Mei 1998, Andrew Chenge, akiwa mwanasheria mkuu alihalalisha (Authorized) malipo ya dola 600,000 kwenda kwenye akaunti ya kampuni iliyoitwa Langley Investments Limited, kampuni iliyomilikiwa na aliyekuwa gavana wa benki kuu ya Tanzania, Dr. Idrissa Rashidi. Gavana Dr. Rashidi ndiye alikuwa na...