Uchaguzi wa rais wa nchini Marekani ni tofauti sana na chaguzi za nchi nyingine duniani
Kura wanazopiga wananchi hata mgombea wa urais akishindi kwa wingi wa kura hizo hazimuingizi moja kwa moja mshindi huyo madarakani
Kwa kawaida nchini Marekani (USA) uchaguzi wa kumchagua rais wa nchi hiyo na makamu wake hufanyika kila baada ya miaka minne na ni lazima iwe wiki ya kwanza ya mwezi Novemba ni lazima pia iwe Jumanne ya kwanza baada ya Jumatatu
Hivyo kwa kanuni yao hiyo uchaguzi wa mwaka huu 2024 itafanyika Novemba 5 Jumanne ya kwanza ya baada ya Jumatatu
Katika uchaguzi wa mwaka huu mpambano mkali ni kati ya Makamu wa rais wa chama cha Democratic BI. Kamala Harris (60) na mwamba Bw. Donald Trump (78) wa chama cha Republican
Baada ya muda wa kampeni kwisha wananchi wote wa United States of America (USA) hupiga kura hata waliopo nje ya nchi hiyo wenyewe wanaita "Popular Votes or Simple Majority"
Lakini matokeo ya kura hizi za wananchi (Popular Votes) haziwezi kumuingiza rais na makamu wake Ikulu ya kifahari yenye jengo lenye shepu ya yai la white house
Baadala yake Rais wa Marekani na makamu wake wanaingizwa madarakani na wajumbe wapatao 538 kutoka kwenye majimbo 50 yanayounda nchi hiyo tajiri kiuchumi na yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani
Iko hivi baada ya wananchi wote kupiga kura (Popular Votes) na kura hizo kuhesabiwa matokeo ya kura hizo yanasaidia kuonyesha jimbo lipi linamuunga mkono mgombea wa chama kipi na kila jimbo kati ya majimbo hayo hutoa mgombea mmoja au zaidi ya mmoja kwa baadhi ya majimbo makubwa na kupatikani wajumbe hao 538
Wajumbe hao 538 ndio watakao piga kura ya "electoral college votes" kuchagua rais wa Marekani na mgombea atakayepata kura 270+ ndiye atakuwa mshindi wa urai wa nchi hiyo ambapo ni zaidi ya nusu ya kura kutoka kwa wajumbe hao 538 kutoka kwenye majimbo 50 ya USA
Baada ya kura hizo za electoral Votes kupigwa na kutoa mshindi zitahesabiwa na kuidhinishwa na bunge la Congress la nchi hiyo ambalo ni bunge la "Mabwanyeye" (Majiri)
Bunge hilo la Congress likishamuidhinisha matokeo hayo rais mpya wa nchi hiyo ataapishwa Januari mwakani tayari kwa kuanza kazi ya kutumikia wanachi wa Marekani
Katiba ya nchi hiyo inatoa muda huo mrefu wa rais aliyechaguliwa kuanza kazi ili kupisha kama kuna mapingamizi ya mgombea mmoja kutoridhika na matokeo hayo kwenda mahakamini kupinga matokeo hayo
Hivyo ndivyo rais wa Marekani na makamu wake wanavopakina
Comasava.
Kura wanazopiga wananchi hata mgombea wa urais akishindi kwa wingi wa kura hizo hazimuingizi moja kwa moja mshindi huyo madarakani
Kwa kawaida nchini Marekani (USA) uchaguzi wa kumchagua rais wa nchi hiyo na makamu wake hufanyika kila baada ya miaka minne na ni lazima iwe wiki ya kwanza ya mwezi Novemba ni lazima pia iwe Jumanne ya kwanza baada ya Jumatatu
Hivyo kwa kanuni yao hiyo uchaguzi wa mwaka huu 2024 itafanyika Novemba 5 Jumanne ya kwanza ya baada ya Jumatatu
Katika uchaguzi wa mwaka huu mpambano mkali ni kati ya Makamu wa rais wa chama cha Democratic BI. Kamala Harris (60) na mwamba Bw. Donald Trump (78) wa chama cha Republican
Baada ya muda wa kampeni kwisha wananchi wote wa United States of America (USA) hupiga kura hata waliopo nje ya nchi hiyo wenyewe wanaita "Popular Votes or Simple Majority"
Lakini matokeo ya kura hizi za wananchi (Popular Votes) haziwezi kumuingiza rais na makamu wake Ikulu ya kifahari yenye jengo lenye shepu ya yai la white house
Baadala yake Rais wa Marekani na makamu wake wanaingizwa madarakani na wajumbe wapatao 538 kutoka kwenye majimbo 50 yanayounda nchi hiyo tajiri kiuchumi na yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani
Iko hivi baada ya wananchi wote kupiga kura (Popular Votes) na kura hizo kuhesabiwa matokeo ya kura hizo yanasaidia kuonyesha jimbo lipi linamuunga mkono mgombea wa chama kipi na kila jimbo kati ya majimbo hayo hutoa mgombea mmoja au zaidi ya mmoja kwa baadhi ya majimbo makubwa na kupatikani wajumbe hao 538
Wajumbe hao 538 ndio watakao piga kura ya "electoral college votes" kuchagua rais wa Marekani na mgombea atakayepata kura 270+ ndiye atakuwa mshindi wa urai wa nchi hiyo ambapo ni zaidi ya nusu ya kura kutoka kwa wajumbe hao 538 kutoka kwenye majimbo 50 ya USA
Baada ya kura hizo za electoral Votes kupigwa na kutoa mshindi zitahesabiwa na kuidhinishwa na bunge la Congress la nchi hiyo ambalo ni bunge la "Mabwanyeye" (Majiri)
Bunge hilo la Congress likishamuidhinisha matokeo hayo rais mpya wa nchi hiyo ataapishwa Januari mwakani tayari kwa kuanza kazi ya kutumikia wanachi wa Marekani
Katiba ya nchi hiyo inatoa muda huo mrefu wa rais aliyechaguliwa kuanza kazi ili kupisha kama kuna mapingamizi ya mgombea mmoja kutoridhika na matokeo hayo kwenda mahakamini kupinga matokeo hayo
Hivyo ndivyo rais wa Marekani na makamu wake wanavopakina
Comasava.