Habari ya kwako Mdau,
Kwa siku nyingi sasa kumekuwa na changamoto ya barabara hasa katika maeneo ya mikoani ambapo barabara nyingi za lami zimekuwa zikifumuliwa mara kwa mara. Yaani kila baada ya miezi kwa kuharibika mapema kwa sababu zimejengwa chini ya kiwango cha lami.
Hii imekuwa kero kubwa...