A university (from Latin universitas 'a whole') is an institution of higher (or tertiary) education and research which awards academic degrees in several academic disciplines. University is derived from the Latin phrase universitas magistrorum et scholarium, which roughly means "community of teachers and scholars". Universities typically offer both undergraduate and postgraduate programs.
The first universities in Europe were established by Catholic Church monks. The University of Bologna (Università di Bologna), Italy, which was founded in 1088, is the first university in the sense of:
being a high degree-awarding institute.
using the word universitas (which was coined at its foundation).
having independence from the ecclesiastic schools and issuing secular as well as non-secular degrees (with teaching conducted by both clergy and non-clergy): grammar, rhetoric, logic, theology, canon law, notarial law.
Kwa wale mlio na mapesa benki, na ambao mna vijana wanaotarajia kujiunga vyuoni, nawashauri muwapeleke Daystar University. Kauli mbiu yake ni "The University with a difference."
Kwanini chuo hicho kina kaulimbiu hiyo? Daystar University ni chuo kikuu kinachojumuisha maadili ya Kikristo katika...
Wakuu mm ni mgeni humu Jamii Forums na hii ndo thread yangu ya kwanza kuandika.
Nina shida moja, mm ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka huu na nimesoma PCM nimepata Division II ya 10
Physics D
Chemistry C
Mathematics C
Sasa ndoto yangu ni kusoma Mechanical Engineering na hii ndo iko moyoni...
Habari za asubuhi wana JF,
Niende moja kwa moja kwenye jambo langu. Siku kadhaa zilizopita nilijisajili na mfumo wa kuomba kozi mojawapo pale chuo kikuu huria. Nilikamilisha taratibu zote na baada ya hapo nikapewa password ili nikamilishe taratibu za maombi.
Nilipotoka kwenye mfumo na kujaribu...
Vacancy Announcement
KCMC University is seeking qualified candidates to fill the following vacant position within the Vice Chancellor’s Office.
Position: Senior Office Management Assistant Grade L-1
Educational Qualifications
A holder of Diploma in Secretarial Studies whereas bachelor’s degree...
Habarini, nahitaji kuomba MasterCard foundation scholarship katika chuo cha western cape kilichopo south Africa, kama kuna mtu anakifahamu hicho naomba anisaidie kunipa experience kidogo.
MODE OF APPLICATION
Application letters accompanied by a detailed Curriculum Vitae (CV) with a passport size
photograph and signed by the applicant; and copies of relevant certificates and transcripts should
reach the undersigned electronically through the Recruitment Portal, not later than two...
Moshi Co-operative University (MoCU) ni chuo kikuu cha umma kilichopo mjini Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania. Chuo hiki kinajikita katika kutoa elimu, mafunzo, utafiti, na huduma za ushauri katika nyanja za ushirika, biashara, na maendeleo ya jamii.
Mahali na Historia
Mahali: Chuo...
Wakuu, natamani kujiendeleza kimasomo, nimeona chuo Rwanda kimenifaa( UNIVERSITY OF RWANDA) Hasa kwa ada Ila kwa huko mda unaongezeka toka miaka mitatu huku kule ni minne, swali TCU watakikubali baada ya kurudi?
Mambo ntakayoyafanya nikìwa Rais wa Tanzania kwa Kuboresha mazingira ya vyuo na kua ya kisaaa kama ifuatayo
Kuhakikisha ndani ya campus za vyuo vya serikali barabara zote zinapigwa lami
Kuhakikisha ndani ya campus za vyuo vya serikali kunapigwa pavement hapawi na vumbi
Vyoo vinatoa maji 24/7...
Lindi kuchele. Mambo yameanza kuongezeka Kilimanjaro kaeni kwa kutulia tunakuja kwa Kasi ya mwanga.
Kozi zitakazotolewa,
Undergraduate
1. Bsc Aquatic Science,
2. BA African Medicine,
3. BA Islamic Banking,
4. BA Sharia,
5. BA Econometrics,
6. BSc. Aeronautical Engineering,
Postgraduate
PhD in...
Kuna mdau yoyote anayekifahamu hiki chuo? kinaitwa University of the people.
Nataka nijiunge kwa ajili ya kuongeza degree.
Chuo kinafundisha Online tu.
Tuition ni free ila unalipa admission fees na gharama zengine ndogo ndogo tu.
Website yake ni www.uopeople.edu
Online University...
Taarifa ni kuwa kuna bweni la Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (Mbeya University of Science and Technology) linaungua kwa moto leo Mei 20, 2025.
UPDATES... ( Taarifa ya Mtandao wa Mustso_updates)
Moto mkubwa ulizuka katika Hostel za Wasichana 8C lakini umekwisha kudhibitiwa, mpaka...
Kuna kero kubwa hapa chuoni kwetu Marian University College (MARUCO) kilichopo Bagamoyo Mkoani Pwani, mazingira hayaridhishi hasa wakati wa kila kipindi cha mvua, maji yanajaa eneo kubwa hivyo kupelekea Wanachuo kukanyaga maji machafu.
Jambo baya zaidi kiafya maji hayo mengi yanakuwa...
Habari, naomba kuelezwa kuhusu ubora wa chuo cha Jordan kwenye kozi ya computer science. Je wapo vizuri kwenye practical na theory? Wana maxingira mazuri ya kujifunzia yaani Lab za computer za kisasa zitakazomfanya mwanafunzi kujifunza vizuri? Napenda nijiunge hapo ila nijiridhishe kwanza na...
Niko hapa nimechanganykiwa kwanini hiki chuo hawataki kutuwekea matokeo yetu. Utaratibu ni kwamba matokeo yalitakiwa kuwa yamewekwa tokea mwezi wa 4 mwanzoni, ila mpaka sasa hatujui kwanini yamechelewa kutoka.
Na cha kushangashaza ratiba ya kufanya mitihani imetoka mapema kabla ya mitihani...
Wasalaam.Mimi kama mdau wa Elimu najiuliza na nina kiu kujua kwamba ni chuo kipi bora hapo.
Najua vipo vyuo vikuu bora vingi katika nchi hizi na barani Africa
Ila kwa leo tuangalie ubora wa Taaluma na wataalamu wanaopikwa katika vyuo hivi vya Nairobi na Dar es Salaam.
Pia tutaangalia...
TUNDU AENDE KIZIMKAZI UNIVERSITY AU APEWE NAMBA ZA COY MZUNGU.
NA MWALIMU TUMAINI MASHINGO.
Anapaswa kurudi tena darasani kusoma nini maana ya siasa kabla ya kile Chama Cha Ufipa kumfia, anapaswa kukutana na Samia kama atatia nia, maana ile siasa yake na siasa ya Chama chao ni CCM level ya...
Haiwezekani sisi wengine vitu vinakuwa vigumu kufanyika kwetu. Ishu ya mitihani kupotea ni jambo la kawaida sana pale chuoni, ishu ya kusahihishwa mitihani kwa muda mrefu hata miezi miwili japokuwa wanafunzi ni wachache pale ila ni kawaida sana, research kucheleshwa bila ya sababu ya msingi...
Anonymous
Thread
open
open universityuniversity
waajiriwa
wanasiasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.