Pamoja na tozo kila kona, Serikali imesitisha mradi wa Barabara ya Kimara-Kibaha?

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,206
42,068
Hadi mwezi July Barabara ya Kimara-Kibaha ilikuwa imefika karibu asilimia 98 na ukiangalia kwa macho ni barabara ambayo ilikuwa imalizike mwezi wa nane kabisa kama walivyokuwa wamepanga maana kwa kuangalia ni kipande kidogo cha kiluvya -kibaha upande mmoja ndiyo ilikuwa haijawekewa tabaka la mwisho la lami.

Lakini cha kushangaza barabara hii toka mwezi wa saba mwishoni imesimama na ni wazi kabisa thamani ya mradi huu itazidi kuongezeka na itapelekea serikali kupata hasara zaidi na itatakiwa kulipa zaidi mkandarasi.

Wengi wanajiuliza maswali mengi inakuwaje pamoja na matozo yote kwanini barabara hii kwa kipande ambacho hakifiki kilomita moja serikali imeshindwa kukimalizia haraka?

Serikali inatengeneza mwanya wa kupiga hela kwa kusimamisha miradi halafu kuiiibua baadae wakati thamani yake ikiwa juu zaidi.

Nini kimeifanya serikali kusitisha mradi huu uliokuwa umefika mwisho kabisa?

Kuna shida gani pamoja na matozo?
 
Mbona umesha conclude kwamba wana taka kupiga hela? Swali sasa ni lipi?
 
Ukiona barabara au mradi wa ujenzi umesimama ujue ni tatizo la muda mrefu mara nyingi huwa ni kutokulipa mkandarasi au kushindwa kwa makandarasi kufanya alichotakiwa kufanya (termination by Employer). Je mkandarasi ameondoka site? Au unataarifa za ndani zinakuhakikishia kusimama kwa mradi? tuwe waangalifu kuandika taarifa zisizo na uhakika.
 
Hawa waheshimiwa wenyewe ni wezi tu.unakuta mtu amesaini kusafiri jumapili na kazi inafanywa juma tatu.mtu ana lala dar na kuondoka alfajiri mwendo mkali na dereva wake wa serikali spidi 160 180 ili ionekane kafika.na siku ya kurudi ni hivyo hivyo.
Hasara yake,
1.Posho za selikali nne zimeibwa,
2.ajali bara barani.
3.polisi kudharaulika.
4.polisi kuonekana taka taka mbele ya madereva kwa kufanya makusudi kukiuka alama za bara barani.
5.kukosa usawa wa uendeshaji.
6.kusababisha foleni kwa kutanua tanua ovyo.
7.kutoheshimiwa kwa muda wa kuendeshwa magari ya serikali.magari yanatembea mpaka usiku.
8.Serikali ingeokoa kiasi kikubwa kama zingemlipia ofisa husika mafuta aende na gari yake badala ya posho kwa madereva na gari hii hupelekea service kuwa karibu karibu na uchakavu kwa gari la serikali.


Kuhusu mradi na miradi tunapaswa tumpaye mtu kama sabaya asimamie na wakandarrasi.
 
Hawa waheshimiwa wenyewe ni wezi tu.unakuta mtu amesaini kusafiri jumapili na kazi inafanywa juma tatu.mtu ana lala dar na kuondoka alfajiri mwendo mkali na dereva wake wa serikali spidi 160 180 ili ionekane kafika.na siku ya kurudi ni hivyo hivyo.
Hasara yake,
1.Posho za selikali nne zimeibwa,
2.ajali bara barani.
3.polisi kudharaulika.
4.polisi kuonekana taka taka mbele ya madereva kwa kufanya makusudi kukiuka alama za bara barani.
5.kukosa usawa wa uendeshaji.
6.kusababisha foleni kwa kutanua tanua ovyo.
7.kutoheshimiwa kwa muda wa kuendeshwa magari ya serikali.magari yanatembea mpaka usiku.
8.Serikali ingeokoa kiasi kikubwa kama zingemlipia ofisa husika mafuta aende na gari yake badala ya posho kwa madereva na gari hii hupelekea service kuwa karibu karibu na uchakavu kwa gari la serikali.


