from Julius Nyerere International Airport. KIUT is committed to providing a high-quality education and is now looking to expand its team. They invite...
Habari wakubwa bila shaka mpo salama, nawahitaji wote mliosomo hiyo kozi au mnaendelea na masomo kozi hiyo hapo juu. Naomba uzoefu wenu katika hiyo kozi kuanzia uzuri wa kozi yenyewe katika nyaja zifuatazo:
1. Kwa maendeleo ya mtu binafsi yaa baadae kuanzia ajira na hata kujiajiri.
2...
Mbeya University of Science and Technology (MUST) is seeking qualified candidates for various academic positions. Below are the available job postings:
Post: Assistant Lecturer – Health Informatics – 1 Post
Employer: Mbeya University of Science and Technology (MUST)
More Details
Application...
Je inawezekana kwa mwanafunzi wa chuo anayesoma akawa anajitolea kufanya kazi kwenye kampuni au taasisi nje na chuo anachosoma
Nini maoni yako na utaratibu wake ukoje, na ushuhuda kutoka kwa watu waliowahi kufanya hivyo kipindi wapo chuo.
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.