udereva

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Askofug

    Natafuta kazi ya udereva, hasa Uber na Bolt

    Ninaitwa Eliah Gwamaka. elimu yangu ni diploma ya IT. Pia nina leseni yenye madaraja C1, C2, C3, E na D.nina uzoefu wa kufanya Bolt kwa zaidi ya mwaka mmoja. Napendelea mkataba hata kama gari sio mpya. Napatikana ukonga Banana Dar es Salaam. Namba yangu ya simu ni 0686 574164. Natanguliza...
  2. Abuu Dharr

    Naomba kufahamishwa haya kuhusu elimu ya Udereva

    Nataraji Wakuu mpo salama na familia zenu. Naomba kujua kuhusu elimu ya udereva. Je, unaweza kusomea udereva wa magari makubwa kabla ya kusomea magari madogo? Tufahamu kuwa mhusika hana ujuzi kabisa wa udereva. Nataraji majibu mazuri Shukrani, Nawatakia siku njema
  3. LellozWho

    Leseni ya umiliki silaha Vs Leseni ya udereva ipi imeleta madhara zaidi?

    Sina takwimu kamili Issue ya umiliki wa silaha imeleta fikra/ hisia/ mawazo mengi kwa Watanzania hasa baada ya taarifa za wiki iliyoisha(weekend). Kikubwa nimejifunza Wengi wanalaani umilikishwaji wa silaha kwa watu.(kiholela) Ingawa process ni ndefu. Wanakemea na kuiomba serikali Au taasisi...
Back
Top Bottom