uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    Wakuu hivi Mbatia ndio kwaheri kwenye siasa au bado ana nafasi tena?

    Akiwa kijana wa miaka 31 tu, alishinda Jimbo la Vunjo kwa kishindo cha kura 83%. Baada ya miaka kupita ikaibuka migogoro ya kisiasa, chama chake kupoteza nguvu, na kimya kizito kilichoacha maswali. Je, kimya chake ni tamaa iliyokufa, upepo aliokuwa akipima, au mapumziko ya kimkakati? Bado ana...
  2. tonicimmobility

    Wasira: Hata wapinzani wanakiri sisi ni wakubwa

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema wakati wanamuombea kura mgombea urais kwa tiketi ya Chama Dk. Samia Suluhu Hassan, Watanzania ni mashahidi wa kazi kubwa aliyoifanya katika miaka minne na nusu ya uongozi wake. Akizungumza Septemba 1,2025 katika...
  3. tonicimmobility

    GE2025 Nchimbi: CCM Itahakikisha Katiba Mpya inapatikana

    Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema miongoni mwa ahadi za chama hicho kwa Watanzania endapo watapata ridhaa ya kuwatumikia, watakwenda kuuhusisha mchakato wa Katiba mpya. Mchakato huo ulikwama mwaka 2014 kwenye hatua ya kura ya maoni ya Katiba...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Simiyu; Wanasiasa wanaoeneza chuki kuchukuliwa hatua

    Serikali ya Mkoa wa Simiyu, imetoa onyo kwa wanasiasa wanaotumia majukwaa ya kampeni kutoa lugha za kichochezi, kueneza chuki na kuwagawa wananchi kwa misingi ya itikadi, kabila au dini, ikisisitiza kuwa haitasita kuchukua hatua kwa yeyote atakayevuruga amani ya mkoa huo na kwamba wananchi...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mwenyekiti wa Wazee na mwasisi NLD: Tunamshukuru mama Samia kutoa magari kwa wapinzani

    MWENYEKITI wa Wazee na mwasisi wa Chama cha NLD, Tozz Mtwanga, amemtaja Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mwanadiplomasia wa kweli. Amesema katika historia ya Tanzania haijawahi kutokea Serikali kutoa usafiri kwa wagombea wa vyama vya upinzani, lakini chini ya uongozi wa Rais Samia jambo hilo...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Dkt. Nchimbi: CCM kugharamia matibabu ya saratani na figo ndani ya siku 100 za kwanza madarakani

    Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewakumbusha Watanzania kuhusu ahadi za Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alizoziahidi kutekeleza ndani ya siku 100 baada ya kuapishwa endapo atapewa ridhaa ya kuongoza tena nchi. Amesema hayo...
  7. Waufukweni

    GE2025 Kesi ya uhaini ya Lissu kusikilizwa Mahakama Kuu, Septemba 8, 2025

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chma cha Demorasia na Maendeleo (CHADEMA)Taifa, Tundu Lissu, imepangwa kusikilizwa na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, Septemba 8, 2025 katika hatua ya kusoma hoja za awali. Taarifa hiyo, iliyotolewa na Wakili Gaston Shundo Garubindi...
  8. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mgombea Urais UDP: Tumejipanga kutoa bima ya afya kwa wanachi bila mashariti yoyote

    Mgombea Urais UDP: Tumejipanga kutoa bima ya afya kwa wanachi bila mashariti yoyote tunamini katika nguvu kazi ya taifa ni wananchi kuwa na afya njema.
  9. econonist

    GE2025 Wabunge 8 ambao wamepita bila kupingwa mpaka Sasa

    Mpaka Sasa wagombea ubunge wafuatao ambao wamepita bila kupingwa na wanasubiria kura ya ndio au hapana. Majina yao ni yafuatayo: 1. Masache Kasaka Jimbo la Lupa 2. Ulimboka Mwamengo Jimbo la Kyela 3. Jafary Rajab Seif Jimbo la Busanda 4. Jesca Kishoa Jimbo la Iramba Mashariki 5. Yohana...
  10. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mgombea urais UDP Saum Hussein: Tukiingia madarakani UDP tutajenga viwanda vikubwa kila mkoa

    Saum Hussein Rashid, ameahidi kuwa endapo atachaguliwa kuwa Rais, basi serikali yake itaweka nguvu kwa kujenga viwanda vikubwa vya kuchakata malighafi kila mkoa ili kujihimarisha na kujikwamua katika uchumi. Amesema hayo katika uzinduzi wa kampeni yao ilifanyika Kijiji cha Mahaha Mkoani Mwanza
  11. tonicimmobility

