Mgombea Ubunge Jimbo la Kwela, Mkoa wa Rukwa Deus Sangu siku ya leo amechukua fomu ya kugombea ubunge ikiwa ni utekelezaji wa kanuni za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa wagombea wote kuanzia nafasi ya Udiwani, Ubunge na Urais.
Sangu ameongozana na wanachama wa CCM Jimbo la Kwela, na...