Kuhusu mradi na miradi tunapaswa tumpaye mtu kama sabaya asimamie na wakandarrasi.
Unaandika hivi kwa sababu hupo kwenye hizo nafasi. Ukipata utajikuta na wewe unafanya hivyo hivyo. Haya mambo tusiwe tunalaumu sanaaa.
 
Mnaoelewa kipindi cha kusubiria mvua morogoro pembezoni mwa mji barabara wanazifanyia nini mtuambie,maana mvua ziki anza ni kusubiria mvua ziishe mpaka february.
Kinachoendelea ni kama sio vipaumbele yaani lami inawekwa lami ya changarawe juu halafu ni mjini.
ila pembezoni mwa miji kumeachwa bila ya matayarisho ya ujenzi wa mifereji kama mvua zilizo karibu hawana taarifa nazo.
Ni wazi madiwani na watendaji kata na mitaa hawakemei wala kuhoji manispaaa inayoyafanya.
Mi naona watendaji na ma engeener wa wanispaa ni kama wanataka kutugombanisha vile kati ya wananchi na serikali.
hawajali wenye magari mmelipa vingapi,na wenye gari ndogo kwenye mashimo ya mwishio wa barabara.
Mtazamo wangu TUNAGOMBANISHWA.
 
Hadi mwezi July Barabara ya Kimara-Kibaha ilikuwa imefika karibu asilimia 98 na ukiangalia kwa macho ni barabara ambayo ilikuwa imalizike mwezi wa nane kabisa kama walivyokuwa wamepanga maana kwa kuangalia ni kipande kidogo cha kiluvya -kibaha upande mmoja ndiyo ilikuwa haijawekewa tabaka la mwisho la lami.

Lakini cha kushangaza barabara hii toka mwezi wa saba mwishoni imesimama na ni wazi kabisa thamani ya mradi huu itazidi kuongezeka na itapelekea serikali kupata hasara zaidi na itatakiwa kulipa zaidi mkandarasi.

Wengi wanajiuliza maswali mengi inakuwaje pamoja na matozo yote kwanini barabara hii kwa kipande ambacho hakifiki kilomita moja serikali imeshindwa kukimalizia haraka?

Serikali inatengeneza mwanya wa kupiga hela kwa kusimamisha miradi halafu kuiiibua baadae wakati thamani yake ikiwa juu zaidi.

Nini kimeifanya serikali kusitisha mradi huu uliokuwa umefika mwisho kabisa?

Kuna shida gani pamoja na matozo?
Haijapewa kipaumbele kwa sababu ule wimbo wa "mitano tena" umecha kuimbwa ndio maana tumeanzisha mradi mpya wa "Royal Tour"
 
Mnaoelewa kipindi cha kusubiria mvua morogoro pembezoni mwa mji barabara wanazifanyia nini mtuambie,maana mvua ziki anza ni kusubiria mvua ziishe mpaka february.
Kinachoendelea ni kama sio vipaumbele yaani lami inawekwa lami ya changarawe juu halafu ni mjini.
ila pembezoni mwa miji kumeachwa bila ya matayarisho ya ujenzi wa mifereji kama mvua zilizo karibu hawana taarifa nazo.
Ni wazi madiwani na watendaji kata na mitaa hawakemei wala kuhoji manispaaa inayoyafanya.
Mi naona watendaji na ma engeener wa wanispaa ni kama wanataka kutugombanisha vile kati ya wananchi na serikali.
hawajali wenye magari mmelipa vingapi,na wenye gari ndogo kwenye mashimo ya mwishio wa barabara.
Mtazamo wangu TUNAGOMBANISHWA.
aiseeee
 
Sambamba na kazi nzuri iliyokwisha fanyika, serikali sasa itafute pesa kutoka AFDB, WB, IMF na pengine inapopajua ili kujenga pedestrian bridges kila penye Zebra. Kwa haraka zitahitajika Pedestrian bridges zisizopungua 19.
Bara bara hii ni kiwembe!
Ni pana sana hivyo ni ngumu kwa watembea kwa miguu kuvuka lakini pia magari yanafunguka vya kutosha.
Kinyume na hapo, bara bara hii itazalisha viwete wa kutosha...
 
Back
Top Bottom