📖Mhadhara (55)✍️
Waswahili husema; "Mungu hakupi vyote na wala hakunyimi vyote". Hivyo sina budi kusema watanzania hawakunyimwa amani, upendo, na utulivu. Mwaka 2024 & 2025 watanzania wanatarajia kufanya uchaguzi mdogo na uchaguzi mkuu wa kuchagua viongozi wao wa kisiasa.
Ni kipindi ambacho...