uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Majibizano kati ya Mchungaji Peter Msigwa akisema Balozi Humphrey Polepole anatafuta huruma

  2. E

    JamiiForums Tanzania GE2025 Heche: Msiniulize kuhusu Mbowe, mtafuteni mwenyewe

    Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche amewataka waandishi wa habari kutoendelea kumuuliza kuhusu aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, akiwataka kumtafuta na kumuuliza maswali mwenyewe. "Alituaga kwa mazungumzo, anataka apumzike kwa muda kwenye active politics na atarudi. Kwa...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watia nia wa CCM wanaswa live wakigawa vitenge na fedha kwa wajumbe

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Mara imewakamata wanachama saba wa Chama cha Mapinduzi kwa tuhuma za kugawa fedha nje ya ukumbi wa uchaguzi Musoma vijijini, huku baadhi ya watia nia wa nafasi ya udiwani viti maalumu wa chama hicho wakituhumiwa kujihusisha na vitendo...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Marufuku ya kutumia simu kwenye kituo cha kupigia Kura inalinda usiri au inazuia uwazi na ushahidi wa matukio?

    Wakuu! Kwa mujibu wa kanuni za mchakato wa uchaguzi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imepiga marufuku matumizi ya simu za mkononi na vifaa vingine vya mawasiliano ndani ya vituo vya kupigia kura. Sababu zinazotolewa ni kulinda usiri wa kura, kuzuia vurugu na kuhakikisha usalama wa mchakato...
  5. Madumbikaya

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mzee Butiku: Mchakato wa kupata Mgombea urais CCM mwaka 2025 ulikiuka taratibu za Chama, Lakini tunazidi kukua kama Taifa

    Akiwa kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kinachorushwa live leo tarehe 23 mwezi wa 07 mwaka 2025 ,Mzee butiku amesema Mosi,Utaratibu uliotumika kupata mgombea wa urais wa chama mwaka 2025 ulikosewa na haupo kikatiba ndani ya ccm,Alishangaa wajumbe kulazimisha hoja halafu baadae ndio wakaanza...
  6. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 "No reforms, No election" yatawala maziko kada wa CHADEMA

    Aliyekuwa Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), marehemu Anastazia Mwamongi (72), aliyekutwa ameuawa kikatili ndani ya nyumba yake na watu wasiojulikana, amezikwa katika makaburi ya Igeleke, yaliyopo Kihesa Kilolo, Manispaa ya Iringa. Maziko ya marehemu huyo yamehudhuriwa na...
  7. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watendaji wa Uchaguzi Mkuu wametakiwa kuitumia elimu baada ya kumaliza mafunzo yaliyoandaliwa na Tume Huru ya Taifa

    Watendaji wa Uchaguzi Mkuu wametakiwa kuitumia ipasavyo elimu waliyoipata katika mafunzo ya siku tatu yaliyoandaliwa na Tume Huru ya Taifa ya uchaguzi ikiwalenga waratibu wa uchaguzi, wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi wa uchagyuzi ngazi ya jimbo. Rai hiyo imetolewa na mratibu wa...
  8. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Coaster Kibonde: Mgombea anayenipa Changamoto nafasi ya Urais ni Mgombea wa CCM

    Kauli hiyo imesema na Coaster Kibonde Mgombea Uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Demokrasia MAKINI katika kipindi cha MORNINGBANTU cha Star Times Bongo
  9. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Zitto Kabwe ameandika 'CHADEMA na wanaharakati sasa wamekuwa mashabiki wa CCM'

  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 MNEC, Muhsin Ussi: Zanzibar huduma za afya ni bure, hakuna malipo

    Muhsin Ussi (MNEC) — Kiongozi wa Kitaifa wa Vijana kutoka Zanzibar (CCM). "Wakati Rais Dkt Hussein Mwinyi anaingia madarakani Zanzibar tulikuwa na hospital kubwa Moja tu inaitwa Mnazi Mmoja na kwa Pemba tulikuwa na hospital inaitwa Abdallah Mzee. "Unaweza kwenda hospital Saa 11 Alfajiri...
  11. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Kikinuka hapa Lissu ana endazake Ubelgiji

