Mbunge wa Kinondoni, lini tunaanza kuona miradi ya ujenzi wa barabara za mitaani Kigogo?

SAUTI YAKO

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
2,920
1,997
Mara ya mwisho kukuona ilikuwa kwenye kampeni, sababu kubwa ya uzi huu ni kutaka kujua sisi wakazi wa Kigogo lini tutaanza kuona miradi ya barabara za mitaani maana mitaa mingi jijini Dar ujenzi wa barabara za mitaani zinaendelea tena huku zikinakishiwa na mataa pembezoni, wote tumo ndani ya Jimbo la Kinondoni lakini barabara hizi ziko tu huko huko Kinondoni.

Kigogo ya sasa itapata thamani zaidi kama mtaipa nayo hizi barabara, tena tuna barabara ya kuchepuka ya muhimu inayopitia kule Kigogo sekondari unakuja kutokea hapa Kigogo njia panda lakini nani anayetukumbuka sisi watu wa huku!

Awamu iliyopita walau ilituletea hospitali.

Tafadhali Mheshimiwa ndani ya awamu yako tupambanie tupate hizi barabara.

Nakutakia vikao vyema huko Dodoma.
 
Hakuna Mbunge hapo.
Mkuu ni mapema sana kuanza kumuhukumu mbona tunachotakiwa watu wa Kigogo na wakazi wote hasa Wenye magari kutokea tabata wanaokatizia njia ya Kigogo kupitia maeneo yale ya kule gereji tabata dampo umuhimu wa barabara hizi za Kigogo maana utakuta hata wakati wa mafuriko barabara ya kawawa ikiwa imejaa maji hadi magari yanaelekea gongolamboto ukatiza huku.

Pia CCM ina wajibu wa kulipa fadhila huku maana huku Kigogo wao upata kura nyingi sana, mi nadhani Kama wasaidizi wake au yeye anapita humu wajue watu wa Kigogo sio watu wa miaka ile walokuwa wakija kujibebea kura na kuondoka tu tunahitaji miradi iletwe pia huku.
 
Mkuu ni mapema sana kuanza kumuhukumu mbona tunachotakiwa watu wa Kigogo na wakazi wote hasa Wenye magari kutokea tabata wanaokatizia njia ya Kigogo kupitia maeneo yale ya kule gereji tabata dampo umuhimu wa barabara hizi za Kigogo maana utakuta hata wakati wa mafuriko barabara ya kawawa ikiwa imejaa maji hadi magari yanaelekea gongolamboto ukatiza huku.

Pia CCM ina wajibu wa kulipa fadhila huku maana huku Kigogo wao upata kura nyingi sana, mi nadhani Kama wasaidizi wake au yeye anapita humu wajue watu wa Kigogo sio watu wa miaka ile walokuwa wakija kujibebea kura na kuondoka tu tunahitaji miradi iletwe pia huku.
Huna unachokijua juu yake nyamaza tu.
 
Mara ya mwisho kukuona ilikuwa kwenye kampeni, sababu kubwa ya uzi huu ni kutaka kujua sisi wakazi wa Kigogo lini tutaanza kuona miradi ya barabara za mitaani maana mitaa mingi jijini Dar ujenzi wa barabara za mitaani zinaendelea tena huku zikinakishiwa na mataa pembezoni, wote tumo ndani ya Jimbo la Kinondoni lakini barabara hizi ziko tu huko huko Kinondoni.

Kigogo ya sasa itapata thamani zaidi kama mtaipa nayo hizi barabara, tena tuna barabara ya kuchepuka ya muhimu inayopitia kule Kigogo sekondari unakuja kutokea hapa Kigogo njia panda lakini nani anayetukumbuka sisi watu wa huku!

Awamu iliyopita walau ilituletea hospitali.

Tafadhali Mheshimiwa ndani ya awamu yako tupambanie tupate hizi barabara.

Nakutakia vikao vyema huko Dodoma.
Kwani si tulikubaliana tunataka maendeleo ya watu na sio vitu tena, ama mmebadili gea angani tena?
Kifupi aliepata kapata na aliekosa kakosa...saiv tupo bze kurudisha mzunguko wa pesa, mkae kwa kutulia, maombi yenu ya maendeleo ya watu yamesikika na yanafanyiwa kazi.
Mkipiga miluzi mingi km hivi mntuchanganya.
 
Kwani si tulikubaliana tunataka maendeleo ya watu na sio vitu tena, ama mmebadili gea angani tena?
Kifupi aliepata kapata na aliekosa kakosa...saiv tupo bze kurudisha mzunguko wa pesa, mkae kwa kutulia, maombi yenu ya maendeleo ya watu yamesikika na yanafanyiwa kazi.
Mkipiga miluzi mingi km hivi mntuchanganya.
Aisee!
 
Kwani si tulikubaliana tunataka maendeleo ya watu na sio vitu tena, ama mmebadili gea angani tena?
Kifupi aliepata kapata na aliekosa kakosa...saiv tupo bze kurudisha mzunguko wa pesa, mkae kwa kutulia, maombi yenu ya maendeleo ya watu yamesikika na yanafanyiwa kazi.
Mkipiga miluzi mingi km hivi mntuchanganya.
Mkuu maendeleo ya watu hiyo sio ndio mojawapo ya kuyafikisha unajua Kigogo iko city centre kabisa inastahili kuwa na miundo mbinu iliyo mizuri ambayo itaipandisha Kigogo thamani.
 
Mkuu maendeleo ya watu hiyo sio ndio mojawapo ya kuyafikisha unajua Kigogo iko city centre kabisa inastahili kuwa na miundo mbinu iliyo mizuri ambayo itaipandisha Kigogo thamani.
Mkuu hizo barabara zote zilizojengwa ukaona na mataa yamewekwa ni ufadhiri wa bank ya dunia(beberu) kupitia mradi wa DMDP, na sehemu kubwa ni maeneo wanayoishi watu wa kipato cha chini, hushangai kukuta mitaa ya buza /mbagala barabara zimejengwa kwa zege na sio lami tena?!!mitaa kama yote!!mbunge utamlaumu tu!!na TARURA wenyewe wako hoi balaa ki fedha!!bora hata barabara hizo zilipokuwa chini ya halimashauri.
 
Mkuu hizo barabara zote zilizojengwa ukaona na mataa yamewekwa ni ufadhiri wa bank ya dunia(beberu) kupitia mradi wa DMDP, na sehemu kubwa ni maeneo wanayoishi watu wa kipato cha chini, hushangai kukuta mitaa ya buza /mbagala barabara zimejengwa kwa zege na sio lami tena?!!mitaa kama yote!!mbunge utamlaumu tu!!na TARURA wenyewe wako hoi balaa ki fedha!!bora hata barabara hizo zilipokuwa chini ya halimashauri.
Kigogo pia ni sehemu wanayoishi watu wa chini mkuu, lakini ingekuwa kigezo ndio hiko wasingeanzia huko kinondoni wangeanzia huku, wabunge wa awamu nyingi wamekuwa wakiisahau Sana Kigogo yani zaidi ya kuwakopesha kina mama jipya ni hiyo hospital mambo mengi maboresho mengi mwisho wao ni magomeni utadhani sisi atukuwapa kura, mmbunge Huyu mpya namkumbusha mikopo peke yake aitoshi miradi mbalimbali inayoendelea ndani ya Jimbo letu nasi tunahitaji kwa ajiri ya ustawi wa mji wetu
 
Back
Top Bottom