uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    GE2025 Catherine Ruge: Nimesikia sauti ya Mungu, nitagombea Serengeti

    Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uchumi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Catherine Ruge (Msubhati) amesema ameamua kusimama na kugombea ubunge wa Jimbo la Serengeti Mkoani Mara, kwa lengo la kupigania haki za wananchi na kurejesha matumaini kwa jamii inayokabiliwa na changamoto mbalimbali...
  2. Nipe Maji

    Aweso aagiza mkandarasi kuongeza kasi ya utekelezaji miji 28 Mafinga

    Waziri wa Maji Jumaa Aweso (Mb) amemtaka mkandarasi wa mradi wa maji wa miji 28 wilayani Mafinga kampuni ya Jandu Plambers LTD kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi ili kufanikisha hitaji la huduma ya majisafi kwa wakazi wa Mafinga kwa wakati. Mradi huo katika mji wa Mafinga ni sehemu ya mradi...
  3. E

    GE2025 Utata Samia kupitishwa kuwa mgombea urais CCM 2025

    Minong’ono ya kuteuliwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi katika Mkutano Mkuu wa Januari 19, 2025 jijini Dodoma, imeendelea kutawala na safari hii imnepata kasi baada ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole kutangaza kujiuzulu...
  4. R

    GE2025 Vikundi vinavyozuka kumsapoti mgombea fulani na kutoa zawadi kwa wananchi haihesabiki kama rushwa?

    Wakuu ====== Katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu, kunashuhudiwa ongezeko kubwa la vikundi vinavyozuka na kujitambulisha kama "wafuasi wa mgombea fulani". kwa mfano Vinyozi wa mama,Samia for us, wachekeshaji wa mama,Mbunge Cup, Diwani Cup na vingine vingi, vinaibuka ghafla mitaani na...
  5. Manyanza

    GE2025 Hivi Kamanda Muliro anadhani Uchaguzi ni kutangaza tarehe na kugawa maboksi tu?

    CCM na vyombo vya dora vina maigizo 🤣🤣🤣 Haya sasa, Kamanda Muliro yupo live anatufundisha Katiba ya CCM badala ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Eti CHADEMA kuzuia uchaguzi ni kinyume cha Katiba, lakini kuvunja Katiba kwa kuficha Daftari la Wapiga Kura, kutoanzisha Tume Huru, na...
  6. E

    GE2025 Afande Muliro: No Reforms No Election haipo kisheria, haiwezekani kabisa

    Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema kauli mbiu ya No Reforms No Election inayitumiwa na CHADEMA, haipo kisheria na haiwezekani kabisa. Ameyasema hayo leo Julai 22, 2025 alipokua akihojiwa katika kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na Clouds TV, akisema...
  7. DuaZaMama

    GE2025 Ado: Act Wazalendo ndio Chama kinachokua Kwa Kasi zaidi Tanzania

    "ACT NDIO CHAMA KICHANGA KWA UMRI NA KINACHO KUA KWA KASI ZAIDI TANZANIA" - Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo Ndg. Ado
  8. DuaZaMama

    GE2025 Steven Wasira: Hatuwezi kuahirisha uchaguzi

    "Kwangu mimi 'No reforms no election' haina mashiko...wanasema tuahirishe uchaguzi, hatuwezi kuahirisha ni jambo kubwa, ni jambo la kikatiba, - Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Stephen Wasira.
  9. DuaZaMama

    GE2025 Wasira: CCM hakuna makundi

    “Nguvu yetu ndani ya CCM ni umoja, na umoja tunao, CCM iko sawa sawa kabisa, kuna mshikamano wa kutosha, …ndani ya CCM hakuna makundi…”-Makamu Mwenyekiti wa CCM-Stephen Wasira.
  10. Dalton elijah

    SI KWELI PreGE2025 Boniface Jacob ameandika kuwa Godbless Lema ni msaliti, amegeuza 'TONETONE' kuwa faida yake binafsi

    Kumekuwa na poster ambayo inazagaa kwenye mitandao ya kijamii ususani wa facebook akimutuhumu Godless Lema kwa kutumia fedha za TONETONE kwa manufaa Binafsi Jambo ambalo Boniphace Jacob ameona sio zuri.
  11. K

    GE2025 Wagombea udiwani wasusia kusaini matokeo ya Uchaguzi Mkuranga idadi ya wajumbe na Kura ni tofauti

    Kufatia malalamiko na clip za video zilizokuwa zinatembea mitandaoni nchi nzima siku ya Jana. Clip za video zilizokuwa zinaonyesha wakinamama wa wanaccm wa wilaya ya mkuranga. wakiomba Masada na kulalamikia kukamata Kura feki wilayani humo katika mchakato wa Uchaguzi wa udiwani viti maalumu...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Wana TK-Movement waahidi kusimama na Rais Samia uchaguzi mkuu 2025

    Wakuu ==== kwani nyie mnasemaje? Akizungumza na wanachama wa jukwaa la vijana na wanawake nchini ndg. Naseem Makombe Katibu wa vyuo na vyuo vikuu TK-ΜOWEMENT Naseem Makombe amewataka wana TK MOVEMENT kuumunga mkono Mh. Rais Dkt. Samia S. Hassan kutokana na kazi kubwa zinazoendelea kufanyika...
  13. DuaZaMama

    GE2025 Je, Ahadi za Uongo Wakati wa Kampeni za uchaguzi Zina Adhabu Kisheria?

