Siasa ni ujinga ulio kubuhu.
Ujinga wa siasa ulifanya na umefanya
-Ukraine na Russia kugombana hawa ni ndugu wa damu kwa kiasi kikubwa
- Korea kugawanyika na kuzalisha kusini na kaskazini na kugeuka maadui wakati ni ndugu wa damu
- Israel na Palestine ndugu wa karibu wakigombana kwa sababu...