    Dugange: Wananchi endeleeni kuiamini CCM

    Mgombea wa ubunge wa Jimbo la Wanging’ombe, mkoani Njombe, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Festo Dugange, amezindua rasmi kampeni za chama hicho na kuwataka wananchi kushiriki kwa wingi kupiga kura. Akizungumza katika uzinduzi huo, Dk. Dugange aliwahimiza wananchi kuendelea kuiamini CCM...
  12. tonicimmobility

    INEC yafafanua mchakato pingamizi na rufaa za udiwani

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema kuwa kwa mujibu wa kifungu cha 53 na 65 vya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, baada ya uteuzi kufanyika, wagombea wa Ubunge na Udiwani wanaruhusiwa kuweka pingamizi dhidi ya uteuzi. Soma pia: INEC yawaita wagombea...
  13. tonicimmobility

    Ameir amerudia tena kusema 'kila mzanzibari atapokea 500,000 kila mwezi' wakimchagua kuwa Rais Tanzania visiwani

    Mtiania urais wa Zanzibar kupitia Chama Demokrasia Makini, Ameir Hassan Ameir (kushoto), amesema iwapo atapitishwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na kupata ridhaa ya wananchi kuwa Rais, kila Mzanzibari atalipwa Sh500,000 kwa mwezi ili kuondoa daraja lililopo la wenye nacho, kwa kuwa wengine...
  14. tonicimmobility

    GE2025 Musiba: Nitashinda ubunge kwa 98%, sitaruhusu kuibiwa kura

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mwibara kupitia ACT Wazalendo Cyprian Musiba ameahidi kuzilinda kura zote atakazopigiwa na wananchi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Musiba amesema hayo Agosti 31, 2025 akizungumza na waandishi wa habari wilayani Bunda akiwaomba wananchi kumpigia kura kwa wingi na...
  15. DuaZaMama

    GE2025 Je, ahadi zinazotolewa na wagombea wa kisiasa wakati wa uchaguzi zinaendana na changamoto na mahitaji?

    Wakuu ==== kampeni zimeanza! Kila mgombea wa urais anaahidi mambo ili kupata ridhaa ya wananchi. Lakini je, ahadi hizi zinaendana na mahitaji halisi ya taifa letu katika karne hii? Kwa mfano, ahadi za ‘ubwabwa hospitalini’, sera za kujua kusoma na kuandika darasa la tatu, na nyinginezo — ni...
  16. DuaZaMama

    GE2025 Nchimbi: Watu wenye akili walio upinzani tutawaleta CCM

    Katika Muendelezo wa Kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mara Mgombea mwenza wa Urais wa chama hicho Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema chama hicho kitaendelea kuwachukua wapinzani wenye akili ili kushirikiana nao katika kuleta maendeleo nchini. Nchimbi ameyasema hayo leo Agosti 31...
  17. Mkalukungone Mwamba

    Shuhudia 'vibe' la wananchi na wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) kutoka viwanja vya furahisha Mwanza

    Shuhudia 'vibe' la wananchi na wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) wakiwa katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi wa kampeni za chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu. Katika uzinduzi wa kampeni hizo, mgombea Urais wa Jamhuri...
  18. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Salum Mwalimu: CHAUMMA ikishika dola, itabeba gharama zote za timu itakayoshiriki Michuano ya Klabu bingwa Afrika

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Salum Mwalimu amesema kuwa endapo atapata ridhaa ya kuongoza nchi, Serikali yake itabeba gharama zote za timu itakayoshiriki Michuano ya Klabu bingwa Barani Afrika. Akizungumza leo katika Viwanja vya...
  19. veyra

    GE2025 Salum Mwalim: Mkinichagua mshahara kima cha chini ni 800,000

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupita Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim amesema Serikali yake ikiingia madarakani itahakikisha inaboresha huduma mbalimbali yakiwemo maboresho ya sera ya habari ili vyombo vya habari vifanye kazi kwa weledi na kuifanya tasnia...
  20. veyra

    GE2025 Zungu: Rais Samia ameimarisha amani, utulivu na haki nchini.

    Mgombea Ubunge wa jimbo la Ilala Mussa Azzan Zungu amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi imara ambaye amefanya kazi kubwa ya kuimarisha amani, utulivu na haki nchini. Akizungumza leo Agosti 31, 2025 kwenye uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi @ccmtanzania kwa Mkoa wa Dar Es Salaam...
Back
Top Bottom