    Wagombea wengi huahidi mambo makubwa wakati wa kampeni kama vile kujenga barabara, ajira kwa vijana, au elimu bure hata kama hawana uwezo wa kutimiza, Uutakuta mbunge anahaadi ujenzi wa barabara ya lami lakini kumbuka mbunge hawezi kujenga kwa hela zake mpaka akaombe hela bungeni na bunge...
  14. Genius Man

    DOKEZO GE2025 Waliotoa mchele na sukari ndani ya CCM mwaka wa uchaguzi wameitwa watoa rushwa, lakini Samia ametoa baiskeli na nguo mbona yeye hamsemi?

    Waliotoa mchele na pesa ndani ya CCM mwaka wa uchaguzi wameitwa watoa rushwa lakini Rais Samia ametoa baiskeli na manguo na yeye mbona hamsemi anagawa rushwa ? mwambieni Samia unatoa rushwa pia. Bila kuangalia hadhi ya mtu TAKUKURU hakuna uwajibikaji kabisa kuna watu wametoa rushwa wazi wazi...
  15. Waufukweni

    GE2025 Mwandishi wa Habari na Kada wa CCM, Harubu Kabwe: Nitamlinda Rais Samia kwa gharama yoyote, yeye ni Lulu ya Taifa letu

    Mwandishi wa Habari na Kada wa Chama cha Mapinduzi, Harubu Kabwe amesema; "Nitamlinda Rais wangu Samia Suluhu Hassan kwa gharama yoyote ile, Rais ni Lulu kwa Taifa letu la Tanzania"
  16. Erythrocyte

    GE2025 Nkasi: Huu ni Mkutano wa Ndani wa No Reforms No Election, Kwa Hali hii ni nani atajitokeza kupiga kura?

    Hakuna haja ya kupiga Porojo nyingi, Angalia Mwenyewe Julai 20, 2025 Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini Mhe. Aida Khenani amefanya kikao cha ndani katika kata ya Kirando Jimbo la Nkasi Kaskazini Mkoani Rukwa ikiwa ni mwendelezo wa kuimarisha Toa Maoni yako
  17. M

    GE2025 Lema kumshambulia Polepole ni ujuaji usiokuwa na faida

    Msimamo Wangu Kuhusu Kauli ya Mh. Lema Dhidi ya Humphrey Polepole Nimesikitishwa na kauli kali iliyotolewa na Mheshimiwa Lema dhidi ya Humphrey Polepole. Kwa maoni yangu, kauli hiyo haina tija kwa taifa letu wal Kwa sias za upinzani kwa sababu: 1. Tunahitaji Kusonga Mbele, Siyo Kurudi Nyuma...
  18. A

    KIMENUKA: Kimenuka CCM yatakiwa kumzuia Jerry silaa kucheza 'rafu' ukonga ziara ya Mchengerwa yatajwa kuwa kampeni ya kificho

    Baadhi ya watia nia ya ubunge kwenye kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu ujao katika Jimbo la Ukonga, Ilala, Dar es Salaam wamemlalamikia mbunge aliyemaliza muda wake, Jerry Silaa kwa kitendo chake cha kuanza kupiga kampeni kabla ya kipyenga kupulizwa. Wamsema kitendo hicho, licha ya kwenda...
  19. DuaZaMama

    GE2025 Mkuranga: Kura feki za kamatwa zikisafirishwa kwenda ukumbini

    wakuu ==== kumekucha Mwendokasi TV bado inaendelea kufuatilia kwa kina taarifa hii yenye utata kutoka Wilaya ya Mkuranga, ambapo taarifa za awali zinaeleza kuwa baadhi ya wananchi wamekamata kura feki ambazo tayari zilikuwa zimepigwa kwa niaba ya baadhi ya madiwani. Inadaiwa kuwa Katibu wa...
  20. Just Pray

    GE2025 Dkt. Dennis Muchunguzi: Utaratibu wa kikatiba ulifuatwa kumteua Dkt. Samia kugombea

    Wakuu Mchambuzi wa masuala ya Siasa na Mwanazuoni Dkt. Dennis Muchunguzi anasema utaratibu uliotumika kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea Urais kwa Chama cha Mapinduzi ulikuwa halali na hakuna taratibu iliyovunjwa, kwani baada ya jina lake kupendekezwa na wajumbe wa mkutano mkuu...
Back
Top Bottom