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Kenani Kihongosi amesisitiza umuhimu kila mwananchi ikiwemo Vijana wa Mkoa wa Arusha kulinda na kutunza amani na utulivu wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba Mwaka huu, akiwahimiza kujitenga na wenye nia ovu na wanaohamasisha vurugu na maandamano ya kisiasa...
  12. kavulata

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wanaopinga uteuzi wa Samia wataje wagombea wao ili tumpime

    Iwe mchakato umewahi au umechekewa tunachojua sisi waliopitishwa na Mkutano Mkuu wanafahamu kuwa Rais na Makamu wanafaa kwa takwimu zao hizí tunazozifahamu. Kila zama na Kitabu chake. Wakati wa Nyerere tulikuwa tunapiga kura za ndio au hapana, na hakuna aliyehoji ukosekanani wa wagombea...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Madeleka: Niliunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu hakusema atazuia uchaguzi, kama angesema hivyo kabla, nisingemuunga mkono

    Wakili Peter Madeleka akihojiwa na Jambo TV amesema, "Wakati namuunga mkono ili Tundu Lissu achaguliwe na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama, hakuna mahala popote alisema atazuia Uchaguzi akiingia madarakani, na kama angelisema hivyo mimi nisingemuunga mkono."
  14. The Watchman

    JamiiForums Tanzania GE2025 Catherine Ruge: Nimesikia sauti ya Mungu, nitagombea Serengeti

    Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uchumi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Catherine Ruge (Msubhati) amesema ameamua kusimama na kugombea ubunge wa Jimbo la Serengeti Mkoani Mara, kwa lengo la kupigania haki za wananchi na kurejesha matumaini kwa jamii inayokabiliwa na changamoto mbalimbali...
  15. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania Aweso aagiza mkandarasi kuongeza kasi ya utekelezaji miji 28 Mafinga

    Waziri wa Maji Jumaa Aweso (Mb) amemtaka mkandarasi wa mradi wa maji wa miji 28 wilayani Mafinga kampuni ya Jandu Plambers LTD kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi ili kufanikisha hitaji la huduma ya majisafi kwa wakazi wa Mafinga kwa wakati. Mradi huo katika mji wa Mafinga ni sehemu ya mradi...
  16. E

    JamiiForums Tanzania GE2025 Utata Samia kupitishwa kuwa mgombea urais CCM 2025

    Minong’ono ya kuteuliwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi katika Mkutano Mkuu wa Januari 19, 2025 jijini Dodoma, imeendelea kutawala na safari hii imnepata kasi baada ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole kutangaza kujiuzulu...
  17. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Vikundi vinavyozuka kumsapoti mgombea fulani na kutoa zawadi kwa wananchi haihesabiki kama rushwa?

    Wakuu ====== Katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu, kunashuhudiwa ongezeko kubwa la vikundi vinavyozuka na kujitambulisha kama "wafuasi wa mgombea fulani". kwa mfano Vinyozi wa mama,Samia for us, wachekeshaji wa mama,Mbunge Cup, Diwani Cup na vingine vingi, vinaibuka ghafla mitaani na...
  18. Manyanza

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hivi Kamanda Muliro anadhani Uchaguzi ni kutangaza tarehe na kugawa maboksi tu?

    CCM na vyombo vya dora vina maigizo 🤣🤣🤣 Haya sasa, Kamanda Muliro yupo live anatufundisha Katiba ya CCM badala ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Eti CHADEMA kuzuia uchaguzi ni kinyume cha Katiba, lakini kuvunja Katiba kwa kuficha Daftari la Wapiga Kura, kutoanzisha Tume Huru, na...
  19. E

    JamiiForums Tanzania GE2025 Afande Muliro: No Reforms No Election haipo kisheria, haiwezekani kabisa

    Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema kauli mbiu ya No Reforms No Election inayitumiwa na CHADEMA, haipo kisheria na haiwezekani kabisa. Ameyasema hayo leo Julai 22, 2025 alipokua akihojiwa katika kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na Clouds TV, akisema...
  20. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ado: Act Wazalendo ndio Chama kinachokua Kwa Kasi zaidi Tanzania

    "ACT NDIO CHAMA KICHANGA KWA UMRI NA KINACHO KUA KWA KASI ZAIDI TANZANIA" - Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo Ndg. Ado
Back
Top Bottom